Mkuu nisaamehe kama mepituka.
Ila kuna lugha nyingi mno za kuongea na mwanziwako.
Mie naliekezwa na Mwalimu wangu mstaabu mno na tokamana naye nalijaalika kujifunda tabia na mienendo yake na si kama ile ya "NDIYO" pasi na kuhoji.
Mfano mmoya katika mambo alonifunda ni "ONGEA NA MTU/WATU KWA KADRI YA AKILI ZAO".
Sasa nakuuliza weye ambaye busara zimekujaa, hivi ulikitaka nitukanwe na mie ninyong'onyee na kulalama kipembeni huoni ntaingia DHAMBINI....!?
Ile kanuni ya kupigwa shavu la kushoto na ati ugeuze na kulia mie kwa haki sina kabisa.
Ahsanta na nipo kipembeni hapa.
Shetani mkubwa wewe