Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

Status
Not open for further replies.

Umenena vema mkuu!
 
inabidi muwe na msimamo huo huo kura ya hapana na muwakumbushwe waislam mwaka 2010 jk aliwandanganya hivyo sasa hivi msidanganyike 2015 ccm ikataliwe na katiba kura ya hapana
 
Huwezi kupata mahakama ya kadhi ambayo inagharamiwa na watu wa dini tofauti, hilo halitawezekana sio Tanzania hii anza kulielewa na kulikubali. Ulivyoambiwa nchi haina dini maana yake ni kwamba hakuna mahakama ya kadhi elewa hilo.

 
Umetumia ad hominen arguments ie argument by character assassination. Mambo ya pombe yanatoka wapi? Sitakujibu, ndio nyinyi "waislamu" mnaozungumzia mahakama ya ardhi, labour court and the like being equivalent and Kadhi's court!

Ndo mana tunasema kwamba kama mumeweka pamba za masikio hamuelewi Mahkama ya Kadhi, waislamu tunafanya kampeni nchi nzima kuzuia Katiba mpya
 
Nimesoma comments nyingi za wachangiaji, kuna kitu wanachanganya ama laah mtoa uzi ndio amewapotosha! Kuna vyombo viwili ambavyo vya Waislam ambavyo vinasigana!
  1. Kuna BAKWATA! Hawa ndio wale pale makao makuu kinondoni Muslim. Ndio hawa wanaodaiwa kuwa na nasaba na CCM, kwamba wana uhusiano mzuri pia na serikali, wengine wanaenda mbali zaidi, wanasema BAKWATA pia ina uhusiano mzuri na vyombo vya wakristo! Mkuu wake ni Muft Shaaban Simba! Hawa sio waliotoa tamko linalotajwa hapa!
  2. Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu, hawa ndio wapinzani wakubwa wa BAKWATA, na moja wa kiongozi wao ni Sheikh ISSA PONDA!

Hii maana yake nini, BAKWATA hawana muda wala mpango wa kulaani lolote lile ambalo limefanywa na serikali, na kwa hiyo siku zote wako na mgogoro na hao namba 2, ambao kwao CCM na Serikali wote ni adui wa uislam Tanzania. Tamko tajwa hapo juu, limetolewa na kundi hili namba 2 (kwa mujibu wa mtoa uzi)
 
With all due respect, hivi kweli mahakama ya kadhi inaweza kuwa sawa na mahakama ya ardhi, biashara etc?

Yale yale ya Ubalozi wa Vatican ni sawa na OIC!

Kwa hoja hizi sioni kiongozi yeyote yule aliye makini to give a damn shit
 

alishawaruhusu waanzishe huko ila isiwemo ndani ya katiba huo ndo ulikuwa msimamo wake ukiwasikiliza ma ustaz wao wanataka iwepo kikatiba na kupewa nguvu kama mahakama zingine jk yy alitaka ijitegemee.
 
Hakuna kutumiwa hapa mama FaizaFoxy. Huu ni msimamo wa Waislam wote wanaojielewa wajibu wa kuletwa kwao hapa Duniani.

Aliyoanzisha Nyerere ni Bakwata ambalo tofauti na lilikotoka tamko hili. Hao uliowataja juu wote, wanaiheshimu taasisi hii ya Jumuiya na Taasisi za Kiislam kuliko hawa wahuni bakwata. Bakwata kamwe hawawezi kutoa tamko la namna hii. Wako busy kuuza viwanja na majengo ya wakfu pamoja na kuandaa mechi za mpira za kuleta amani. Tuungane-Kwa kamba ya Allah!
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kupata mahakama ya kadhi ambayo inagharamiwa na watu wa dini tofauti, hilo halitawezekana sio Tanzania hii anza kulielewa na kulikubali. Ulivyoambiwa nchi haina dini maana yake ni kwamba hakuna mahakama ya kadhi elewa hilo.

Hivi ni upungufu wa ufahamu wako ama bado tukugeiye muda huenda ikawa khalafu ukajafahamu pole pole kwa kuwa yarukhusika sio....!?

Zile alizo idhinisha yule Mmasai na jopo lake ziende kwenye ati Spitali za Makanisa na Skuli zake (MoU) zile hazina tatizo kwakuwa zachangiwa na "KODI" za Wakristo pekee sio....!?

Hizo dhihaka na kujivika kwenyu upogo kwa upande mmoya wa Watanzania(WAISLAAMU) wenzenyu sasa tamati ndo yakuijieni kwa kwasi.

Ahsanta na nipo kipembeni hapa.
 
Hakuna mahakama ya kadhi tz,wehu nyie,waislam ni wajinga sana.
 
Hatulitambui Baraza kuu la waislam Tanzania.Chombo cha kuwasemea waislam ni kimoja tu hao wengine wanapoteza muda buree.BAKWATA ndio chombo rasmi cha kuwasemea waislam wote Tanzania.
 


Mkuu naomba kukuuliza hizo hospitali na skuli zinahudumia wananchi wa dini zipi? Je zianahudumia wananchi wa dini nyingine na hata wasiokuwa na dini? Hizo mahakama za kadhi zitahudumia wananchi wa dini ipi? Je zitahudumia wananchi wote hata wa dini nyigine na wasiokuwa na dini?
 

Mfano mimi girlfriend wangu ni dada FF na imethibitishwa kuwa tunagegedana, je yeye atapigwa mawe mpaka afe na mimi nitakula mikwaju 100,?
 
niliwahi kuandika humu kwamba waislam wasitegemee kujengewa mahakama ya kadhi na serikali ya ccm watakuwa wanajidanganya wenyewe.nimejifunza kitu ingekuwa ni wakirsto tungekuwa tunataka hizo mahakama tungejenga wenyewe sasa nyie mnasubiri kujengewa na ccm mtasubiri sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…