johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kanisa Moja Takatifu la MitumeHapo makachero wa kanisa,ukute wameshasafiri hadi Dubai na wameshaleta ripoti.Hao nina uhakika watajadili kwa kina,kuliko bunge,na inaweza ikawa na impact.Hilo kanisa,siyo mchezo,lina watu wake toka Ikulu hadi kwenye kitongoji na bila kusahau kwenye taasisi yoyote ile unayoijua,wewe msomaji,iwe kwenye dini,siasa au taaluma yoyote ile.Never underrate them.
Mimi tajiri sana na nina maisha mazuri sana kushinda weweHakuna mhaya mjinga anayejipendekeza kwa Wazanzibari.
Jinga kabisa wewe ndio maana mpaka leo ni maskini kwakua huna akili.
We jamaa bhana 🤣🤣🤣Nitaanza tena kuingia kwenye nyumba za ibada wakisimama na wananchi
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na yote wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wetu."
"...Waraka ni imani yangu utatolewa na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Kweli wewe ni tahira.Mimi tajiri sana na nina maisha mazuri sana kushinda wewe
Wewe ni kipuuzi, tutawafyagia tu,Kwa hiyo wao wakikaa sie tufanyaje?
Msongo wa akili ni tatizo sana nchini
Waraka utatumwa kwa jumuiya ya wakatukumeni?Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na yote wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wetu."
"...Waraka ni imani yangu utatolewa na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
Upuuzi kanisa la mateli wanaishi Kwa sababu kuna nyumbu kama nyie.Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Polee sana. UsipanickWewe ni kipuuzi, tutawafyagia tu,
Jifarague tu,huwa mnajufanya mna akili Sana kumbe wapuuzi,mmekwama Karne hii ya sayansi na teknolojia,uwekezaji ni suala la serikali na si Baraza la kidini,wao waende kwenye vitubio kusamehe watu dhambiHebu tuwekee picha hapa tuione..
Na akiinama mwarabu atamtia LODE la matakWewe inama au chuchumaa.
Najua huna kazi unafikiri wengine wote hatuna kazi. Njoo tukupe kazi kijanaKweli wewe ni tahira.
Unakosa elfu 50 ndio uwe tajiri??
Yaani wanakaa Kama nani yaani??? Kuna watu walivyojipa rights na hii nchi utafikiri yao....kama sio chokochoko hapo nini kingine chatafutwa!Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Basi unapaswa kuwa upande wa wengi, acha unaaPolee sana. Usipanick
Wengi kina nani? Wakenya?Basi unapaswa kuwa upande wa wengi, acha unaa
Kwahiyo wewe tatizo lako ni Mwarabu au mkataba? Naona unahangaika kwenye kila thd kusambaza chuki zako za racism,au na wewe ulikua mpigaji pale port?Sijui wanachelewa nini, hapa ndipo utakapowaona mawakala wa shetani wanavyoanza kumwaga povu.
Tanganyika yetu imetekwa, lazima sote kwa pamoja tusimame kuikomboa kutoka mikononi mwa mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
Nyumbu mmejazana hapo Usafwani Mbeya mjini mkiongozwa na Wala Ndizi!Upuuzi kanisa la mateli wanaishi Kwa sababu kuna nyumbu kama nyie.