Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 982
- 1,179
Mbowe angekuwa Mbaya hao Tundu Lissu na Heche wasingeteuliwa pia. Tunaomba muweke wazi majina yote ya Walioomba huo ujumbe na mtuainishie kila mmoja alikuwa akimuunga Mkono nani ili tuzungumze kwa data na si ushabiki.Lakini wajumbe wamekatwa kutokana na misimamo yao! Mbowe ni mtu mbaya zaidi ya CCM