Pre GE2025 Baraza Kuu la CHADEMA laidhinisha Wagombea wa Juu wa Uongozi wa Chama hicho, kwahiyo Kipute kiko pale pale

Pre GE2025 Baraza Kuu la CHADEMA laidhinisha Wagombea wa Juu wa Uongozi wa Chama hicho, kwahiyo Kipute kiko pale pale

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lakini wajumbe wamekatwa kutokana na misimamo yao! Mbowe ni mtu mbaya zaidi ya CCM
Mbowe angekuwa Mbaya hao Tundu Lissu na Heche wasingeteuliwa pia. Tunaomba muweke wazi majina yote ya Walioomba huo ujumbe na mtuainishie kila mmoja alikuwa akimuunga Mkono nani ili tuzungumze kwa data na si ushabiki.
 
Hongera sana Tundu Lissu Umma wa Watanzania unakutakia kila lenye heri kwani matumaini yao ni wewe Kwa Sasa.
IMG-20250120-WA0209.jpg
 
Kwahiyo siku zote walikuwa hawajawapitisha kwanini..?
 
Katika vikao vya Baraza Kuu vinavyoendelea leo hii, tayari mambo kadhaa yameanza kutolewa maamuzi.

La kwanza ni hili la kuidhisha mtanange wa Wagombea wa Juu wa uongozi wa Chama hicho.

Taarifa yao hii hapa

View attachment 3207582

Usiondoke JF kwa Taarifa za uhakika za Vikao hivi, Hii ni kwa sababu Mimi Mtumishi wako Mwaminifu niko ndani ya Ukumbi.
Chonde chonde wana CHADEMA. Ushauri wa bure kwa Viongozi wakuu CHADEMA. Ili kuto kigawa chama na kukifanya kionekana dhaifu mbele ya Watz na dunia nzima. Nashauri Mhe. MBOWE na Mhe. LISSU wakubaliane kuachiana nafasi ya Mwenyekiti Taifa. Mbowe aruhusiwe kuendelea na Uenyekiti lakn iwe ni awamu yake ya mwisho. Lissu aachiwe kuendelea na Umakamu Mwenyekiti kwa sharti kwamba atakuwa MGOMBEA WA URAISI KWA TIKETI YA CHADEMA MWAKA HUU WA 2025.
 
Kwakuwa CCM ni chama cha Rwanda ?
Watanzania bhana..

Wagombea wangekuwa 10,000 wangepitishaa wote ili kujitofautisha na CCM? Hilo tu?
Yes, hata wangekuwa laki moja, bado wote wana haki ya kugombea ikiwa wana sifa stahiki.

Njia pekee ya kuchuja uwingi wa wagombea inabakia kwa wapiga kura pekee. Wewe ni nani mpaka uingilie haki za wapiga kura?
 
Kwa kuwa Chadema ipo kwa mujibu wa Sheria.
Vyombo vya ulinzi TZ, vipo macho katika uchaguzi huo.
Atakayeanzisha vurugu atajuta kuzaliwa kesho hiyo.
Kwa serikali hii ya CCM? Elewa tu kinachoendelea hapo vyombo vya Ulinzi na Usalama viko taýari kuchochea vurugu ili kuwafurahisha CCM wanao subiri kwa hamu anguko la CHADEMA!!!
 
Yes, hata wangekuwa laki moja, bado wote wana haki ya kugombea ikiwa wana sifa stahiki.

Njia pekee ya kuchuja uwingi wa wagombea inabakia kwa wapiga kura pekee. Wewe ni nani mpaka uingilie haki za wapiga kura?

Hicho kibri tunakifyekelea mbali.. Nendeni DP ya Mtikila
 
Back
Top Bottom