Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

Waefeso 5:17 Kwa hiyo acheni kuwa watu wasio na akili, bali endeleeni kuyafahamu mapenzi ya Yehova. 18 Pia, msilewe divai, ambayo ina upotovu, bali endeleeni kujazwa roho.
Njoo tunywe pombe kiongozi!!!
Mi sitaki kujiunga na watu WANAOMPIGIA Mungu kelele kama Kiziwi!!!

WanaojifanyabYESU rafiki yao ,huku wakimdhihaki na kumdharau Mama yake mzazi Bikira Maria!

Wanaodhani Yesu hana mama 🤔🤔🤔
 
Mathayo 13:24Na unabii wa Isaya unatimia kwao unaosema: ‘Kwa kweli mtasikia lakini hamtaelewa, nanyi kwa kweli mtatazama lakini hamtaona. 15 Kwa maana mioyo ya watu hawa imekuwa migumu, nao wamesikia kwa masikio yao bila kuitikia, nao wamefunga macho yao, ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa kwa mioyo yao, kisha wageuke nami niwaponye.’ 16 “Hata
 
Nahisi wewe utakuwa shida bya afya ya akili.

Mods Naomba ruhusa NIMTUAKANE MATUSI HUYU Mpumbavu, then mnifungie, ananitafutia Bann ! NAMI Nina hamu ya kupigwa Bann, NAOMBA ruhusa NIMTUAKANE 🤔🤔

Anaandika as if KATOKA MBINGUNI LIKIZO 🤣🤣🤣😃😃
 
 

Attachments

  • 51bbe7263e4311a544e4b377fb1c3cf5.jpg
    6.9 KB · Views: 2
Waefeso 5:17 Kwa hiyo acheni kuwa watu wasio na akili, bali endeleeni kuyafahamu mapenzi ya Yehova. 18 Pia, msilewe divai, ambayo ina upotovu, bali endeleeni kujazwa roho.
 

Attachments

  • 51bbe7263e4311a544e4b377fb1c3cf5.jpg
    6.9 KB · Views: 0
MODS una BOLD na ku UNBOLD HEADING YA UZI PLEASE bold
 
Viongozi wa CCM wengine ni RC so lazima wahusike.
 
Matendo ya Mitume 26:14Sisi sote tulipoanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia katika lugha ya Kiebrania: ‘Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa? Kuendelea kuipiga teke michokoo kunafanya iwe vigumu kwako.’⁠ Unaujua mchokoo wewe?. Haya Endelea.
 
Kuna utapeli mkubwa sana katika dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…