ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Chuki tuuKwani mkuu hili jambo linahusiana nini na dini yankiislamu? Mbona wao wametaka kujadili mkataba tu au hizi habari za uislamu zinakujaje???
Hivi tangu nyerere ushawai kusikia raisi kauza bandari? Shida iliyopo ni huu mkataba upo kwa siri sana..... wakati hakuna sababu yakuwa siri hii ni mali ya watz, wangesema tu mkataba ni miaka 10 au mingapi alafu ungeona kama kuna mtu angepiga kelele....” tatizo lipo hapo haieleweki hawa jamaa tupo nao adi lini
Tulia inamauswekwe sasaMbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Magufuli alisaini Mikataba na Wazungu au Waarabu? Una mifano?Kipindi cha Magu walikuwa wapi?
Unaweza puuza kanisa katoliki!!??Watapuuzwa
Chuki tuu
Kwahiyo, tuliwaandaa wanafunzi kupingana na mkataba wa ulaghai uliofanywa na Sultan Mangungo wa Msovero na Karl Peters dhidi ya Tanganyika na jambo hilo linapojirudia ukiwa na AKILI timamu unaliunga mkono.Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Watakutana kuongea ziara yao ya majuzi huko Vatican.Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Hao Maaskofu enzi za Magu walipoteana mbona.wamerudi tena?Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Mkataba ni wa uwazi sawa. Ndio tunaupinga hatuutaki tusilazimishweNASIKITIKA SANA (DUMBS) KUFUATA MKUMBO, MKUU WA MKOA AMEKUKARIBISHENI MUMTAFUTE MKAPITIE KIFUNGU KWA KIFUNGU CHA MKATABA HUSIKA, THANKS MAMA SAMIAH KWA KUWA MUWAZI, TUMESHUHUDIA KATIKA AWAMU ZILIZOTANGULIA MIKATABA MINGI ILISAINIWA JUU KWA JUU. (Na kuwa siri za serekali)
Tunahitaji neno moja tu kutoka kwao na nchi yetu itaponaVyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Tangu lini Serikali Huwa inafanya hivyo?Hapana mkuu mbona walikuwa kimya? Ila sasa bibie nae kwenye hili inawezekana kakosea” cuz kama lengo ni zuri alikuwa awaagize wataalamu wake mkataba ugawiwe kwa hizi taasisi na watoe muda wakuzipitia then ndo tuna sign kama kuna maslahi kwa taifa.
Ila hili limekuja gafla na mtu akiuliza anaambiwa ni mkiristo..... hata ndugu zetu waislamu wapo na akili zakutosha kitu hakijaeleweka tunasimama wamoja kama watz....... hili sio tatizo lakidini useme mtatua msikitini hili nila taifa zima na mbaya zaidi linaweza kuwa athari kwa vizazi vyetu
Tangu lini Serikali Huwa inafanya hivyo?
Hukukuona magu wakati wa mkataba kati ya bariki na serikali si ilikuwa wazi kila mtu anaangalia?
"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala
Friends and Enemies, In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation. Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo...www.jamiiforums.com
Huelewi nini si ufungue ?Hii link Sijaelewa mkuu
SawqVyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.