Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1]Watakaa wagogo huko maghorofani siku za usoni
Lakini bado hujajibu swali la "picha'., nadhani kwa maksudi tu!Hapana, wizara karibu zote magorofa yanapanda, na ujenzi unaendelea.
Duh,Wanajitoaga ufahamu tuu hao..Hata Ruto keshawageuka Ma Hustler huko baada ya kuona reality.
Na UDOM alijengaMagufuli? Wafuasi wa Magufuli ni washamba km yeye mwenyewe. Huo mji anaujenga mama, ndg yenu hakufanya la maana aliuacha ukiwa ndio unaanza kujengwa.Kila mtanzania mzalendo wa kweli haachi kutaja jina la Magufuli kwa mazuri. Bado nafarijika bado SGR ,Bomba la mafuta na Stigers gorge havijakamilika lakini wapinzani wanakiri kazi zake.
Mbona hiyo ipo, labda useme tu kuwa haijatekelezwa. Ujenzi wa mji ni hatua kwa hatua.Wamapotumia Kodi zetu vizuri kwanini tusiwapongeze?
Kwetu sisi Madereva wa safari ndefu imekosekana Dom Bypass itakayokuwa inatufanya tusiingie Mjini kati ni kero sana
Kwa hiyo huyu anaetoa pesa ili kazi zikamilike astahili pongezi?Hongera nyumbu kwa kuanza kukubali juhudi zaMagufuli
Familia zipi? Kama aliyekua makamu wake anamng'onga Kila siku unadhani nani alikua anamkubali zaidi ya wanafiki wachache?Ila wewe na familia yako ndio viongozi wazuri? Kwa taarifa yako unapoteza muda wako tu bure kwani Watz waliowengi wanamheshimu sana Hayati Magufuli na wanakumbuka sana mazuri aliyowatendea, lakini wewe na mafisadi wenzio hamuwezi kumpenda Hayati kwa kuwa aliwathibiti ipasavyo.
Acha kueleza uongo hapa. Majengo yote ya ghorofa kwa ajili ya wizara mbalimbali ndio yameanza ujenzi awamu hii ya sita na fedha zipo. Majengo hayo yapo hatua mbalimbali hakuna lililosimamaKasi ya ujenzi wa huo mji imepungua sana.Kuna magorofa zaidi ya 50 ambayo ni ofisi za mawizara,ajabu ni kwamba mengi yametelekezwa bila kuisha,yale yanayoendele kujengwa unakuta mafundi ni wachache sana,gorofa linajengwa na mafundi watano peke yake,.
Aliyeihamishia serikali Dodoma ni Mwl Nyerere tusijisahaulisheNi sahihi huo mji wa Mwendazake utapendeza ukikamilika, nimewahi kuutembelea mwaka huu ukiwa kwenye hiyo hatua ya Ujenzi.
Hivi Ikulu imefichwa wapi kwenye huo mji? nahisi imetengwa mbali na eneo la Wizara
Mko wengi, hata wewe huwa unajitoa ufahamu kutotambua mazuri aliyofanya Mwendazake!Wanajitoaga ufahamu tuu hao..
Ikulu inajengwa Chamwino, ni extension ya ikulu ya Sasa ya Chamwino.Ikulu haipo, ila kwenye plan, kulikuwa na eneo kwa ajili ya ujenzi Bunge ingawa kwa sasa sijui kama hiyo plan bado iko hivyo.
Kwa Sasa sifa anapaswa kupewa mama Samia kwa kuendeleza miradi iliyoanza awamu ya tano, maana ana Madaraka kamili ya kuachana na miradi hiyo na kuanzisha ya kwake, wote tunajuwa Rais wa Tanzania kikatiba ni Mungu mtu.Upinzani unakuwa na thamani kama panakuwepo na mindset ya sampuli hii, kuwa unpredictable, sio kupinga tu, kwani ukishazoeleka hivyo watu wataanza kuyapuuza mawazo yako, lakini ukiwa na misimamo tofauti [zuri sifia, baya kemea] kwangu hapa ndipo unachokisema kitasikilizwa.
Lakini kuogopa kusifia kwa kudhani kwamba watatumia hiyo sifa uliyowapa kukukaanga mbele ya safari, kwangu ni hofu tu isiyokuwa na maana.
Nyie ndio wenye chuki za aina hiyo kiasi kwamba mnatetea watu kupigwa risasi na wengine kupotezwa.Hii ni dalili kwamba mleta mada ameona chuki za kipumbavu hazisaidii zaidi ya kumuingezea presha
Hahaha amebalansi habariMakubwa haya! Leo umesifia juhudi za serikali........
Nionyeshe mwanafunzi hata mmoja ambaye anamimba anaendelea na masomo!! Siasa hizo.Familia zipi? Kama aliyekua makamu wake anamng'onga Kila siku unadhani nani alikua anamkubali zaidi ya wanafiki wachache?
Mfano JPM alipinga chanjo mbona ikaletwa na watu zaidi ya 2M walichanjwa? Same to Alipinga watoto wajawazito wasirudi shule ila Mama karuhusu na sijaona mtu kapinga.... WaTanzania ni wanafiki sana.
Wanaomshabikia JPM ni wasio na elimu ambao walikua wanadanganywa amekamata makontena ya Trillion 450 na wakaamini!!
Sasa uwe unashuka na ndege Dar utatamani wafunge madirisha wageni wasione chini kutu juu ya kutu ikitokea bahati tu inashukia upande wa Posta utaona afadhani kidogo lakini ditection ile ya Ilala utasema kambi ya wakimbizi.Mji gani wa Tz haufanani na dampo la taka? 😀
Hamia kwa mabwana zako huko. Kwani unalazimishwa kuja TZ?Sasa uwe unashuka na ndege Dar utatamani wafunge madirisha wageni wasione chini kutu juu ya kutu ikitokea bahati tu inashukia upande wa Posta utaona afadhani kidogo lakini ditection ile ya Ilala utasema kambi ya wakimbizi.