Barabara ya Njia 4 Kibaha - Morogoro itakuwa na Tozo

Hukupata bahati ya kubondwa risasi ndo maana unasema alikuwa na mapungufu ya kibinadamu
Sasa unahangaika na kichaa akikuumiza utashtaki mahakama ipi? Tatizo mlikuwa mnataka muishi na kichaa kikichaa kichaa!
Yule bwana ukifata mambo yako alikuwa haangaiki na wewe.
 
We huoni umuhimu wa barabara ya Dar to morogoro kuwa double road? ...Sasa kwa akili km hz maendeleo yatakuja kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wahuni katika ubora wao. Najiuliza mwanaume magufuri aliendeshaje nchi bila kusumbua wananchi kwa kutaka kodi zao, yaani miradi lukuki iliendelea na maisha yalikuwa mazuri wananchi walifurahia, inakuwaje kwa hangaya???. Inamaana wakati mzee anaongoza nchi wao walikuwa wamejifungia hawaelewi miujiza ile hadi kaondoka
 
That is why you will never be
 
Mikopo ya ovyo inatumaliza kodi za ndani zinatumila kwa anasa na waliojichukulia nchi
 
Sio hiyo tuu hata Igawa-Mbeya-Tunduma nayo itakuwa na tozo..

Kuna barabara kama 4 hivi zinazojengwa kwa utaratibu huo zote zitakuwa ni toll Road..

Hii ni njia nzuri ya kujenga Barabara nyingi kwa wakati mmja.
 
Barabara inajengwaa kwa Tozoo alafu inatozwaa tozooo...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nchi naona sasa inatafuta kupinduliwa kwa hizi tozo zilizozidi. Tozo za barabarani zilikuwapo. Tukakubaliana kwamba badala ya kutoza tozo za matumizi ya barabara huko huko barabarani, tuziweke kwenye mafuta, kwamba kila unaponunua mafuta diesel au petroli, kuwe na makato ya tozo ya matumizi ya barabara.

Sasa iweje tuna mnatuambia tutatozwa kutumia hii barabara?

Kama imejengwa na kampuni binafsi serikali inapaswa kufanya mpango kuilipa hiyo kampuni kwa kuchukua sehemu ya makato tunayolipia kwenye mafuta, sio kututoza tozo ya kitu kile kile mara mbili.

Na Samia yupo tu, anakubaliana na uonevu huu?
 
Mi naona wachumi wa serikali wakae chini wapige hesabu zao kisha watwambie nini kama nchi inahitaji kukamilisha kwa muda flani.baada ya hapo ipige gharama zake na igawanywe kwa kila raia mwenye uwezo kwamba anatakiwa achangie kiasi kadhaa kwa muda kadhaa awe amemaliza mchango wake!

Hizi habari za leo hiki,kesho tozo ya kile inatuharibia bajeti binafsi!!
 
Bado hewa na mwanga wa jua !!!! it is just a matter of time as the trend of events surface
 
Si mlisema kwamba jamaa ni mshamba 😂 mara ooh dikteta. Yule mzee alazwe pema peponi mazuri yake ni mengi kuliko udhaifu wa kibinadamu aliokuwa anasimangwa nao.
Hao wanaowaita wazuri, tozo kila sehemu. Ipo siku watatutoza tozo ya haja ndogo na kubwa!
 
Mpaka siku tutakapo kubaliana kwanza sisi watanzania ni wapumbavu na wajinga kisha tuanze kuukataa upumbavu na ujinga ndo tutazifurusha hizi takataka zilizotufikisha hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…