Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Mkuu wengi wao tatizo lao ni Uarabu plus dini yao,hata umfahamishe vp hawezi kukubaliana na wewe.
 
Rafiki Tanganyika ni mali ya Watanganyika wenyewe na haijawahi kamwe kuwa mali ya Waarabu,kama ni chuki mwazitengeza nyie kwa kisingizio cha uwekezaji.
Kwahiyo wewe tatizo lako ni Mwarabu au mkataba? Naona unahangaika kwenye kila thd kusambaza chuki zako za racism,au na wewe ulikua mpigaji pale port?
 
Rafiki Tanganyika ni mali ya Watanganyika wenyewe na haijawahi kamwe kuwa mali ya Waarabu,kama ni chuki mwazitengeza nyie kwa kisingizio cha uwekezaji.
Ina maana mpaka hapo hujagundua kua wewe ndio unaonyesha chuki mpaka hapo? Umajikoki kubishana mpaka unajianika jinsi ulivyo na chuki na waarabu na sio content za mkataba!

Vipi kuhusu kwenye madini ambapo ndipo mzungu yupo? Vp kampuni iliyopita hapo Port jinsi ilivyokua inaboronga na wapigaji kibao,ulikua usingizini!
 
Tulipata uhuru 09/12/1961 ili tujitawale na siyo kutawaliwa na Waarabu.
 
Acha ndoto pumbavu
 
We are talking for current issue,please free our PORT.
 
BENEFICIARY, CANT AND NEVER CALM DOWN.
serekali isimame imara
 
Thats all well and good lakini akishindwa kumeet hizi expectations mtamfanya nini?
Huo mkatana ni wa muda gani?
Kuna vipimo gani vya performance KPI tutakuwa navyo?
Utaratibu wa kuvunja mkataba ukoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…