Ni kweli ni wamoja,sema washauri wa Mama wana nguvu kuliko yeye!!Hahhahaha halafu anasema yeye na mtangulizi wake ni wamoja! kweli??
Yaani wwe ukisha kua na tender ya Barakoa unataka kila mtu umvalishe Barakoa!? Ebu jaribu kusema na njaa yako itulie kidogo!!Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!
Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Wwe Mungu atachelewa kukutafuna wala usijali!! Tena vaa Barakoa ili asikutambuwe Mapema!!MUNGU naye kamtafuna mapema
Hahhahaha halafu anasema yeye na mtangulizi wake ni wamoja! kweli??
Kwani wewe baada ya miaka 45tuutakuwa wapi?Jisemee wewe, huku tanavaa barakoa. Nikuulize, Jiwe yuko wapi? Mmepigwa mkapigika, Mungu ni Mwema sana , daima na Milele
Hatuna Machepe,tuazime wwe!!Si mkafukue kaburi la mwendazake mjifukie pamoja naye
Vp kwanza hapo ulipo umevaa Barakoa!?
Wwe unaonekana Amb MulaMula humjui vizuri,yule ni msaani sana kumpita hata Mama Tibaijuka!!... Rais Samia ni lazima alindwe kwa nguvu zote dhidi ya hatari yoyote wewe! Uzuri amezungukwa na watu wenye akili akina Amb. Mulamula (ex-lecturer US) watu wenye exposure zilizotukuka sio wale wajinga wa kusifu na kuabudu! Na uzuri yeye huwa anasikiliza na kushaurika.
Samia kaushauriwa na Uhuru nae apige pesa za covid kwa kuigiza uvaaji wa Barakoa!!... uhai wa wananchi ni bora kuliko utalii! Samia is leading by examples; msipoelewa tena, mtakuwa na matatizo makubwa upstairs.
Hiyo mikusanyiko iko Ikulu tu!? Mbona huko kwenye mikusanyiko ya kweli Kama vile stand na masokoni hatuzioni hizo Barakoa!?Huu ni ujinga sana nausema kila mara humu, yaan mtu hakujui wala haujui ni nan wala hajui where you are na unafanya nn but anaropoka as lil kid eti liko juu ya kimo chako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dumbest kbs, hujalazimishwa uvae but kwenye mkusanyiko lazima uvae utake usitake! Kama vipi hamieni Madagascar. Hili suala ni sensitive tofaut na akili yako ya kisiasa inavyokudanganya
Kwakweli wahame tu.Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!
Ajent wa Barakoa kazini!!Ni vazi huru, ukipenda kuvaa sawa. Ukiona linakuziba kupumua tuambie tuandae kaburi
Endelea kuvaa Barakoa,sisi wengine Mungu alitupa vinyolowe ndani ya pua,ili vitusaidie kuchuja hewa Safi na chafu!!Yes nimevaa,barakoa zinauzwa mia 5 mkuu ,watu waache ubahili.
Ni wewe tu..wewe uliona propaganda wakati uhalisia ni ilikuwa ni kampeni ya kurudisha nchi kwenye misingi na ikapata uungwaji mkono mkubwa.Ogopa sana propaganda la nguvu miaka 6 mfululizo.
Yaani ilikuwa ni mwendo wa propaganda shambulio
Kila ukiamka, asubuhi mpaka jioni = Magazeti, TVs, Radios, Wasanii, Dini, Ibada.
Ni mwendo wa Magu, Magu, Magu, Magu , Magu.....
Lazima umuone huyo mtu ni mungu kabisa.
Popote nitakapokuwa, hai or nimekufa, sina doa la kuwaua wenzangu, wanadamu wenzangu, hiyo ndiyo point ninayosimamia. Jiwe liko kwenye malipizi ya Ben Saanane, Azory, Sandarusi coco beach, Risasi 16/39 etc etcKwani wewe baada ya miaka 45tuutakuwa wapi?
Ni kwa sababu kule katika nchi zao watokako walikuwa katika udhibiti (lockdown) sasa wangeweza vipi kuja tz? Walivolegeza kule udhibiti walikuja kwa spidi zoteMbona walishuka kwa kiwango cha kutisha wakati mnahimiza kuvuta mvuke ? Mama level ya uelewa wake iko juuu saana ni uzawazwa kumlinganisha na unampigania
Zama za yule mwehu wenu wa chattle zimepita..Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Utakuwa umekufa acha kujipa matumaini ati "hai or nimekufa" na huenda hata mwaka huu usiumalize ukalamba mchanga.Popote nitakapokuwa, hai or nimekufa, sina doa la kuwaua wenzangu, wanadamu wenzangu, hiyo ndiyo point ninayosimamia. Jiwe liko kwenye malipizi ya Ben Saanane, Azory, Sandarusi coco beach, Risasi 16/39 etc etc
Sawa, my point is not being dead or alive. Point ni kuwa Jiwe lenu linaoza huko kwa mashetani mlilolitegemea kuishiUtakuwa umekufa acha kujipa matumaini ati "hai or nimekufa" na huenda hata mwaka huu usiumalize ukalamba mchanga.