Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

Status
Not open for further replies.

Shetani mkubwa wewe
 

Tuko,
Umenitaja na kawaida yangu mtu akinitaja huwa namjibu kwani huo ndiyo
ustaarabu.

Mahakama ya Kadhi ilikuwapo Tanganyika toka enzi na enzi hadi mwaka
1963 na ikigharimiwa na serikali toka enzi za ukoloni.

Nani alizipiga marufuku na kwa kisa gani hili labda ndilo liwe swali lako
la kuuliza baada ya kunisoma.
 

uwezo wako wa kufikiri umeishia ku conclude eti mahakama.ya kadhi haita kuhusu. ikisha ingia kwenye katiba itakuhusu tena sana tu, kama huamibi jiulize simple question why wanaforce iingie kwenye katiba
 
Boko haram wanadai mahakama ya kadhi
Al shabaab wanaendesha mahakama za kadhi. na ni hivyo hivyo huko Niger, Algeria, mali, CAR nk wooote hawa wanadai mahakama za kadhi.
1. Hali za kiuchumi za wanaodai mahakama za kadhi ni mbaya
2. Uelewa wao juu ya mahakama za kadhi ni mdogo sana
3. Historia ya utekelezaji wa sheria katika nchi zinazoendesha mahakama ya kadhi ni mbaya

Bakwata sio wasemaji huru wa waislam, na Bakwata wanaongelea kundi moja tu la waislam na hawajui vizuri mahitaji na matakwa halisi ya waislam. Bakwata wants to become/look relevant kwa kuonyesha kwamba wao hawalali kitanda kimoja na CCM.

Ukweli ni kwamba Bakwata wanalala kitanda kimoja na CCM. Ni vigumu kwa BAKWATA kukubaliwa na vyama vya upinzani sababu BAKWATA ni taasisi ya CCM kama ilivyo UWT.
 
samahani nifahamishwe, kwani hii mahakama ya kadhi ndio ile inayoamrisha wakosaji wapigwe mawe hadi kufa? au wakatwe mikono kama wameiba?

Paluhengo,
Mahakama ya Kadhi inashughulika na mirathi, ndoa na talaka.

Hizi mahakama zipo India, Uingereza, Zanzibar, Afrika Kusini na kwengine
kwingi.

Hazikati wezi mikono wala wazinifu wahapigwi mawe.
 
Mi mkristo sioni tatizo kwa uwepo wa hito mahakama ila shida ni nani watahukumiwa na hizo mahakama .Kama ni ya kiislamu na kwa waislamu na kwa maswala maalumu yatakayoainishwa sioni tatizo

Msulibasi,
Mahakama ya Kadhi ni kwa ajili ya Waislamu.
 
Na sisi tunataka mahakama ya amri kumi za mungu kama Joseph Konyi
 

Tetere,
Baraza hili si BAKWATA...

Soma tena tamko kwa uangalifu...
Hayo mengine mie sina haja ya kuyasemea labda wengine watakujibu.
 
Msulibasi,
Mahakama ya Kadhi ni kwa ajili ya Waislamu.

wawape hiyo mahakama .waislamu wa leo wameenda shule wata handle hiyo mahakama yao.Jambo jingine labda je ni waislamu wote wanaitaka hii mahakama?Je ni namna gani tutaweza kufahamu nani anataka nani hataki au waislamu watapiga kura?Unajua inaweza kuwa kundi linalosisitiza hii mahakama ni kundi lenye msimamo mkali au vipi
 
Kwani kuna dini au madhehebu gani ambayo imeomba mahakama ?!....kwa ajili ya kesi gani !?Hii ni njia moja wapo ya kukimbia ukweli kuhusu kuanzisha Taasisi hii !
teh tehee! Kumbe hamna ubavu hadi mdungwe ndoba na makafir wenzenu!
 
Mbona mapepo mnahangaika nayo Kanisani kila jumapili, yale mmesambaziwa na nani !? Jungle Warrior

Nyie ndo mnasambaza, halafu cjui yanawasaidia nini maana uchumi wenu duni, elimu duni, kazi kushinda kwenye vijiwe vya bao mkinywa gahwa na kashata halafu mnalalamika hovyo eti serikali ina mfumo Kristo.

Fanyeni kazi acheni kulialia hovyo.
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa hata waende shule ndefu namna gani uelewa huwa down kabisa!! unalinganisha mahakama ya kazi, ardhi ambavyo ni vyombo vya serikali na kadhi ambacho ni chombo cha kidini!! Huyu mwamedi alikuwa na spirit ya kutoelewa kabisa!!
mbavu zangu mie....
 
nyie niwajinga kweli sijapata kuuona,yaana kiti cha urais ndio mlitegemea uwawekee mambo yenu kwenye katiba ya wananchi,basi teueni shelh agombee huo urais ndiye atawatimizia yote hayo
 


Kwanini watoe ahadi hewa sasa, kama suala haliwezekani basi watoe elimu kwa wananchi kwamba kwakua hakuna fungu lolote pesa linaloenda kwa wasio waislamu basi vivyo hivyo haitawezekana kwa waislam kutengewa fungu kisha wangetoa mawazo mbadala wa kufanikisha hili.
 
Last edited by a moderator:
cheki pozi lao,wamekaa kiubwabwa ubwabwaaa!hapo chini lazima wana mijeledi
 
Kwa lugha nyepesi ni kwamba nchi yetu na watu wake wana dini na imani tofauti,tofauti, na ukweli serikali imeweka utaratibu wa watu kuendesha shughuli hizo.

Kusema Tanzania haina dini, ila watu wake wanadini, hii sielewi maana yake. Kwangu naona ni lugha ya kuwachanganya watu, tu, bila hao watu unao waita watanzania, ambao ndio wanadini, huwezi kuwa na tanzania. Ila nikweli tuna taratibu za kuziendesha.
 
sasa kwa nn msikubaliane wenyewe tu,mkawa mnajisurubu wenyewe misikitini??sasa mnachotaka kutoka serikalini n nn???

Hiyo Mahakama uishaambiwa ilikuwepo na ilitambulika hata na Serikali ya Kikoloni hadi mwaka 1963.

Suali ni je, nani aliiondosha na kwa malengo gani na kama pana badali ya ile Mahakama /Chombo cha kusimamia mambo /masuala ya Waislaamu ni kipi na kiliekwa na nani....!?

Ahsanta huenda /labuda weye baadaye ukajafahamu kama ukajiepusha na mazogo /ushabiki.

Nipo kipembeni hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…