Bar zilizofungiwa zatakiwa kulipa Faini Milioni Tano 5M kila moja ili ziruhisiwe kufanya biashara

Bar zilizofungiwa zatakiwa kulipa Faini Milioni Tano 5M kila moja ili ziruhisiwe kufanya biashara

Lazima kuna watu wamepata mwanya wa kupiga pesa, si bure........waziri aingilie kati kuona ni namna gani hiyo sheria inatumika, vinginevyo kuna kuonea watu kujenga mazingira ya rushwa.
Watu hawatatoka patupu hapa
 
Kwa sisi waathirika wa kelele tunaona adhabu ni ndogo sana.....yaani ilifika kipindi mtu kulala unavizia...

Yaani mtu inakuwaje unaona kawaida kustarehe kwako kuwe kero Kwa wenzako......??

Hizi adhabu zimechelewa sana......
Watu tunapaswa kuheshimiana....haifai jamii ya watu kuishi kama wanyama wa porini.........
 
 
Kwa sisi waathirika wa kelele tunaona adhabu ni ndogo sana.....yaani ilifika kipindi mtu kulala unavizia...

Yaani mtu inakuwaje unaona kawaida kustarehe kwako kuwe kero Kwa wenzako......??

Hizi adhabu zimechelewa sana......
Watu tunapaswa kuheshimiana....haifai jamii ya watu kuishi kama wanyama wa porini.........
Nchi inataka kuwa kama kongo

Ova
 
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Yani kisa mtu unamadaraka unanyanyasa watu na biashara yao wakati unamkuta yeye kiosk hajawahi fungua, huu ni uhuni, ndo maana majitu ya namna hii ,Rais aliyaita mastupidi, nami nasema stupid,

Watu wanapambana tengeneza ajira kama sector binfsi alafu mtu mmoja kisa ni mkurugenzi wa NEMC ,analeta ustupidi hapa , ndo maana maajari yanawatafuna
 
Yani kisa mtu unamadaraka unanyanyasa watu na biashara yao wakati unamkuta yeye kiosk hajawahi fungua, huu ni uhuni, ndo maana majitu ya namna hii ,Rais aliyaita mastupidi, nami nasema stupid,

Watu wanapambana tengeneza ajira kama sector binfsi alafu mtu mmoja kisa ni mkurugenzi wa NEMC ,analeta ustupidi hapa , ndo maana maajari yanawatafuna
Haya ni maoni ya wananchi sio NEMC. NEMC ku-impose adhabu kali ni kuonyesha userious wa jambo lenyewe. Unajua wewe huishi chako ni chako au mitaa ya Rain bow ungejua inamaanisha nini.
 
Mimi nadhani walitakiwa wawalime barua ya onyo kisha wakae na kamati elekezi kwa gharama za mwenye Pub wazungumzie namna watasolve hilo tatizo Pub iendelee kuwapo na raia wasipate shida. Sio kufunga kiwanja cha bata ambacho raia wanaenjoy maisha.
 
Sasa hivi chako ni chako itakuwa ni kula kuku na ear phone
images%20-%202023-05-08T184022.270.jpg
 
Isiishie Dodoma tu,unaweza kukuta ni visa wamegongana kwenye mambo flani tena ya kijinga tu,sasa wanakomeshana maana ma Bar yanayopiga mziki wa juu usiku ni mengi sana...
 
Haya ni maoni ya wananchi sio NEMC. NEMC ku-impose adhabu kali ni kuonyesha userious wa jambo lenyewe. Unajua wewe huishi chako ni chako au mitaa ya Rain bow ungejua inamaanisha nini.
Tunataka sasa makanisa yafungwe maana wananchi tumelalamika sana juu ya kelele,
Lakini lini NEMC wamewaita wahusika na kutoa onyo , mbadala wake unakimbilia kufunga biashara na kutaka fain,

Kwamba kwa kua wananchi wamelalamika basi kisa unarungu nikufika nakufunga ,
 
Back
Top Bottom