Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!
Yaani wwe ukisha kua na tender ya Barakoa unataka kila mtu umvalishe Barakoa!? Ebu jaribu kusema na njaa yako itulie kidogo!!
 

Hii ni awamu ya sita. Msiotaka tahadhari za msingi tu, hamieni Burundi.

Mama na alete ripoti za tume za Corona na za CAG BOT na TPA.

Pana vichwa vya watu kuliwa, mola na akatufanyie wepesi.
 
Wwe unaonekana Amb MulaMula humjui vizuri,yule ni msaani sana kumpita hata Mama Tibaijuka!!
 
... uhai wa wananchi ni bora kuliko utalii! Samia is leading by examples; msipoelewa tena, mtakuwa na matatizo makubwa upstairs.
Samia kaushauriwa na Uhuru nae apige pesa za covid kwa kuigiza uvaaji wa Barakoa!!
 
Hiyo mikusanyiko iko Ikulu tu!? Mbona huko kwenye mikusanyiko ya kweli Kama vile stand na masokoni hatuzioni hizo Barakoa!?
 
Ni wewe tu..wewe uliona propaganda wakati uhalisia ni ilikuwa ni kampeni ya kurudisha nchi kwenye misingi na ikapata uungwaji mkono mkubwa.
 
Kwani wewe baada ya miaka 45tuutakuwa wapi?
Popote nitakapokuwa, hai or nimekufa, sina doa la kuwaua wenzangu, wanadamu wenzangu, hiyo ndiyo point ninayosimamia. Jiwe liko kwenye malipizi ya Ben Saanane, Azory, Sandarusi coco beach, Risasi 16/39 etc etc
 
Mbona walishuka kwa kiwango cha kutisha wakati mnahimiza kuvuta mvuke ? Mama level ya uelewa wake iko juuu saana ni uzawazwa kumlinganisha na unampigania
Ni kwa sababu kule katika nchi zao watokako walikuwa katika udhibiti (lockdown) sasa wangeweza vipi kuja tz? Walivolegeza kule udhibiti walikuja kwa spidi zote
 
Zama za yule mwehu wenu wa chattle zimepita..
Ameichezea corona nayo ikamtandika.
 
Popote nitakapokuwa, hai or nimekufa, sina doa la kuwaua wenzangu, wanadamu wenzangu, hiyo ndiyo point ninayosimamia. Jiwe liko kwenye malipizi ya Ben Saanane, Azory, Sandarusi coco beach, Risasi 16/39 etc etc
Utakuwa umekufa acha kujipa matumaini ati "hai or nimekufa" na huenda hata mwaka huu usiumalize ukalamba mchanga.
 
Utakuwa umekufa acha kujipa matumaini ati "hai or nimekufa" na huenda hata mwaka huu usiumalize ukalamba mchanga.
Sawa, my point is not being dead or alive. Point ni kuwa Jiwe lenu linaoza huko kwa mashetani mlilolitegemea kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…