Barabara alizojenga Hayati Magufuli, hazina viwango, zimetengeneza Matuta kama ya kupandia Viazi

Hahahaa wewe ndio Magu alikuambia ubaki na ma#@yako nyumbani.
Sasa hasirazako ndio unakuja na posti za kipumbavu kama hiyo.
Ulitaka wasafisha vyoo walipwe na nani kama hutaki kuchangia gharama.

Hakuna barabara zenye viwango kama zilizojengwa katika kipindi ambacho Magu alikuwa rais, jaribu kuwa serious kidogo.
 
Unaona ulivyo mjinga, asilimia kubwa ya Barabara nchii hii zimejengwa na Chuma JPM ama akiwa Waziri, au Rais.

Wewe hizo Barabara unazozungumzia ni zipi ?? Kwamba unatizama Barabara zilizojengwa akiwa Rais ??

Niamin, Hauna tofauti na Kichaa anayetembea Uchi na asijue yupo tupu.
 
Sukuma Gang punguzeni Matusi na hasira. Jengeni hoja sababu mimi sibabaiki na matusi yenu na kejeli. Nawaona kama vikaragosi tu ndo maana siwajibu. Kila Sukuma gang atukane tusi analotamani kutukana halafu jibuni hoja.
 
Sukuma Gang punguzeni Matusi na hasira. Jengeni hoja sababu mimi sibabaiki na matusi yenu na kejeli. Nawaona kama vikalagosi tu ndo maana siwajibu. Kila Sukuma gang atukane tusi analotamani kutukana halafu jibuni hoja.
Bavicha ndio kiwanda cha matusi hadi Mbowe amewakemea
 
Ukiacha wivu katika maisha yako huenda ukapiga hatua kubwa saana kwenye maisha yako
 
Wapinzani wa Magufuli ni kundi la watu wapuuzi kuwahi kuishi duniani.

Anayewatuma nayeye ni hopeless kuliko taahira.

Yaani mpaka picha za india huko unaleta hapa unasema ni za magufuli na waxenge wenzio wanakuunga mkono.
Na kadri wanavyomsema vibaya ndivyo Hayati Rais Magufuli anazidi kuwa imara zaidi na ndivyo wanavyozidi kumuogopa!
 
Kwanza ELIMU, pili ELIMU na elimu halafu elimu pia, yaani ni elimu, elimu, elimu tu. Well, hebu onesha barabara ambazo hazikujengwa na Magufuli ili tulinganishe. Hiyo yenye matuta matuta i hope ni ya Dodoma Morogoro kama sikosei.
 
CCM wanaona hawana wa kumpigia kelele kwa sababu NI SERIKALI yao yenye UTITILI WA MAENGINEER uchwara, wanatafuta wa kumsukumia mzigo! Ni CCM wamechoka wawaachie wengine nao wafanye tulinganishe.
 
Tulikuwa na Rais mpumbafu sana.
Hawa TIS wako wapi Hayati ana tukanwa hivi kama hakufanya lolote? Jameni tumuogope Mungu! Yote yamefanyika chini ya ILANI YA CHAMA TAWALA miaka yote. Wasitafite mchawi chama kimechoka!
 
Mbona alishawhi kusema kuwa hizo Barabara zinaharibiwa na Wapinzani hasa toka Chadema, Ndio maana akasema nileteeni Gwajima.

Barabara kama hii niliwahi kuiona Pale Kibaha - Mlandizi kwenye njia ya mteremko inayoelekea mto Ruvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…