Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Dada Leti kama wewe hutaki kuvaa barakoa acha usivae, nadhani hujalazimishwa kuvaa barakoa wala kuchukua tahadhari. Aliyeamua kuvaa barakoa nae muache avae. Kila mtu ana maisha yake na ana makuzi yake. Usiongee lugha za kubeza, hazisaidii. So long as hakuna aliyekushikia fimbo uchukue tahadhari we puyanga zako kwa amani tu na uwaache wanaohisi wanataka kuchukua tahadhari wachukue, simple tu mbona?
 
wala si ajabu,balaa ni pale nyumbu wanapohisi faraja jiwe kufariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

unawaza adui yao alikuwa jiwe ama utawala wa ccm??[emoji23][emoji23]
poor arnimals.
Jibu nilichokuuliza acha kujichekelesha-chekelesha!

Nimekuuliza, Mataga siku hizi mmekuwa wapinzani wa serikali ya CCM?
 
Jibu nilichokuuliza acha kujichekelesha-chekelesha!

Nimekuuliza, Mataga siku hizi mmekuwa wapinzani wa serikali ya CCM?
kwani nini hujaelewa hapo,ni kichwa kimejaa kamasi au asili ya jina lenu(nyumbu) ndio tatizo!!!!
 
Magufuli aliiletea kiburi Corona,, mwishoe ikamuondoa,
 
Watanzania hawajui wanataka nini bwashehh
Wakati wa jpm alikuwa havai watu walikuwa wanamshambulia,sahv mama anavaa anashambuliaaa

Ova
Maccm ndo yanamshambulia na yanamzodoa asivae..wanataka kila mwezi tuweke matanga Ikulu...Mama Samia vaaa barakoa mama yetu tunakupenda mno
 
😍😍😍😍😍
 
Tz tulikuwa mfano mzuri wa kuigwa naona tunapotea sasa
 
We Moderator kilichokufanya uunganishe huu uzi ni nini?

Una kiherehere sana wewe
 
Kwa sasa wako mbioni kuleta ile chanjo ya mRNA iliyokuwa inapingwa na marehemu JIWEPM
 
Nasubiria kwa hamu kubwa kumuona Gwajima katupia hilo tambala usoni
 
Urais si kelele, na wala sio kula mahindi barabarani na kugawa mapapai huku unawapiga fix Mataga kuwa ATCL inatengeneza faida ya 28bilion kumbe ni mwendo wa hasara kwa miaka yote 5, na cha ajabu Mataga wanaamini na kushangilia.
Umelishwa tango pori
 
Kifoohakinahurumaaaa wavaeetuuu

Borabiaa ukiishiwa utakopaa double kick ykiishiwa utakopaa siouhaiiii loh
 
Hiyo mikusanyiko iko Ikulu tu!? Mbona huko kwenye mikusanyiko ya kweli Kama vile stand na masokoni hatuzioni hizo Barakoa!?
Wee nae hata sio mfuatiliaji, tafuta tangazo la wizara ya afya juu ya uvaaji barakoa kweny mikusanyiko. Ulitaka wizara itembeze bakora kwa wasiovaa? Kujikinga it's all bout ur health.
 
Yaani wwe ukisha kua na tender ya Barakoa unataka kila mtu umvalishe Barakoa!? Ebu jaribu kusema na njaa yako itulie kidogo!!
Eti hiz ndo mentality za wabongo 🤣🤣🤣👆👆, wizara ya afya ndo ilitoa maelekezo ya uvaaji barakoa sasa wewe na ignorance zako unakuja na hoja mfu eti nna barakoa 🤣🤣dumbass! Inamaana kwa mujibu wa hoja yako wizara ndo ina barakoa wanataka wauze sio. Next time shirikisha kikamilifu ubongo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…