ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Chuki tuuKwani mkuu hili jambo linahusiana nini na dini yankiislamu? Mbona wao wametaka kujadili mkataba tu au hizi habari za uislamu zinakujaje???
Hivi tangu nyerere ushawai kusikia raisi kauza bandari? Shida iliyopo ni huu mkataba upo kwa siri sana..... wakati hakuna sababu yakuwa siri hii ni mali ya watz, wangesema tu mkataba ni miaka 10 au mingapi alafu ungeona kama kuna mtu angepiga kelele....” tatizo lipo hapo haieleweki hawa jamaa tupo nao adi lini