21 July 2022
Arusha, Tanzania
Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki July 22, 2022 Arusha Tanzania
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakaokutana ktk kikao cha kawaida cha 22 cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzindua Mradi wa barabara inayounganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, tukio hilo litafanyika tarehe 22 July 2022 mjini Arusha.
Mradi huo uliofadhiliwa kwa pamoja baina ya Benki ya Maendeleo Africa AfDB na serikali za Tanzania na Kenya umegharimu dola za kiMarekani US$173.86 million. Inatazamiwa kuwa barabara hiyo itachochea biashara kukua ktk nchi za Afrika Mashariki na ya Kati kwa kupunguza siku magari na malori yanayofanya safari baina ya nchi wanachama wa EAC.
Meanwhile, on the morning of Friday, 22nd July, 2022, the Heads of State are expected to launch the 42.4 km Arusha Bypass Road. The bypass is part of the multinational Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project.
The bypass was co-funded by the African Development Bank (AfDB), the Africa Trade Fund and the Governments the United Republic of Tanzania and Republic of Kenya to the tune of US$173.86 million.
Source: Preparations in high gear for the High-level EAC Heads of State Retreat on the EAC Common Market and 22nd Ordinary Summit of the EAC Heads of State
Arusha, Tanzania
Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki July 22, 2022 Arusha Tanzania
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakaokutana ktk kikao cha kawaida cha 22 cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzindua Mradi wa barabara inayounganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, tukio hilo litafanyika tarehe 22 July 2022 mjini Arusha.
Mradi huo uliofadhiliwa kwa pamoja baina ya Benki ya Maendeleo Africa AfDB na serikali za Tanzania na Kenya umegharimu dola za kiMarekani US$173.86 million. Inatazamiwa kuwa barabara hiyo itachochea biashara kukua ktk nchi za Afrika Mashariki na ya Kati kwa kupunguza siku magari na malori yanayofanya safari baina ya nchi wanachama wa EAC.
Meanwhile, on the morning of Friday, 22nd July, 2022, the Heads of State are expected to launch the 42.4 km Arusha Bypass Road. The bypass is part of the multinational Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project.
The bypass was co-funded by the African Development Bank (AfDB), the Africa Trade Fund and the Governments the United Republic of Tanzania and Republic of Kenya to the tune of US$173.86 million.
Source: Preparations in high gear for the High-level EAC Heads of State Retreat on the EAC Common Market and 22nd Ordinary Summit of the EAC Heads of State

