Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

Tabia za kiTanzania hizo, hasa nyakati hizi.

Hii mada ina mambo mazito zaidi kuhusu hizo barabara (Wakenya wanaziita barabara walizojenga wao kwenda Burundi!).
Hii mada ilitakiwa ijadili maana ya uwepo wa barabara hizo na nani anafaidika nazo zaidi.

Kenya tayari wanayo mikakati ya kutumia njia hiyo kwenda Burundi na DRC kupitishia mizigo toka Mombasa; sisi hapa tunajaza kurasa za JF na nani alijenga!
Kenya wanafufua reli yao toka Voi hadi mpakani, na wanajenga bandari kavu hapo Taita Taveta. Burundi na DRC badala ya kwenda Mombasa na Dar es Salaam, mizigo yao wataipokea hapo kwenye bandari kavu. Hata sehemu yote ya Kaskazini mwa Tanzania, na kote hadi mikoa ya Mwanza, Kagera, Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, singida itakuwa rahisi kwao kupitishia mizigo yao Mombasa kuliko kwenda Dar es Salaam.

Sasa watu hapa hawalioni hilo kuwa la muhimu na maana kubwa, lakini kazi yetu ni kushangilia Magufuli, Kikwete kwa jambo ambalo linafaidisha zaidi wengine kuliko sisi.

Haya ndiyo maajabu ya nchi yetu hii Tanzania.
Huna akili
 
Tabia za kiTanzania hizo, hasa nyakati hizi.

Hii mada ina mambo mazito zaidi kuhusu hizo barabara (Wakenya wanaziita barabara walizojenga wao kwenda Burundi!).
Hii mada ilitakiwa ijadili maana ya uwepo wa barabara hizo na nani anafaidika nazo zaidi.

Kenya tayari wanayo mikakati ya kutumia njia hiyo kwenda Burundi na DRC kupitishia mizigo toka Mombasa; sisi hapa tunajaza kurasa za JF na nani alijenga!
Kenya wanafufua reli yao toka Voi hadi mpakani, na wanajenga bandari kavu hapo Taita Taveta. Burundi na DRC badala ya kwenda Mombasa na Dar es Salaam, mizigo yao wataipokea hapo kwenye bandari kavu. Hata sehemu yote ya Kaskazini mwa Tanzania, na kote hadi mikoa ya Mwanza, Kagera, Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, singida itakuwa rahisi kwao kupitishia mizigo yao Mombasa kuliko kwenda Dar es Salaam.

Sasa watu hapa hawalioni hilo kuwa la muhimu na maana kubwa, lakini kazi yetu ni kushangilia Magufuli, Kikwete kwa jambo ambalo linafaidisha zaidi wengine kuliko sisi.

Haya ndiyo maajabu ya nchi yetu hii Tanzania.
ASANTE KWA UFAFANUZI MZURI.
 
Hii mada ilitakiwa ijadili maana ya uwepo wa barabara hizo na nani anafaidika nazo zaidi.

Inasikitisha watu hawaoni fursa halafu wanabaki kusema Kenya inajifanya kuwa ni kaka mkubwa / Big brother kwa kufunika kote kuanzia sekta ya uwekezaji mpaka sekta ya upashaji habari TEHAMA kikanda / kimataifa kwani Arusha inaonekana ipo Kenya kwani vyombo vya habari vya Kenya vimefunika kuhusu matukio yote kuanzia retreat, Summit na ufunguzi wa barabara Arusha bypass / East African Road wakitumia lugha zote mbili kubwa yaani Kiingereza na kiSwahili na dunia kupata habari kupitia mass media za Kenya na citizen journalists almaruf Netizens walio waKenya.
 
21 July 2022
Arusha, Tanzania

Summit of EAC Heads of State commit to revitalize the bloc's Common Market​

Posted in Press Release

East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania, 21st July, 2022: The Summit of EAC Heads of State have reaffirmed their commitment to implementing the EAC Common Market Protocol.
1658488494337.png

The Summit that met physically for the first time in three years noted that the Common Market was the best way to increase intra-regional trade and spur economic growth in the region.

The High Level Retreat for the Summit on the EAC Common Market that was held today in Arusha, Tanzania under the chairmanship of Kenyan President Uhuru Kenyatta, deliberated at length on the vast opportunities available to the region under the protocol and how to exploit them for the benefit of all Partner States.

Kenya's President and Chairperson of the EAC Summit, H.E. Uhuru Kenyatta is welcomed by Tanzania's Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, Ambassador Liberata Mulamula, to the High Level Retreat for the Summit on the EAC Common Market in Arusha, Tanzania.


In his remarks, President Uhuru said that infrastructure development was critical in attaining the region’s objective of being one big market stretching from the Indian Ocean to the Atlantic Ocean.

President Kenyatta said that East Africa would only attain the Common Market if its citizens were able to communicate easily, and to move and ferry goods freely across the region.

President Kenyatta said that Kenya was keen to build transnational roads extending to all her borders, adding that the Multinational Bagamoyo-Horohoro-Lunga Lunga-Malindi Road stretching along the coasts of Kenya and Tanzania was currently under construction and would be launched soon.

The EAC Chairperson said that the massive infrastructure development including modern railroads on both the Northern and Central Transport Corridors was meant to reduce the cost of movement of people and goods across the region.

President Kenyatta said that if the region is not interlinked through infrastructure, it would remain a market for other nations and blocs, not a producer of commodities for sale.

He said that by exporting minerals and raw materials, the region would essentially be exporting jobs as is now the case, adding that value addition to national products was key.

President Kenyatta said that EAC had a vast opportunity to grow with its ever-expanding market and therefore reduced economic dependence on the developed world.

He defended his government’s policy to take Chinese loans saying that without infrastructure development, Kenya and by extension EAC would remain a primary producer of raw materials.

The President of the United Republic of Tanzania, H.E Samia Suluhu Hassan, speaks at the High Level Retreat for the Summit on the EAC Common Market.


On her part, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan called for intensive agriculture through irrigation and rainwater harvesting to double food production in the region and boost food security.

President Hassan emphasised the need to avail cheap credit to farmers to purchase inputs to boost agricultural production.

President Hassan further observed that pre- and post-harvest losses were impacting negatively on agricultural production in the region, adding that proper storage was crucial to attaining food security.

The Tanzanian Head of State called for the establishment of a food balance sheet for the region that would state what each country produces and on what scale.

President Hassan said that Burundi was a good example of agricultural transformation saying that the country had witnessed increase food production due to good governance and an improved security situation.

President Hassan disclosed that Tanzania was determined to increase its maize production from the 6 million tonnes for the current year to 18 million tonnes in 2023, adding that through proper planning, the region has the capacity to feed itself with a surplus for export.

pr 21072022 03


Speaking at the retreat, Ugandan President Yoweri Museveni said that there is no way a country or region could achieve prosperity if it doesn’t solve the issue of market size.

“The more goods people can buy from you, the better,” said President Museveni, adding that the global trend over the past two hundred years was to expand markets to guarantee prosperity.

President Museveni observed that Latin America was rich in natural resources yet its people were suffering and flocking to the US to escape poverty due to disorder in the region's economic policies.

President Museveni said that a robust policy framework was key attaining economic growth in all sectors.

On Covid-19, President Museveni said that it had been a mixed bag with a good and bad side. He said that Uganda was upgrading its ARV factory to produce vaccines for life-threatening diseases and conduct research.

The Ugandan Head of State said the current fuel price crisis was another opportunity for the EAC and Africa to take charge of their destiny by shifting to cheap and cleaner energy sources. He disclosed that Uganda would upgrade its Kiira automobile plant to produce electrical cars that reduce fuel consumption.

pr 21072022 04


On his part, Burundi’s President Evariste Ndayishimiye said that EAC was doing well in terms of inter-linking its markets through infrastructure development and allowing free movement of persons.

President Ndayishimiye said that the Economic Community of Central African States (ECCAS) of which Burundi is a member was not interlinked due to lack of cooperation in infrastructure development.

pr 21072022 06


In his remarks, Rwanda’s Prime Minister Édouard Ngirente, who represented President Paul Kagame, said that the high cost of air tickets in the region would only be reduced by Partner States removing all restrictions on air transport services.

pr 21072022 07


South Sudan’s Presidential Affairs Minister Barnaba Marial Benjamin, who represented President Salva Kiir, said that South Sudan’s Revenue Authority has improved collection of non-oil revenue.

Hon. Benjamin said that the country was virgin territory with enormous resources including wildlife and livestock

SP


Attending the retreat as a guest of the Summit, Somalia’s President Hassan Sheikh Mohamud made an appeal to the Heads of State to have his country admitted as a member of the bloc.

President Mohamud said that his country had made an application to join the bloc in 2014 but added that the circumstances did not allow the application to be processed.

President Mohamud said that Somalia has had a long-time dream of joining the bloc with she shares strong historical, cultural, linguistic and economic links.

He thanked the EAC Partner States for the great efforts that they have made over the years to stabilise his country including peace-keeping.

President Mohamud said that future of Somalia and the EAC was interlinked, adding that Somalia had a lot to contribute to a stronger and more prosperous EAC including 10 million acres of arable land.

pr 21072022 05


Also present at the function was the Prime Minister of the Democratic Republic of the Congo, H.E. Jean-Michel Sama Lukonde Kyenge, who represented Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo.

Source : Summit of EAC Heads of State commit to revitalize the bloc's Common Market
 
Toka maktaba :
1 August 2017

Multinational Arusha – Holili / Taveta – Mwatate (A6) Road Documentary




The completed construction of the Multinational Arusha - Holili/Taveta – Mwatate (A6) Road in Taita Taveta County.

In 2013, Kenya National Highways Authority embarked on major transformative road infrastructure project in the Coastal Region, aimed at easing congestion, enhancing connectivity and facilitating regional integration.

The upgrading of the 90 Kilometres Mwatate – Taveta (A6) Road and a 9 Kilometer spur road through Taveta Town has been upgraded to Bitumen Standard.

The road project is part of the East Africa Community Multinational Road Corridor linking Arusha in Tanzania to Taveta through the Holili/Mwatate border. With the road completed, it is expected to increase the country’s business competitiveness by providing an efficient route for cross border trade and tourism movement as well as enhance regional integration.

The project was jointly funded by the African Development Bank (AfDB) and the Government of Kenya at the cost of Kshs.8.4 billion, and was implemented by the Third Engineering Bureau of China City Construction Ltd under supervision of the Kenya National Highways Authority (KeNHA).
Source : KENYA NATIONAL HIGHWAYS AUTHORITY
 
Inasikitisha watu hawaoni fursa halafu wanabaki kusema Kenya inajifanya kuwa ni kaka mkubwa / Big brother kwa kufunika kote kuanzia sekta ya uwekezaji mpaka sekta ya upashaji habari TEHAMA kikanda / kimataifa kwani Arusha inaonekana ipo Kenya kwani vyombo vya habari vya Kenya vimefunika kuhusu matukio yote kuanzia retreat, Summit na ufunguzi wa barabara Arusha bypass / East African Road wakitumia lugha zote mbili kubwa yaani Kiingereza na kiSwahili na dunia kupata habari kupitia mass media za Kenya na citizen journalists almaruf Netizens walio waKenya.
Sasa mkuu 'bagamoyo', kama si kurogwa tuiite nini akili yetu hii kwa haya uliyoyaainisha hapa juu ya yanayotokea sasa hivi nchini mwetu wenyewe; na kuonekana kama ni tukio linalotokea nchi jirani!

Kuna nyakati mtu atadhani Arusha na Kilimanjaro zilistahiri kuwa Kenya kuliko kuwa Tanzania.
Na niseme wazi, ni sehemu hizi mbili ndizo lango kuu la uingiaji wa Kenya kufanya mambo yake hapa Tanzania.

Ni kama sehemu iliyotekwa, na taratibu sehemu hiyo inakuwa ngome ya kuteka sehemu zingine za nchi taratibu!
 
Kuna nyakati mtu atadhani Arusha na Kilimanjaro zilistahiri kuwa Kenya kuliko kuwa Tanzania.
Na niseme wazi, ni sehemu hizi mbili ndizo lango kuu la uingiaji wa Kenya kufanya mambo yake hapa Tanzania.

Ni kama sehemu iliyotekwa,

Hizi ndizo geopolitical strategy ambazo Tanzania inashindwa kutumia Burundi, Rwanda, DR Congo n.k huku Kenya inatupiga kwa kuwa na think-tank wenye uelewa wa geopolitical strategy(kimsingi ni kutafuta makoloni) kama za nchi zilizoendelea kuchangamkia kinachoitwa fursa.

Hakuna nchi inayoweza kufikiria kuwa 'ukoloni' ni unyama ikaendelea. 'Ukoloni' mpya yaani zaidi ya neo-colonialism ni wa kutafuta fursa na hii siyo dhambi. US, Australia, China, UAE, Omani, EU zote zimeachana na ukoloni mkongwe na wamekuja na aina mpya ya ukoloni wa kisasa ili waweze kuwa mbele kudaka fursa na kujitanua kibiashara na kimasoko.
neo-colonialism
  1. the use of economic, political, cultural, or other pressures to control or influence other countries, especially former dependencies

21 July 2022

President Uhuru defends huge investment in infrastructure across region



President Uhuru Kenyatta defends huge investment in infrastructure across region Pres. Uhuru says infrastructure key to facilitating integration, trade Pres. Uhuru in Arusha for E.Africa community heads of state summit

Source : Citizen TV Kenya

Sisi Tanzania ktk shughuli nyeti kama hizi kazi kubwa ni kusomba kwa malori / mabasi waTanzania waliovaa mashati ya kijani kwa malori kushuhudia hafla, sherehe na muziki mwingi wa kuburudisha. Nchi inaangalia mambo ndani ya box zaidi haioni fursa nje ya box.
 
Hizi ndizo geopolitical strategy ambazo Tanzania inashindwa kutumia Burundi, Rwanda, DR Congo n.k huku Kenya inatupiga kwa kuwa na think-tank wenye uelewa wa geopolitical strategy(kimsingi ni kutafuta makoloni) kama za nchi zilizoendelea kuchangamkia kinachoitwa fursa.

Hakuna nchi inayoweza kufikiria kuwa 'ukoloni' ni unyama ikaendelea. 'Ukoloni' mpya yaani zaidi ya neo-colonialism ni wa kutafuta fursa na hii siyo dhambi. US, Australia, China, UAE, Omani, EU zote zimeachana na ukoloni mkongwe na wamekuja na aina mpya ya ukoloni wa kisasa ili waweze kuwa mbele kudaka fursa na kujitanua kibiashara na kimasoko.


21 July 2022

President Uhuru defends huge investment in infrastructure across region



President Uhuru Kenyatta defends huge investment in infrastructure across region Pres. Uhuru says infrastructure key to facilitating integration, trade Pres. Uhuru in Arusha for E.Africa community heads of state summit

Source : Citizen TV Kenya

EeeeHeeee!

Inanibidi nicheke tu nikifikiria Tanzania "kuwa koloni" la Kenya kwa njia yoyote ile!

Labda nikuulize swali mkuu wangu 'bagamoyo', huenda wewe ukawa na jibu lake. Mimi nimejaribu mara nyingi kutafuta jibu la hii barabara inayorandaranda kandokando ya bahari, toka huko Kenya (Kilifi) hadi Bagamoyo. Hivi mkakati wa barabara hii hasa ni upi?

Tunakopeshwa hela toka AfDB kuijenga hii barabara; lakini hakuna lolote tunalofanya kuboresha miundombinu yetu inayotuunganisha na nchi jirani kama DRC na nyingine. Hivi kuna mbinu zipi juu ya hii barabara?

Hii nayo imo kwenye mipango ya 'geo-politics, geo-economic' inayotupeleka kwenye ukoloni mpya?

Sasa kuhusu wazo lako la Kenya kuwa wajanja na kutafuta makoloni. Inaelekea hawajui namna ya kula na vipofu,, kama hili koloni la kiTanzania wanalolisuka sasa hivi.
Wanapozuia uwekezaji kwao, au kuuzwa bidhaa kwenye soko lao kwa sababu za kijinga kijinga tu, hata hawa vilaza wa aina ya Tanzania, na wao kuna siku wataanza kujiuliza maswali, kulikoni!

Kama ni 'geo-politics/geo-economics', inaonekana hawana ujuzi wa kuutekeleza ili uwape mafanikio. Hata viongozi kama akina Samia wasiokuwa na hapa wala pale juu ya mambo kama haya, kuna wakati watastuka.
 
Hakuna nchi inayoweza kufikiria kuwa 'ukoloni' ni unyama ikaendelea.
Hii sentensi yako fupi hapa imenitatiza sana nilipoisoma mara ya kwanza kabla sijaweka niliyoandika hapo juu.

Bado inanitatiza kwelikweli kiasi kwamba sijui kama ninaweza kuandika chochote cha maana juu yake kwa wakti huu.

Ngoja nikae nayo kichwani kwanza.
 
Back
Top Bottom