Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Hapana sio Kikwete, zilijengwa kipindi cha Magufuli hadi Mwaka 2015 ilikuwa ni mwendo wa vumbi tu Makao Mapya hadi Ngarenaro, na ile mitaa ya Picnic...Kikwete alijenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio Kikwete, zilijengwa kipindi cha Magufuli hadi Mwaka 2015 ilikuwa ni mwendo wa vumbi tu Makao Mapya hadi Ngarenaro, na ile mitaa ya Picnic...Kikwete alijenga
Hilo litawekwa Ngaramtoni maeneo ya TPRI hapo Kesho...Tunalibomoa, tunaweka la mama Samia na Uhuru Kenyata
Huo mpango wa lami aliuacha Kikwete wala siyo Magufulia alitafuta hiyo hela acha uongo pamoja na dar na majiji memgine. Ulikuwa mpango wa kuboresha majiji na uliasisiwa na JKHapana sio Kikwete, zilijengwa kipindi cha Magufuli hadi Mwaka 2015 ilikuwa ni mwendo wa vumbi tu Makao Mapya hadi Ngarenaro, na ile mitaa ya Picnic...
Kwani nani alijenga na usimamizi ulikuwa ni wa kipindi gani...?! Wapi nimesema Magufuli alitafuta hela...?!Huo mpango wa lami aliuacha Kikwete wala siyo Magufulia alitafuta hiyo hela acha uongo pamoja na dar na majiji memgine. Ulikuwa mpango wa kuboresha majiji na uliasisiwa na JK
![]()
Rais Kikwete azindua mradi wa kuboresha na kuendeleza miji ya Tanzania jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. John Mongella kuzindua rasmi mradi mkubwa wa kuboresha na kuende...edwinmoshi.blogspot.com
Hahahaaaa....hamtokaa msahau maishani mwenu vile "mshamba" aliwanyoosha na hatoki mioyoni mwa watanzania licha ya matusi na dhihaka za nyie mash..oga, mafisadi na vibaraka wa mabepari kila kukicha.Kwwhiyo?
Mradi ni wa Serikali ya awamu ya 4. Magufuli hakujenga barabara Arusha hata moja. NuktaKwani nani alijenga na usimamizi ulikuwa ni wa kipindi gani...?! Wapi nimesema Magufuli alitafuta hela...?!
Unaishi Arusha gani wewe taahi.ra? barabara ya nzuri kuliko zote hii ya njia nne kuja Tengeru alijenga bwanaako?!!Magufuli hamna barabara alijenga Arusha hata moja. Hata ile ya Mianzini aliyoahidi kwa Mbwembwe tena hadharani haijajengwa hadi leo
Kwani bandari ya bagamoyo hakuacha keshasainisha mikataba ijengwe, ilijengwa? Mbona mnajificha nyuma ya kibodi kumdhihaki JPM? simameni jukwaani mtukane muone kitachowapata, kamuulize Nape kule kwao nini kilitokea aliposena Mungu kaamua ugomvi.Huo mpango wa lami aliuacha Kikwete wala siyo Magufulia alitafuta hiyo hela acha uongo pamoja na dar na majiji memgine. Ulikuwa mpango wa kuboresha majiji na uliasisiwa na JK
![]()
Rais Kikwete azindua mradi wa kuboresha na kuendeleza miji ya Tanzania jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. John Mongella kuzindua rasmi mradi mkubwa wa kuboresha na kuende...edwinmoshi.blogspot.com
Chato international airport zinatua ndege ngapi kwa siku mkuu?Hahahaaaa....hamtokaa msahau maishani mwenu vile "mshamba" aliwanyoosha na hatoki mioyoni mwa watanzania licha ya matusi na dhihaka za nyie mash..oga, mafisadi na vibaraka wa mabepari kila kukicha.
Nawe ndugu bagamoyo ni hazina kubwa sana hapa Jamii Forum kwa kutuhabarisha kwa kina taarifa mbali mbali.Kweli nimeamini kuwa JamiiForums ni mtandao wa habari za uhakika nambari moja, ulio na vyanzo na maktaba za habari zilizopita ili kuweka kumbukumbu sawa.
Maana wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ya Tanzania tovuti yake haipo sawa / hewani https://www.foreign.go.tz/contacts wakati ndiyo inatumainiwa kuendeleza kufungua nchi kikanda, ki-kontinenti na kimataifa kwa habari motomoto za wakati kwa lugha ya kiswahili na kiingereza n.k
Wacha JamiiForums iendelee na jukumu la kuifungua nchi .
hiyo habari uliyoleta ya hiyo Blog umeisoma kweli...?! hapo ilikuwa ni mwaka 2012 akizindua jiji la Arusha... wameeleza mataa ya Esso ambayo yaliwekwa, nini kilishindikana wakaja kujenga 2016...?!Mradi ni wa Serikali ya awamu ya 4. Magufuli hakujenga barabara Arusha hata moja. Nukta
Sijamdhihaki. Nimesema ukweli. Na ukwelu haupigwi jiweKwani bandari ya bagamoyo hakuacha keshasainisha mikataba ijengwe, ilijengwa? Mbona mnajificha nyuma ya kibodi kumdhihaki JPM? simameni jukwaani mtukane muone kitachowapata, kamuulize Nape kule kwao nini kilitokea aliposena Mungu kaamua ugomvi.
Huo ni mradi alianza JK ukiwa umeshaanza. Matusi hayatabadilishwa ukweli. Inaonesha tu ulivyo desperateUnaishi Arusha gani wewe taahi.ra? barabara ya nzuri kuliko zote hii ya njia nne kuja Tengeru alijenga bwanaako?!!
Barabara haijengwi kwa siku moja. Hata Bwala Nyerere anaendelea kujenga Samia. Ukweli ni ukweli hata uupinge vipi unabaki kuwa ukweli japo unaumahiyo habari uliyoleta ya hiyo Blog umeisoma kweli...?! hapo ilikuwa ni mwaka 2012 akizindua jiji la Arusha... wameeleza mataa ya Esso ambayo yaliwekwa, nini kilishindikana wakaja kujenga 2016...?!
Basi Bwawa likikamilika atakuwa amelijenga Nyerere maana plan ilikuwepo toka enzi zake, na Bandari ya Bagamoyo ikikamilika atakuwa kajenga Kikwete kama tukitumia mtindo huo wa 'Logic' ...Barabara haijengwi kwa siku moja. Hata Bwala Nyerere anaendelea kujenga Samia. Ukweli ni ukweli hata uupinge vipi unabaki kuwa ukweli japo unauma
Watu wa kaskazini mna usela maviTunalibomoa, tunaweka la mama Samia na Uhuru Kenyata
Afadhali[emoji1545]Acha uongo ni Mradi ulizinduliwa Kikwete huo
Kutoka Taveta Kenya: Rais Kikwete, Uhuru Wazindua Ujenzi Barabara ya Arusha-Holili-Taveta-Voi
Wanabodi, Habarini za Jumapili. Wakati wengi wengi wako kwenye mapumziko kwa siku kama ya leo, sisi watu wa tasnia ya habari hapa ni kazi tuu, hakuna siku ya mapumziko, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, sisi ni kazi tuu, na hiki ndicho ninachokifanya Jumapili ya leo. Marais Jakaya Kikwete wa...www.jamiiforums.com
Angependa isifunguliwe labda.