Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Alikuwa anaendesha greda au anamwaga lami?Acha uongo, hizi barabara za mitaani kama huku Picnic na huku Ngarenaro na hapo kati alijenga nani...?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anaendesha greda au anamwaga lami?Acha uongo, hizi barabara za mitaani kama huku Picnic na huku Ngarenaro na hapo kati alijenga nani...?!
Misukule ya mwendazake inahaha sana kutafuta legacy za mchongoAcha uongo ni Mradi ulizinduliwa Kikwete huo
Kutoka Taveta Kenya: Rais Kikwete, Uhuru Wazindua Ujenzi Barabara ya Arusha-Holili-Taveta-Voi
Wanabodi, Habarini za Jumapili. Wakati wengi wengi wako kwenye mapumziko kwa siku kama ya leo, sisi watu wa tasnia ya habari hapa ni kazi tuu, hakuna siku ya mapumziko, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, sisi ni kazi tuu, na hiki ndicho ninachokifanya Jumapili ya leo. Marais Jakaya Kikwete wa...www.jamiiforums.com
Pole alawa. Sisi Arusha tunampenda Magu!! Musituharibie mji wetu wakati Moshi yenu hamtaki wageni.Tunalibomoa, tunaweka la mama Samia na Uhuru Kenyata
Ukweli utabaki aliye break foundation ya kujenga bwawa la Nyerere ni Magufuli hata kama mipango ipo tangu enzi za Nyerere. Same logic apply to projects alizofanya Kikwete zikakamilika wakati wa Magufuli.Basi Bwawa likikamilika atakuwa amelijenga Nyerere maana plan ilikuwepo toka enzi zake, na Bandari ya Bagamoyo ikikamilika atakuwa kajenga Kikwete kama tukitumia mtindo huo wa 'Logic' ...
Mnabishania nini???Huo mpango wa lami aliuacha Kikwete wala siyo Magufulia alitafuta hiyo hela acha uongo pamoja na dar na majiji memgine. Ulikuwa mpango wa kuboresha majiji na uliasisiwa na JK
![]()
Rais Kikwete azindua mradi wa kuboresha na kuendeleza miji ya Tanzania jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. John Mongella kuzindua rasmi mradi mkubwa wa kuboresha na kuende...edwinmoshi.blogspot.com
Mnabishania nini????Kwani nani alijenga na usimamizi ulikuwa ni wa kipindi gani...?! Wapi nimesema Magufuli alitafuta hela...?!
Sawa, na mradi wa maji wa bilioni 520 hapa Arusha nani apewe credit...?!Ukweli utabaki aliye break foundation ya kujenga bwawa la Nyerere ni Magufuli hata kama mipango ipo tangu enzi za Nyerere. Same logic apply to projects alizofanya Kikwete zikakamilika wakati wa Magufuli.
Give credit where its due.
Kwamba, Magufuli hakuna barabara hata moja aliyojenga Arusha... nikakataa...Mnabishania nini????
Hiyo siyo barabara...acha kuhamisha magoliSawa, na mradi wa maji wa bilioni 520 hapa Arusha nani apewe credit...?!
Nilikuwa nakupa mfano tu, hizi barabara kwenye andiko lako la blog umesema zimejengwa na Kikwete nikakuuliza kwanini toka 2012 hazikujengwa zikaja kujengwa kwenye 2016 ukasema barabara haijengwi kwa siku moja...Hiyo siyo barabara...acha kuhamisha magoli
Hao wanaifungua ianze kufanya kazi, jiwe la msingi aliweka mafuguliAkiwa kaburini? Hilo Jiwe la msingi ataweka Samia na Uhuru Kenyatta
Roho yako ya koroshoMagufuli hamna barabara alijenga Arusha hata moja. Hata ile ya Mianzini aliyoahidi kwa Mbwembwe tena hadharani haijajengwa hadi leo
Alikuwa shujaa wa AfrikaBarabara hii iliwekewa jiwe la msingi na hayati Magufuli
Nini wewe? Ebu lala sasa hapo sofani sebuleni kwa shemeji yako.Mnabishania nini???
Tabia za kiTanzania hizo, hasa nyakati hizi.Mnabishania nini???
Jitahidi ujifungue hio mimba naona inakutesa sana. Yani unatumia kila aina ya nguvu ilimradi kumnyang'anya sifa jembe na kutaka kujifanya Jakaya ndio alifanya mwehu kweli wewe. Mipango sio swala, utekelezaji ndio ishu.Huo mpango wa lami aliuacha Kikwete wala siyo Magufulia alitafuta hiyo hela acha uongo pamoja na dar na majiji mengine. Ulikuwa mpango wa kuboresha majiji na uliasisiwa na JK
![]()
Rais Kikwete azindua mradi wa kuboresha na kuendeleza miji ya Tanzania jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. John Mongella kuzindua rasmi mradi mkubwa wa kuboresha na kuende...edwinmoshi.blogspot.com
Huyo jamaa ni mchicha mwibaUnaishi Arusha gani wewe taahi.ra? barabara ya nzuri kuliko zote hii ya njia nne kuja Tengeru alijenga bwanaako?!!