Sijawahi kupiga kura kuchagua mwakilishi, wala shehia wala raisi wazanzibar. Hilo swali linawafaa wazanzibari zaidi
Kutokupiga kura Zanzibar hakukufanyi ushindwe kukemea ubaguzi wa kidini unaotokea kule, kwani ulimwengu unavyolalamikia mauaji ya Tigray kule Ethiopia wote wanapiga kura kule? wacha majibu yako ya kitapeli, hoja zako nyingi ni nyepesi sana.Sasa ubinafsi upi kuhusu Zanzibar?
Sipigi kura kule kumchagua rais wao
Sina haki ya kugombea kule hata kuwa mjumbe wa shehia
Sina haki ya kuwa muwakilishi
Zanzibar nitaiongelea zaidi kwenye mambo ya muungano , lakini hayo mambo yao mengine sina Interest nayo kivile. Naweza kuongelea kwa sababu ya uhuru wa maoni lakini siwezi kuwashikia bango sana ishu zao kama ishu za Serikali ya JMT pindi ikizingua kupita maelezo
Kama unaona kuna jambo liliokukera namna Mwinyi alivyounda serikali yake huko Zanzibar basi nawe unaweza kuiandalia mada, lakini mimi binafsi nina Interest na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Magufuli kuliko Hussein Mwinyi, Maana Sijawahi kushiriki uchaguzi huko na sheria inanizuia kushiriki chaguzi za huko za SMZ
Anzisha mada ya udini Zanzibar tuchangieKutokupiga kura Zanzibar hakukufanyi ushindwe kukemea ubaguzi wa kidini unaotokea kule, kwani ulimwengu unavyolalamikia mauaji ya Tigray wote wanapiga kura kule? wacha majibu yako ya kitapeli, hoja zako nyingi ni nyepesi sana.
Kwa hili kubali tu huna hoja, issue ya Zanzibar ndio nimeileta ikufunge mdomo kabisa, siku nyingine mjifunze kuacha tabia ya kufikiria vitu vidogo mnajidumaza akili bila kujua.Anzisha mada ya udini Zanzibar tuchangie
Pengine wewe unanufaika directly au indirectly na hii system ya ubaguzi unaowapa fursa wakiristo zaidi kuliko waislamu serikalini. Ukileta mambo ya SMZ kwenye ishu za SMT unaonekana unachanganya madafu na maembe na unaonekana hujui SMZ mipaka yake wapi na SMT mipaka yake ni ipi maana SMZ ni ya Wazanzibari, sisi Watanganyika haituhusu, wakati SMT ni ya wote Wazanzibar na Watanganyika kwa pamoja katika mambo yale ya muungano. Sasa kama una interest sana na Serikali ya Wazanzibar, ianzishie mada tu watu wajadili mimi sina Interest nayo kihivyo kwa maana sinufaiki nayo kwa chochote na silipi kodi huko na sina uwakilishi kwenye hiyo serikali.Kwa hili kubali tu huna hoja, issue ya Zanzibar ndio nimeileta ikufunge mdomo kabisa, siku nyingine mjifunze kuacha tabia ya kufikiria vitu vidogo mnajidumaza akili bila kujua.
"Pengine" wacha kuongozwa na hisia kujibu hoja, hoja hujibiwa kwa hoja ukiweka na mifano kuthibitisha hoja yako..
Pengine wewe unanufaika directly au indirectly na hii system ya ubaguzi unaowapa fursa wakiristo zaidi kuliko waislamu serikalini. Ukileta mambo ya SMZ kwenye ishu za SMT unaonekana unachanganya madafu na maembe na unaonekana hujui SMZ mipaka yake wapi na SMT mipaka yake ni ipi maana SMZ ni ya Wazanzibari, sisi Watanganyika haituhusu, wakati SMT ni ya wote Wazanzibar na Watanganyika kwa pamoja katika mambo yale ya muungano. Sasa kama una interest sana na Serikali ya Wazanzibar, ianzishie mada tu watu wajadili mimi sina Interest nayo kihivyo kwa maana sinufaiki nayo kwa chochote na silipi kodi huko na sina uwakilishi kwenye hiyo serikali.
Ninachojua ni kuwa Zanzibar ni semi-autonomous, wana mambo yao ya ndani ya nchi yao na mengine ya Muungano, Sasa kwa kuwa SMZ siyo jambo la muungano basi mambo yao hayanihusu kivile. Narudia tena, kama unakereka na SMZ anzisha mada hapa JF siyo lazima nianzishe mada unayoitaka wewe!
Naona unarudia yaleyale, unazunguuka unarudi palepale, unajibiwa unarudi palepale."Pengine" wacha kuongozwa na hisia kujibu hoja, hoja hujibiwa kwa hoja ukiweka na mifano kuthibitisha hoja yako.
Zanzibar kuwa semi autonomous or whatever hakukuzuii wewe kukemea maovu yanayotokea kule, braza kubali kutuliza kichwa ufundishwe usivyovijua, unaonekana mind yako ime-stuck, learn to think outside the box.
Thread sina muda wa kuanzisha kuzungumzia upuuzi wa udini kwangu hauna maana, simply sina muda wa kuangalia majina ya watu nianze kujiuliza huyu wa dini gani kama wewe ulivyo.
Naunga mkono hoja, this is very objective1. Nafasi za kisiasa kama za uwaziri zuna minimum requirements tu kwa mujibu wa katiba mfano huyo mtu awe mbunge, vigezo vingine anavijua mteuaji unless akwambie katumia vigezo gani yeye mwenyewe lakini unaweza kutumia ibductive na deductive reasoning kustudy aina ya teuzi zake na kupata picha nzuri kabisa vigezo alivyovitumia, kuna pattern za wazi kwenye hizi teuzi.
2. Hakuna kiongozi asiyekuwa na kabila, dini, ukoo etc ila kutokana na matendo yake tunaweza kumclassify kuwa huyu ni mdini na mkabila. Pattern ya teuzi zake inatosha kutoa picha kuwa huyu ana udini, ni mkabila au ana nepotism.
Kuhusu kuweka vigingi vya kuzuia ukabila na udini na nepotism hilo ni jambo zuri, so far tumeuwa tukitegemea hekima binafsi za kiongozi mkuu wa nchi kuwa fair na kuona kuwa hivyo vitu havifai.
Unfortunately tuna utawala hivi sasa, busara hizo umeweka pending na kwa hiyo tunashuhudia wazi teuzi tata kama hizi hii leo.
Ipo haja ya kuangalia umuhimu wa kuwa na katiba mpya, kusuka upya mifumo ya teuzi na fursa za ajira nchini hayo mambo tuyaepuke kwa kiwango kikubwa zaidi
Nisingekuwa msomi nisingekufungua macho kwa hiyo kauli yangu, na si mtizamo wangu tu bali ni ukweli ulio sahihi. Fika ofisi za serikali siku ya Ijumaa kutafuta huduma, utasikia muhusika kaenda kuswali, yaani wakati wa kazi. Umeshawahi kujiuliza kwanini Uturuki na Misri wameendelea, umesoma hii?Sipendi kuipuuza hoja au akili ya yeyote, isipokuwa kwa vile wewe umechupa mpaka katika kubeza kitu ambacho Waislamu wanakienzi , acha tu niseme wewe ni turd.
Kama Mwenyezi Mungu atanifadhili kwa kuniingiza katika Ufalme wake, ombi langu moja kwake ni kukipasua kichwa chako mbele yangu nione exactly ameweka nini ndani yake!
Kuna makumi ya nchi za Kiislamu zilizoendelea kwa 'light years' kuliko Tanzania ambazo husimamisha kazi 'hasa' kila wakati wa swala. Egypt ambayo inawajengea bwawa la umeme ni moja wapo. Nyingine ni Uturuki inayowajengea treni ya kisasa (Pengine hata hujui, mji ..a wewe) Ni akili fupi sana kufikiria dakika tano off, siyo uchapa kazi. In fact, kama wewe ni Msomi (sidhani hivyo, wewe ni riff raff tu) ungekwishasoma utafiti wa Wataalamu wakubwa (Wazungu, miungu yako) kuwa mfanyakazi anayepumzika muda baada ya muda, ndiye more productive na more creative (katazame kamusi au mwulize mtu maana ya matamko hayo).
Hujui kwamba uwaziri ni nafasi ambayo ina marupurupu mengi sana?, faida hii ya kipato ina maana familia ya waziri itakuwa na nafuu sana kiuchumi , watoto wake watasoma shule nzuri zaidi, kupata elimu bora zaidi, kupata bima za afya bora zaidi, kuishi makazi bora zaidi, Na hii faida itawagusa hata ndugu za hao mawaziri. Sasa keki hii ya Taifa inapogawiwa kwa watu wa imani moja maana yake ni kuwa taasisi moja tu ya baraza la mawaziri tayari inaenda kuchangia katika tabaka kwa watu wa imani moja kunufaika zaidi na keki hii ya Taifa kuliko wenzao. Sasa hebu mfano huo uurejee kwenye teuzi nyingine nyingi zilizobaki kama vile wakurugenzi, manaibu waziri, ma DC, ma RC ma DAS, ma DED, Mabalozi wawe majority wa dini moja kama Magufuli alivyowateua utaona kuwa kipato kitokanacho na utumishi katika serikali kinakwenda kwa watu wa dini moja zaidi na hivyo kufanya watu hao waenjoy keki ya Taifa zaidi kuliko watu wa dini ya pili.
Faida za kiuchumi zitokanazo na nafasi hizo za utumishi zinakuwa transmitted kwa familia na matokeo yake watoto wao wakipata elimu bora, kuishi nyumba bora, afya bora kutokana na vipato vile basi cycle inajirudia tena huko mbeleni ndo wataendelea kupata fursa zaidi kuliko wenzao wanaowekwa pembeni katika teuzi hizi
Teuzi za udini zinafanya familia za wateuliwa ambao ni wa dini moja kunufaika na keki ya Taifa zaidi na hivyo kuziempower kuliko familia nyingi tu zilizowekwa pembeni, na hii effect ya itakuwa propagated kwa vizazi vingine vijavyo kwa sababu kuna watu wamejengewa msingi mzuri kiulaini na kwa kupendelewa huku wengine wakihustle tu na kutonufaika na fursa za utumishi wenye marupurupu mazuri, Ni dhahiri waliojengewa msingi mzuri wataendelea kuwa top ya hawa wanaobaguliwa japo na wao vigezo vya kukalia nafasi hizo
Pambana acha ulalamishi ambao hautakusaidia chochote ukisubiri upate keki ya taifa kwa kusubiri uteuzi wa mawaziri wa dini yako imekula kwako..... hata wakipewa mawaziri wa dini yako wooote kama hupambani hiyo keki ya taifa utaisikia tu then utakuja hapa na hoja ya madhehebu kwamba hao wa dini yako sio wa dhehebu lako...
Acha kudanganya, utakuwa wajua Misri na Uturuki kuliko mimi wewe? Misri Ijumaa hakuna kazi kabisa, na Uturuki wanasimamisha kazi wakati wa swala. Hilo halikuwafanya wasiendelee. Na hivi sasa ndiyo nchi yenye uchumi promising kuliko yeyote Ulaya. Wakati uchumi wa nchi za Ulaya ukiduwaa, wa Uturuki umekuwa kwa 4.5% ….pamoja na Kuswali kwao!Nisingekuwa msomi nisingekufungua macho kwa hiyo kauli yangu, na si mtizamo wangu tu bali ni ukweli ulio sahihi. Fika ofisi za serikali siku ya Ijumaa kutafuta huduma, utasikia muhusika kaenda kuswali, yaani wakati wa kazi. Umeshawahi kujiuliza kwanini Uturuki na Misri wameendelea, umesoma hii?
Hakuna ambaye si kondoo! Watumishi wa umma wote ni kondoo!Kuwa Waziri kunahitaji zaidi ya elimu ya stashahada; kunahitaji pia busara na hekima!!! Sidhani kama hawa wanyiramba wote wana attributes hizo!!!! JIWE anataka walio kondooo!!!
Wewe utakuwa umekunywa kinywaji kikali. Mimi ninampinga mdini halafu unanipayukia?Kijana hueleweki sijui umekunywa wanzuki wewe duu!!!.
Zanzibar ni nchi yenye waislamu wakazi zaidi ya 98%. Ile ni nchi yenye serikali na mamlaka. Unataka wewe ukawe Waziri nenda ukawe Mzanzibar. Kisha wewe ni mtu wa ajabu. Unashabikia udini na ukanda? Hivi chuoni mambo yanavyoharibika kwa majirani zetu?
Ntakutajia mawili ambao hata Jiwe anawagwaya na ndio maana amewatoa kwenye baraza lake bila sababu za msingi: Prof. Mbarawa na Japhet Hasunga!!!Hakuna ambaye si kondoo! Watumishi wa umma wote ni kondoo!
Nitajie kiongozi aliyepo CCM ambaye ana elimu na hizo busara ulizozitaja ambazo kimsingi mimi haziniingii akilini anayeweza kuwazidi hao Wanyiramba
Wana kipi cha kumtisha?Ntakutajia mawili ambao hata Jiwe anawagwaya na ndio maana amewatoa kwenye baraza lake bila sababu za msingi: Prof. Mbarawa na Japhet Hasunga!!!
Tanzania kuna uhuru wa kuabudu kwann asiswali? Alafu ulilizungumzia ishu ya swala tano kwa waislamu...tambua ya kwamba swala ya alfajir kwa huyo mwislam swala hiyo huiswali kwake isitoshe swala ya saa 7 na saa 10 ienda akaiswalia akiwq kazini na tena haizidi hata dk 10,je hizo dk 10 zikushinde ww kumsubiri aliyekwenda kuswali kwa ajili ya mola wake?Nisingekuwa msomi nisingekufungua macho kwa hiyo kauli yangu, na si mtizamo wangu tu bali ni ukweli ulio sahihi. Fika ofisi za serikali siku ya Ijumaa kutafuta huduma, utasikia muhusika kaenda kuswali, yaani wakati wa kazi. Umeshawahi kujiuliza kwanini Uturuki na Misri wameendelea, umesoma hii?
Wana kipi cha kumtisha?
Sisi waislamu watulivu wanyekekevu pia tupo kimya si kwamba hili hatulioni la hasha ' ila tunasubiri zamu yetu awamu ijayo tuone je nanyi wenzetu mtakuwa na subira kama yetu ?Nimesoma bandiko na kuelewa hoja. Lakini sikubaliani na hoja hiyo. Nitaifupisha na kuihakiki hapa chini, tena kwa ufupi kabisa. Mleta bandika amejenga hoja ifuatayo