Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Uliwahi kumuona mbunge wa Tanzania bara anaingia kwenye baraza la wawakilishi Zanzibar ?
Swali uliouliza na la kipuuzi sana na linaadhirisha kotoelewa mfumo wa utawala wa nchi yako.
Usikurupuke kwenye maswali fikirishi dhidi ya mtoa mada, fuatilia mada kwa makini na comment zangu sijakurupuka ninaijua nchi yangu vizuri.
 
Haki za wanawake zinapatikana chadema tu na si chama kingine kupitia baraza hili la mawaziri hakuna ubishi tena.
 
Hivi huyu mkuchika tangu nyerere ni yeye tuu ana siri gani na hiyo kazi anayopewa kila awamu
 
Manaibu waziri siyo wajumbe wa baraza la mawaziri.
 
Kwani ni lazima kuteua waziri toka huko wapi katiba imesema hivyo mbona wao hawateui toka bara!
Ndio mukawaletea wa zanzibar majeshi mpaka kuto burundi ili muzidi kuwatawala na kuwauwa na kuwabaka kwa sababu ni koloni lenu
 
Bado ukanda! Mawaziri 10 kati ya 23 wanatoka kanda ya ziwa. Hivyo hili ni baraza la mawaziri la kanda ya ziwa
 
Mada mfu kabisa! Unataka kuchonganisha kwa kutumia dini, uzanzibara. Uzuri ni kwamba wananchi wameshachoka na propaganda zenu, wao wanafanyiwa wanachotaka.. angalia vituo vya afya, Hosp, barabara, shule, n.k nk
Sisi waislam haturidhiki na yanayo endelea na sisi ndio wananchi wenyewe
 
Ninapoanza kusoma nikaona ameandika mwenye akili kumbe ameandika mwenye dalili za kupoteza akili.
 
Mfano tu wakat dau yupo nccf japo wakristo walikua wengi Zaid alionekana ni mdini mkubwa haya makafiri ni shida saana
 
Tatizo ni elimu,,sasa kama hukusoma,huna elimu unapewaje cheo asee?,someni acheni longolongo bana...
 
Mkuu jee unaweza kupendekeza Baraza la Mawaziri kwa Wabunge tulio nao na ambalo una amini linge jibu kiu ya maendeleo kwa Watanzania.

Na baraza hilo pia litasaidia pakubwa kupata majawabu ya matatizo ya Kiuchumi na ya Kijamii ya Watanzania. Tiririka Mkuu.
 
Haya Mambo hua yanaanza kidogo kidogo na mwisho watu hukosa uvumilivu waislam wa nchii hiii ndio wamegeuka muhanga wa kila kitu ukisema ukweli tuu ushakua gaidi utafuatwa fuatwa mpaka basi.kwa hili magufuli hujatenda haki kabisa

Ni ubaguzi ulio dhahiri kabisa zamani mlikua mnatuimbia wimbo waislam hawana elemu Sasa hivi cjui mnatuimbia wimbo gani Tena hii ni nchi yetu sote

Kwa nn keki ya taifa inakiwa na upande mmoja haiko sawa mwisho wa siku watu uvumilivu utawashinda
 
Kwani baraza la mawaziri la H. Mwinyi lina wakristo wangapi? Acheni ujinga huu wa udini.
Mbona kuna mtu alijaza waislamu kwenye taasisi nyeti?
Mimi ni mkristo mkatoliki kama mhe . Raid, lakini kwa baraza hili, mkuu anajenga wa kidini, Kati ya waislamu na wakristo . Tumia kigezo chochote upendacho baraza hili haliakisi umoja Wa kitaifa. Tangu link kanda moja ichukue nusu ya baraza LA mawaziri na dini moja asilimia 87% ya baraza? Hivi rais ajaye akilipiza kwa kujaza waislamu he wakristo tutakuwa na moral authority ya kumlaumu.

JK alikosolewa kwa kuweka waislamu sehemu nyeti, lakini yake ilikuwa nafuu Mara mia. Kwanza idadi ya wakristo iliwazidi kidogo waislamu, alitilia maanani wakrito ni Tz ni wengi(ingawa ndugu zetu hawakubali) nadhani ni 65 % kristo na 35% islamu. Sasa hii ya ubaguzi Wa wazi unatoka wapi? Mwenyezi Mungu aliongoze taiga hili tufike salama 2025.

Kwa hakika kabisa mkuu aambiwe ameteleza. Halafu ni kwa Mara ya kwanza tangu tupate Uhuru baraza kusomwa na Katibu mkuu kiongozi. Nadhani hapo mambo ya kudelegate lakini kusoma baraza,Kazi ya dakika 15 tu. Tukubaliane marekebisho yanatakiwa haraka. Kwa faida ya mshikamano wetu kitaifa, vinginevyo tuombe uhai tutaona mgawanyko Wa kutisha.
 
ondoeni mashaka , waislam watajengewa misikiti kupitia BAKWATA na Masheikh wa Bakwata watapewa hela taslimu hadharani
 
manaibu hawahusiki kwenye baraza la mawaziri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…