FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sasa hivi nadhani BAKWATA wamejifungia wanaandaa Tamko kuwapinga hawa jumuiya za kiislam na wataunga mkono hoja,Mapendekezo au mswada unaopendekezwa... Si Mufti amepewa mamlaka ya kuteua hao Makadhi..!!!
THE BIG SHOW FaizaFoxy poleni kwa Dilemma hii!!
BACK TANGANYIKA
Hapo hakuna dilemma, hapo tunawaonesha namna ya kudai haki zetu Kiusalama kabisa.
Na Waislam waliwengi tukiamua kura ya hapana basi ujuwe katiba pendekezwa haipiti.
Na sasa hatutaki ahadi, na wakati wa kura za Urais na ubunge, uzi ni hohuo. Mpaka watu watie akili.
Baraza Kuu tuko pamoja, naunga mkono hoja.