Jibu nilichokuuliza acha kujichekelesha-chekelesha!wala si ajabu,balaa ni pale nyumbu wanapohisi faraja jiwe kufariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
unawaza adui yao alikuwa jiwe ama utawala wa ccm??[emoji23][emoji23]
poor arnimals.
kwani nini hujaelewa hapo,ni kichwa kimejaa kamasi au asili ya jina lenu(nyumbu) ndio tatizo!!!!Jibu nilichokuuliza acha kujichekelesha-chekelesha!
Nimekuuliza, Mataga siku hizi mmekuwa wapinzani wa serikali ya CCM?
Magufuli aliiletea kiburi Corona,, mwishoe ikamuondoa,Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Itakuwa alikuwa anawapiga miti hawa mbwaMagu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Sioni chochote bossWewe unaonaje?
Maccm ndo yanamshambulia na yanamzodoa asivae..wanataka kila mwezi tuweke matanga Ikulu...Mama Samia vaaa barakoa mama yetu tunakupenda mnoWatanzania hawajui wanataka nini bwashehh
Wakati wa jpm alikuwa havai watu walikuwa wanamshambulia,sahv mama anavaa anashambuliaaa
Ova
😍😍😍😍😍Dada Leti kama wewe hutaki kuvaa barakoa acha usivae, nadhani hujalazimishwa kuvaa barakoa wala kuchukua tahadhari. Aliyeamua kuvaa barakoa nae muache avae. Kila mtu ana maisha yake na ana makuzi yake. Usiongee lugha za kubeza, hazisaidii. So long as hakuna aliyekushikia fimbo uchukue tahadhari we puyanga zako kwa amani tu na uwaache wanaohisi wanataka kuchukua tahadhari wachukue, simple tu mbona?
Sikio la kufa halisikii dawa. Achana nao. Aliyewaloga kafa.Jisemee wewe, huku tanavaa barakoa. Nikuulize, Jiwe yuko wapi? Mmepigwa mkapigika, Mungu ni Mwema sana , daima na Milele
Tz tulikuwa mfano mzuri wa kuigwa naona tunapotea sasaWakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Ushuzi tupuZama za yule mwehu wenu wa chattle zimepita..
Ameichezea corona nayo ikamtandika.
We Moderator kilichokufanya uunganishe huu uzi ni nini?Asalamaleko!
Mimi ninaishi Dar es salaam maeneo yenye kusongamana sana.
Watu ni wengi mno na wanapumuliana uso kwa uso kwa namna ambayo endapo kungekuwa na gonjwa la mlipuko basi wangekufa wote kama kuku wenye mdondo.
Huku sijasikia mtu yeyote aliyekufa kwa corona. Hakuna hata sisimizi aliyekufa.
Lakini tunaona Bibi Samia amejivika mibarakoa mikubwa usoni kama afisa-mazingira.
Ndio kusema kwamba, anajikinga na corona?
Halafu inaonekana corona inachagua mahali rasmi pa kupiga kambi. Kwa sasa corona imehamia ikulu!
Kama ambavyo dunia nzima imepata nafuu na maisha yameanza kurejea katika hali ya kawaida, kirusi huyu wa corona tunaambiwa amehamia India.
Kote kwingine duniani, corona amefifia na kufa makali, kakimbilia kwenda India kuweka makazi.
Huyu Kirusi ana akili sana. Sasa hivi hayupo Kariakoo wala Manzese wala Buza. Kakimbilia kwenda kujificha Ikulu.
Wow! What an intelligent virus! Anajua mahali pa kukaa. Anahama kule anahamia huku tena kwa ratiba rasmi kabisa.
Leo yupo Marekani, kesho anahamia South Africa, Kesho kutwa anahamia India. A very systematic virus!
Chanjo zinakuja lini?
Halafu pia lockdown itaanza lini?
Huyu kirusi akitoka magogoni akihamia hapa Kariakoo itakuwaje!?
Tunahitaji hatua madhubuti zichukuliwe mapema!
Kila mtu avae mabarakoa na kujitakasa mikono!
View attachment 1780570
Umelishwa tango poriUrais si kelele, na wala sio kula mahindi barabarani na kugawa mapapai huku unawapiga fix Mataga kuwa ATCL inatengeneza faida ya 28bilion kumbe ni mwendo wa hasara kwa miaka yote 5, na cha ajabu Mataga wanaamini na kushangilia.
Kifoohakinahurumaaaa wavaeetuuuWakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Wee nae hata sio mfuatiliaji, tafuta tangazo la wizara ya afya juu ya uvaaji barakoa kweny mikusanyiko. Ulitaka wizara itembeze bakora kwa wasiovaa? Kujikinga it's all bout ur health.Hiyo mikusanyiko iko Ikulu tu!? Mbona huko kwenye mikusanyiko ya kweli Kama vile stand na masokoni hatuzioni hizo Barakoa!?
Eti hiz ndo mentality za wabongo 🤣🤣🤣👆👆, wizara ya afya ndo ilitoa maelekezo ya uvaaji barakoa sasa wewe na ignorance zako unakuja na hoja mfu eti nna barakoa 🤣🤣dumbass! Inamaana kwa mujibu wa hoja yako wizara ndo ina barakoa wanataka wauze sio. Next time shirikisha kikamilifu ubongo wakoYaani wwe ukisha kua na tender ya Barakoa unataka kila mtu umvalishe Barakoa!? Ebu jaribu kusema na njaa yako itulie kidogo!!
Walizembea wenyewe toka mwanzoWameshapata taarifa za kiiteligensia kuwa kile kirusi cha India kinakuja Tanzania.