Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 982
- 1,179
Mbowe angekuwa Mbaya hao Tundu Lissu na Heche wasingeteuliwa pia. Tunaomba muweke wazi majina yote ya Walioomba huo ujumbe na mtuainishie kila mmoja alikuwa akimuunga Mkono nani ili tuzungumze kwa data na si ushabiki.Lakini wajumbe wamekatwa kutokana na misimamo yao! Mbowe ni mtu mbaya zaidi ya CCM
Kwa kuwa Chadema ipo kwa mujibu wa Sheria.Kesho zitapigwa na uchaguzi utavurugika .....
Ova
Maigizo futuhiKipute kilikuwa CCM
Mlimani City ndio Kuna maigizo ya Tai 😂😂Maigizo futuhi
Chonde chonde wana CHADEMA. Ushauri wa bure kwa Viongozi wakuu CHADEMA. Ili kuto kigawa chama na kukifanya kionekana dhaifu mbele ya Watz na dunia nzima. Nashauri Mhe. MBOWE na Mhe. LISSU wakubaliane kuachiana nafasi ya Mwenyekiti Taifa. Mbowe aruhusiwe kuendelea na Uenyekiti lakn iwe ni awamu yake ya mwisho. Lissu aachiwe kuendelea na Umakamu Mwenyekiti kwa sharti kwamba atakuwa MGOMBEA WA URAISI KWA TIKETI YA CHADEMA MWAKA HUU WA 2025.Katika vikao vya Baraza Kuu vinavyoendelea leo hii, tayari mambo kadhaa yameanza kutolewa maamuzi.
La kwanza ni hili la kuidhisha mtanange wa Wagombea wa Juu wa uongozi wa Chama hicho.
Taarifa yao hii hapa
View attachment 3207582
Usiondoke JF kwa Taarifa za uhakika za Vikao hivi, Hii ni kwa sababu Mimi Mtumishi wako Mwaminifu niko ndani ya Ukumbi.
Yes, hata wangekuwa laki moja, bado wote wana haki ya kugombea ikiwa wana sifa stahiki.Kwakuwa CCM ni chama cha Rwanda ?
Watanzania bhana..
Wagombea wangekuwa 10,000 wangepitishaa wote ili kujitofautisha na CCM? Hilo tu?
Kwa serikali hii ya CCM? Elewa tu kinachoendelea hapo vyombo vya Ulinzi na Usalama viko taýari kuchochea vurugu ili kuwafurahisha CCM wanao subiri kwa hamu anguko la CHADEMA!!!Kwa kuwa Chadema ipo kwa mujibu wa Sheria.
Vyombo vya ulinzi TZ, vipo macho katika uchaguzi huo.
Atakayeanzisha vurugu atajuta kuzaliwa kesho hiyo.
Bila shaka kuepusha mazingira ya rushwa na hongo.Kwahiyo siku zote walikuwa hawajawapitisha kwanini..?
Yes, hata wangekuwa laki moja, bado wote wana haki ya kugombea ikiwa wana sifa stahiki.
Njia pekee ya kuchuja uwingi wa wagombea inabakia kwa wapiga kura pekee. Wewe ni nani mpaka uingilie haki za wapiga kura?
Kipute kilikuwa CCM
Kwani Wabunge wa Viti Maalum Chadema mh halima Mdee na wenzake Fomu walichukua wapi alizosaini Mnyika? 😂Nani na nani walichukua fomu?
Kile kilikuwa direct.Kipute kilikuwa CCM
Kule kwetu tulikuwa na maigizo ya uchaguzi.Kipute kilikuwa CCM
Uchii wenyew mbovu huo nani anautaka!Lisu akimshinda mbowe ,nitatembea uchi kariakoo
Utakua na taulo au mhbhhoho nje,Lisu akimshinda mbowe ,nitatembea uchi kariakoo
Kina nani waligombea huko? Ebu tupe orodha ya waliopirishwa bwashee!Kipute kilikuwa CCM