Barabara kutoka Cairo Misiri hadi capetown Afrika Kusini, hapa Tanzania inakatisha mikoa ipi?

Ndege zipo; meli zipo; why barabara au reli ambazo ni hatarishi? Hapo Sudan utapita? Ethiopia?

Nchi zote maporini kuna kila aina ya vikwazo including hali za hewa za kila namna, machafuko, nk. I don't buy that idea!
 
Dom, Moro,Iringa na Mbeya!!
Barabara ya Cairo to Capetown haipitii mkoa wa Morogoro hiyo unayotaka kusema ni barabara ya Africa mashariki na au SADCC Kwa hapa tz inatokea Kenya kupitia border ya horohoro, Tanga mjini, korogwe, handen, Kilindi, mvomero, then dumila wilaya ya kilosa baadae inaungia mikumi unakamata barabara ya Dsm mbeya
 
Anataka ajifunze ilipopita.Si kwamba atarndesha baiskeli yake aina ya "Swala" hadi Cairo!
Kwani ipo? Nachokumbuka lilikuwa wazo la mkoloni mmoja, Cecil Rhodes, kama sijakosea kwamba ijengwe. Haikuwahi kujengwa zaidi ya za kuungaunga kati ya nchi na nchi.
 
Inapita songwe ikitokea zambia then mbeya na kuendelea
 
Ndege zipo; meli zipo; why barabara au reli ambazo ni hatarishi? Hapo Sudan utapita? Ethiopia?

Nchi zote maporini kuna kila aina ya vikwazo including hali za hewa za kila namna, machafuko, nk. I don't buy that idea!
Kuna watu wanapenda Road trips mkuu, sio kila mtu akipata nafasi ya kusafiri anataka kupanda ndege.
 
Wanakatiza Mbeya, Iringa then mtera,Dom hao Babati kwenda mbele huko wanapotea mpaka South.
Kuna jamaa alitoka na pikipiki London mpaka Cape town wiki moja.
Google "long way down"
Kapita kote hapo bongo. Rwanda,Malawi, Botswana, Morocco,.
Mpaka kafika yule mwamba.
 
Kama kweli wapo serious wajenge high speed train ya C2C
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…