Huoni mko wawili tu hapa mnaoupigania huu mkataba wa hovyoHujui haya mambo wewe. Tulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni mko wawili tu hapa mnaoupigania huu mkataba wa hovyoHujui haya mambo wewe. Tulia
Hao ni wa kukanyaga kwa kila tawi la mti watakalo jaribu kujishikiza, mawakala wa shetani lazima washindwe.Vimba na upasuke kibwengo la ccm Wewe
Tunapinga mkataba wa kihuni na sio uislamu wa mtu
Wewe ni mpumbabu
Wewe mbona ulikuwa unajipendekeza chato?Hakuna mhaya mjinga anayejipendekeza kwa Wazanzibari.
Jinga kabisa wewe ndio maana mpaka leo ni maskini kwakua huna akili.
Najua watu wanacholalamikia ndiyo maana naongea,wewe ndiye punguwani unayebwata bila kufikiri
Mkataba wa mamlaka ya bandari na dp world haujasainiwa,we huo unaopinga umeuona wapi!?Vimba na upasuke kibwengo la ccm Wewe
Tunapinga mkataba wa kihuni na sio uislamu wa mtu
Wewe ni mpumbabu
Unaishi wapi mkuuMkataba wa mamlaka ya bandari na dp world haujasainiwa,we huo unaopinga umeuona wapi!?
Wewe ni kibwengo la chama gani? Toa upumbavu wako hapaVimba na upasuke kibwengo la ccm Wewe
Tunapinga mkataba wa kihuni na sio uislamu wa mtu
Wewe ni mpumbabu
Wewe ndio mjinga,ni lini uliwahi sikia hao Tec wanaleta chokochoko Rais akitokea upande wao? Huu ni unafiki unaotetea.Acha ujinga wewe
Pasuka na ufeWewe ni kibwengo la chama gani? Toa upumbavu wako hapa
Kama aliuza mbona Mkapa aliuza hicho unachoita kuuza Nchi na nyie Tec wanafiki hatukuwasikia?Upuuzi wa sa100 wa kuuza nchi ukome
Wewe kibwengo huna lolote la maana ni takataka tuu kichwani humo.Pasuka na ufe
Ila tutapinga mikataba yote ya kinyinyaji bila kuogopa kwa sababu ni urithi wetu
Mtaitapika hiyo asali wajinga kabisa nyniyi
Itakua hakuna tena upigaji uliouzowea,tafuta kazi nyingine tu bado mapema.Utajua mwenyewe, sipigii mbuzi gitaa kila siku, wacha wanaojielewa wasonge mbele kuikomboa Tanganyika.
Mkataba wa utekelezaji haujasaini,kinachodaiwa kuwa mkataba ni intergovernmental agreement (IGA),agreement siyo contract, agreement hiyo ni baina ya serikali husika,katika hili mamlaka za bandari tz na mamlaka za bandari Dubai(Dubai ports-dp) ndizo zitakazoingia contract,umekazana kubisha na kubwabwaja mambo yenyewe huyajuiUnaishi wapi mkuu
Basi nyamaza
Ninachokitetea nakijua thamani yake, staki masikhala na vijib..wa vya ccmWewe kibwengo huna lolote la maana ni takataka tuu kichwani humo
Jinga wewe unajua nini zaidi ya kutetea upigaji mliozoea Kwa Mwendazake?Ninachokitetea nakijua thamani yake, staki masikhala na vijib..wa vya ccm
Jinga kabisa
Wewe ni mwehu wa CCM, Ni wapi Mkapa aliuza bandari zote za Tanganyika? Hii itakuwa baadhi ya nyinyi CCM mnavuta Cha ArushaKama aliuza mbona Mkapa aliuza hicho unachoita kuuza Nchi na nyie Tec wanafiki hatukuwasikia?
Wapumbavu wakubwa nyie.
Tutapambania Tanzania yetu inayoporwa na Waarabu taratibu taratibu kwa kisingizio cha mikataba yenye faida,hatutaki kuwa omba omba.Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome