Sasa hivi nadhani BAKWATA wamejifungia wanaandaa Tamko kuwapinga hawa jumuiya za kiislam na wataunga mkono hoja,Mapendekezo au mswada unaopendekezwa... Si Mufti amepewa mamlaka ya kuteua hao Makadhi..!!!
THE BIG SHOW FaizaFoxy poleni kwa Dilemma hii!!
BACK TANGANYIKA
Kwa mantiki hiyo unaungana na waisilamu kupinga mapendekezo yaliletwa na CCM kuanzia kwenye katiba hadi sheria hii? Unapaswa kunyang'anywa kadi ya 'chama' wewe!Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.
Read your post again.
Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.
Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.
Kwahi kura yako ni HAPANA kwa katiba mpya?
Kwa mantiki hiyo unaungana na waisilamu kupinga mapendekezo yaliletwa na CCM kuanzia kwenye katiba hadi sheria hii? Unapaswa kunyang'anywa kadi ya 'chama' wewe!
Wewe si mbakwata, na hili tamko limetolewa na wapinzani wa bakwata. Kazi unayo FF.Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.
Hilo sidhani kama litafanikiwa coz madhehebu mengine nayo yatahitaji mahakama yao
Hapo hakuna dilemma, hapo tunawaonesha namna ya kudai haki zetu Kiusalama kabisa.
Na Waislam waliwengi tukiamua kura ya hapana basi ujuwe katiba pendekezwa haipiti.
Na sasa hatutaki ahadi, na wakati wa kura za Urais na ubunge, uzi ni hohuo. Mpaka watu watie akili.
Baraza Kuu tuko pamoja, naunga mkono hoja.
Hapa siitetei CCM. Uislam kwanza kuliko kingine chochote.
Wewe unaongea kama nani kwenye hii nchi.Lakini waislamu niwaambie tu kitu kimoja... watawale CCM, watawale CDM, watawale CUF, nk... mahakama ya kadhi kugharamikiwa na serikali haitawezekana...