Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nani na nani walichukua fomu?Kipute kilikuwa CCM
We Mwakitwange Nasikia Mama hadi 2035. Hii mi5 ya sasa alimshikia marehemu. Yeye anaanza yake fresh October 2025Kipute kilikuwa CCM
Nikumbushe waliogombeaKipute kilikuwa CCM
Kwakuwa CCM ni chama cha Rwanda ?Lakini wajumbe wamekatwa kutokana na misimamo yao! Kuna tofauti gani na CCM
Hivi waliokatwa wako wangapi?Lakini wajumbe wamekatwa kutokana na misimamo yao! Mbowe ni mtu mbaya zaidi ya CCM
Akikujibu nistueNikumbushe waliogombea
Hapakuwa na mgombea zaidi ilikuwa ni kumshangilia Bibi Titi awe mgombea pasipo kuwa na mshindani.Nikumbushe waliogombea
Hii ni kwel mtu anapata wap nafas ya kufanya kampeni wakat uchaguz ni kesho au kampeni zinaruhusiwa kabla ya kuidhinishwaMnawaidhinisha leo halafu uchaguzi ni kesho . Wagombea hao walipata muda wa kutosha kupiga kampeni ?
Hakuna mchaga wa kufunga duka lake aende kuandamanaCHADEMA itakuwa imara na zaidi endapo tu TUNDU LISSU atapita kwenye kinyang'anyiro hicho kwa maana Tundu lissu kawashinda wapinzani wake hao mara nyingi tu.
Lakini chadema ikidanganya kufanya wafakeche Freeman Mbowe akubali tu chadema kuwa kama TLP, ikitisha maandamano anaongozana na binti yake na wachaga wenzake wachache.