nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Usikurupuke kwenye maswali fikirishi dhidi ya mtoa mada, fuatilia mada kwa makini na comment zangu sijakurupuka ninaijua nchi yangu vizuri.Uliwahi kumuona mbunge wa Tanzania bara anaingia kwenye baraza la wawakilishi Zanzibar ?
Swali uliouliza na la kipuuzi sana na linaadhirisha kotoelewa mfumo wa utawala wa nchi yako.