Udini unaanzia wapi ndugu..we mwehu kweli..makamu wa Rais, waziri mkuu, Jaji mkuu.. top four..ikoje...acheni udini nyinyi wapumbaffff..Hapangiwi lakini tutamueleza ukweli!
Na ukweli ni kwamba ananuka udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini unaanzia wapi ndugu..we mwehu kweli..makamu wa Rais, waziri mkuu, Jaji mkuu.. top four..ikoje...acheni udini nyinyi wapumbaffff..Hapangiwi lakini tutamueleza ukweli!
Na ukweli ni kwamba ananuka udini
Nani ashauriwe na nani?Rais anateua baraza la Mawaziri kwa kushauriana na Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Hao wote ni Waislamu kwani wao hawakuliona hilo?
Ishu ya wanaweke wacha wakae nyumbani watulee.
Wazanzibar na wenyewe wana nchi yao. Anyway Mbarawa ameniumiza moyo kukosekana kwenye baraza la mawaziri.
Anyway today is Sunday take your Bible and go to your nearest church.
Siyo kweli. mtoa mada ana hoja lakini wewe umeandika utopolo.Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.
Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
hao ni wachache katika zile asilimia chache za waislamu waliopata nafasiUdini unaanzia wapi ndugu..we mwehu kweli..makamu wa Rais, waziri mkuu, Jaji mkuu.. top four..ikoje...acheni udini nyinyi wapumbaffff..
Tufungue fafanua Boko lipo a kivipi?Mkuu umetoa boko leo,,,,,lol
Kwani ni lazima kuteua waziri toka huko wapi katiba imesema hivyo mbona wao hawateui toka bara!
Unazingua kweli Yani ,serikali yetu haina dini na tunaweza ongozwa na mtu yoyote Yule ilimradi havunji katiba, katika katiba hakuna sheria inayosema wanawake 50% na wanaume 50%, au dini flani 50% na nyingine 50%, dini ni nyingi hapa Tz katika baraza la mawaziri,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama walioteuliwa watafanya vizuri vp haifai kuwabagua wenzako, kutambua hisia ni kitu muhimu sana katka jamii, binafsi sijafurahishwa na hili baraza kwa sababu hiyo.Kwani tunahitaji Baraza la Mawaziri la kwenda Misikitini au Makanisani?
Kwani ni lazima kuteua waziri toka huko wapi katiba imesema hivyo mbona wao hawateui toka bara!
b) Hili ni baraza la Tanganyika, Yawezekana vipi usiwe na baraza lenye waziri kamili hata mmoja Mzanzibar?
Naomba nifahamishwe pia kwenye Baraza la Mawaziri Zanzibar kuna mtanganyika alishawahi kuteuliwa nafasi ya uwaziri[emoji23]
Tukianza kuangalia vigezo hivyo hakika hakutakuwa na teuzi.Maana ukimaliza ya udini na uzanzibari utakuja ya ukabila kusema baraza zima ni wachaga,wasukuma n.k ukimaliza hapo utakuja na baraza zima halina waziri kijana,mzee n.k kwa kifupi vigezo vyote vikizingatiwa ni mwanzo wa kupata watendaji wabovu na kigezo kikuu na cha muhimu kati ya vyote ni utendaji uliotukuka! Tukianza kuangalia vigezo vingine ni mwanzo wa kupata viongozi wasio na tija kwa taifa kisa tu kuzingatia swala la dini,uzanzibari,wanawake,umri n.k jambo ambalo litarudisha juhudi za taifa nyuma.
Sema wewe umechoka usisemee wananchi wote.Mada mfu kabisa! Unataka kuchonganisha kwa kutumia dini, uzanzibara. Uzuri ni kwamba wananchi wameshachoka na propaganda zenu, wao wanafanyiwa wanachotaka.. angalia vituo vya afya, Hosp, barabara, shule, n.k nk