MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
MAHAKAMA ZA ARDHI Za Kibiashara Kila Mwananchi Ananufaika Nazo. Mfano, Ikitokea Mtu Kaamua Kujenga Barabarani Na Kuziba Njia Ambayo Inapitwa Na Huyo Mpangaji Atapitia Wapi? Haya Mahakama Ya Biashara Ikitokea Mfanyabiashara Kauziwa Vitu Feki Nae Akaja Kuwauzia Wananchi Bidhaa Feki Unazani Wananchi Wasio Wafanya Biashara Hawataathirika? Ndo Msingi Wa Kuwepo Mahakama Hizo.LAKINI MAHAKAMA YA KADHI NI IMANI YENU YA DINI NA INAMANUFAA KWENU Tofauti Kabisa Na Mahakama Ya Ardhi Ambayo Inafaida Kwangu Hata Ikija Tokea Mtu Kajenga Eneo La Wazi Naweza Mfungulia Kesi Bila Kujali Dini Yake,pia Ikitokea Nimeuziwa Kiwanja Hewa Naweza Kwenda Huko,nikiuziwa Bidhaa Feki Naweza Enda Mahakama Ya Biashara Tofauti Na MAHAKAMA YA KADHI KWETU SISI WAKRISTO ASILANI ABADANI HAITOTOKEA IWE NA FAIDA KWANGU HATA SIKU MOJA.Ndiyo Maana Tunawaambia Anzisheni Kwa Pesa Zenu.