Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha pombe na mambo ya kipungaWewe ni MPUMBAVU, POPOMA, KUBWA JINGA BWABWA la P Diddy.
Hujui tofauti ya kulalamika, na ku ALERT🤔
Mimi naandika kuwa Kanisa like pembeni na pesa chafu!!!
Natoa ushauri bwa project ambazo Kanisa linaeeza kuomba,badala ya pesa hizi chafu!!!
Wewe UKADA WAKO WA CCM Umeweka kipaumble kuliko Hadhi ya kanisa.
sasa papa, UJINGA WAKO MKUBWA ni huelewi kuwa dini ya kkirsto ililetwa Afrika na wazungu!! Papo hapo unashangaa kuwa papa kwanini mzungu,???
Wewe ni kati ya watoto waliozaliwa kwa wazazi ambao WALIPASWA WAFUGE NGURUWE Kuliko kutumia vibaya MANII zao kuzaaa KUBWA JINGA kama wewe 😀😀🤔🤔
Bado Baki kwenye Uzi ,usitoke nje ya mada kuu boya bweweAcha pombe na mambo ya kipunga
Or else utaishi kwa shida na taabu sana
Low IQ ni wewe buliyetoka nje ya mada kuuLow IQ
Sorry
Huyo alikuja kijinga na anajibiwa kijinga!! Hii haibadili ukweli wa mada kuu ya uziKwa maneno yako haya hata post yako haina maana tena. Kwa lugha yako chafu huna moral authority kulisemea kanisa, hebu kajipange upya, wakatoliki hawako hivyo, rudi kwa aliyekutuma.
Sio kila msaada, na sibwa kila anayetoa, ikitokea kwenye Taasisi yenye movement ya USHOGA?? USAGAJI,ipokelewe tu kisa ni misaada??Kitu unachotakiwa kuelewa ni kuwa kanisa ni taasisi iliyojengwa kuwa Misingi ya misaada. Inapokea misaada na kutoa misaada. Imeandikwa kuwa njooni mliolemewa na dhambi… hivyo hata misaada michafu inapokelewa katika kanisa.
Mwisho, rafiki wa kanisa si muumini ila anayetoa zaka au vipaji kwa wakatoliki. Tajiri si lazima awe anasali jumuia ili azikwe na Padre, michango yake kwa kanisa inatosha tu. Kanisa halijatenda kosa kupokea hela ya Samia. Hata Tundu Lissu akipeleka, litapokea tu. A very good morning
Bila kupepesa macho una hoja za msingi sana hasa zinahusu maadili ya kanisaMOja kwa moja kwenye mada,siku za karibuni kumekuwa na zoezi la serikali kutoa pesa kuchangia makanisa.
Makanisa mbalimbali likiwemo Kanisa Katoliki, Takatifu la Mitume, ambalo makanisa yake yamepokea pesa za serikali ya CCM.
Nataka kuchukua mfano
Jimbo la Zanzibar hasa ambalo limepokea fedha toka Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya ukarabati wa kanisa kiasi Cha milioni 200.
haijulikani kama wao Jimbo Mhashamu Agustino Shao wa Holly Ghost Father's aliomba, au wao serikali waliombwa wachangie, au sijui serikali ilijuaje kama Kuna uhitaji.
Ni aibu nijuavyo hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu kupokea fedha toka wanasiasa.
Siamini kwamba Jimbo la Zanzibar halina namna ya kupata fedha kukarabati kanisa.
Nijuavyo Project manager wa jimbo au administrator anao uwezo kwa ruhusa ya Askofu kuandika project Ulaya ikajibu, namfahamu padre mmoja wa Jimbo la Zanzibar aliyekaa sana Ulaya Marekani , Siamini Padre Damas Mfoe wa jimbo la Zanzibar angalishindwa ,kama angaliombwa kuandika, badala yake Jimbo limepokea fedha za mwanasiasa Dr Hussein Mwinyi.
Baadhi ya majimbo hasa ya Kusini maparoko na wamama wakuu wa mashirika ya kitawa wanao uwezo wa kuandika project za shule ya chekechea, miradi ya akina mama, vituo vya watoto yatima zikajibu.
Ilikuwaje Askofu bwa Zanzibar apokee pesa Toka kwa mwanasiasa???
Pili Zanzibar kama eneo la utalii, kila kitu kilichoko Zanzibar ni utalii, makanisa na historia ya ukristu kwa wamisionari wa Holly Ghost Father's na wamisionari Wa Benedictine waliingia kwanza Zanzibar.
kwa mantiki hiyo ukarabati wa kanisa hata ingeandikiwa UNESCO wangejibu na kupata fundus fund kuliko pesa za wanasiasa wenye hila na mikono yenye dalili za damu na ambao kuingia Kwao madarakani Kuna shaka.
Mfano wa pili matibabu ya operesheni ya Askofu mkuu wa Jimbo kuu DSM Jude Thaddeus Ruwaich Ofm Cap yalifadhiliwa na Hayati Magufuli,haikuwa sahihi hata kidogo Jimbo kuu DSM Lina mapato ya kutosha Toka vyanzo mbalimbali, mfano mzuri Tegemeza Jimbo sio chini ya billion 1.5 kwa mwaka achilia vyanzo vingine.
Ilikuwaje mkubali serikali iingilie kati matibabu??
Wakati wa aliyekuwa Askofu msaidizi Kilaini Methodius naye alilipiwa matibabu India na JK.
Tumeona pia Arusha zaidi ya milioni 500 Jimbo katoliki Arusha limepokea bila kujali mazingira ya jambo husika.
Mlipata wapi ujasiri wa kukemea kwa njia ya waraka juu ya mkataba hovyo wa DP 🌍 Word kupewa Bandari zetu za BARA na Leo mmekuwa majasiri wa kupokea pesa Toka hao hao waliouza Bandari zetu mkitumia msemo
"I HATE PORK,BUT I LIKE IT'S SOUP"
Nielekee kuhitimisha, pesa hizi zinazoanza kusambazwa kwa njia ya hisani, kuchangia vitu,zina viashiria vyote ni pesa chafu, ya rushwa kwa Kanisa katoliki na Viongozi wa Kanisa.
Lengo la pesa hizi ni ku brain 🧠 wash Viongozi, na waumini, ni compromat,ili munyamaze kimyaa, msikemee matendo bya kishenzi ya Serikali ya CCM.
Week chache zilizopita Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Mwanza amenukuliwa ametoa maneno ya wazi yenye dalili za UCHAWA ndani yake kuhusu Serikali ya chama kuwa,
" Kama huoni maendeleo yaliyoletwa muulize mamako"
Sijui kauli hiyo ilikuwa yake au ni out of his emotional?? Haijulikani, haikumbukwi mahali popote pale ambapo aljaribu kuongelea rushwa, utekaji wa watu na kuuwawa kwa watu na utawala bora kiujumla.
Ninapoandika haya najua wazi kuwa muundo wa kanisa Katoliki kila Askofu Local ordinary wa Jimbo ana mamlaka yake ya kutoingiliwa na Jimbo lingine.
Lakini katika Hali tuliyonayo kama Taifa Maaskofu wakae waangalie kwa Tahadhari namna ya kukaa mbali na pesa chafu zinazomwagwa kama njugu, na ambazo vyanzo vyake havijulikani, yaani zimetika katika bajeti ipi??
Sekeseke la pesa za ESCROW Maaskofu kadhaa walikuwa wanufaika Tena pesa zao ziliingizwa katika personal account, na transaction nyingi zilifanyika kupitia Benki ya Kanisa katoliki Mkombozi Bank, hatukujifunza kupitia kosa hilo???
Rai kwa Baraza la Maaskofu TEC mintarafu Mhashamu Askofu Wolfgang Pissa OFM Cap wa Jimbo katoliki, tafuta namna ya ku address hizi pesa zinazoingia kwenye majimbo, parokia Toka wanasiasa hasa wakati huu tunakoelekea uchaguzi mkuu ili Kanisa Katoliki lisichafuke kwa hizi pesa chafu.
"Roma Locuta Causa Finita "
Niwatakie siku njema.
Aksante sana ndugu katika imani,umeachangia Uzi kwa weledi bila mihemko kama wanavyofanya wengine.Bila kupepesa macho una hoja za msingi sana hasa zinahusu maadili ya kanisa
Mimi mwenyewe ni mkatoliki wa kuzaliwa kuishi na kufa lakini viongozi wetu aisee hizi dhambi wanazozibeba ni kubwa sana
Jimbo la Morogoro kipindi msimbe ni monsignor na anatawazwa kuwa mkuu wa Jimbo deni la Jimbo lilikaribia takribani billion 2 shs na hakuna maelezo yaliyojitosheleza kuhusu hizo hela zilipotomika. Siku hizi watumishi wa Mungu wamekuwa mawakala halisi wa shetani hatuna tena viongozi mashuhuri na weledi kama akina askofu Adrian mkoba. Na ukijaribu kuongea watakukasurikia na kukuona vitisho.
Ninafurahi watu wenye mapenzi halisi ya kanisa mpo, msiache kukemea uovu ndani ya kanisa wala kusema ukweli na katu hatutaikana Imani yetu kwa ajili makosa ya wadhambi kadhaa, kila mtu alilikuta kabisa na ataliacha lakini misingi ya kanisa itadumu dawamu
Kuishi ni KRISTU na kufa ni faida
Ninge penda kuku'engage' wewe kwa utulivu ila muda hauruhusu. Ninakuona unang'ang'ania unayo dhani/fikiri wewe na kufanya kuwa ndiyo sababu ya uwepo wa kanisa. Unashindwa au kwa maksudi unajifanya kuliona kanisa kuwa mali au kuwa hao watumishi wake binafsi, dhana ambayo ni wazi potofu.Kanisa ni kati ya taasisi ambazo zinaendeshwa na michango ya watu. Kila mtu mwenye nacho hupokelewa kanisani kwa mikono miwili. Umesahau-toa ndugu, toa ndugu, ulichonacho wewe, bwana anakuona hata rohoni mwako…
Acheni uchadema na uccm mbali. Pahala ambapo RC inabagua ni wakati wa kukomnika tu.
Mimi sijaanzisha mada hii.Ninge penda kuku'engage' wewe kwa utulivu ila muda hauruhusu. Ninakuona unang'ang'ania unayo dhani/fikiri wewe na kufanya kuwa ndiyo sababu ya uwepo wa kanisa. Unashindwa au kwa maksudi unajifanya kuliona kanisa kuwa mali au kuwa hao watumishi wake binafsi, dhana ambayo ni wazi potofu.
Huwa sipendi mijadala hii ya kiimani na kuichanganya na maswala ya kisiasa, ambayo sasa wanasiasa wenyewe wanalazimisha hizi imani ziwe sehemu ya kufanyia uchafu wao, na watu kama wewe mpo tayari kuwa mawakala wa shughuli hiyo.
Nimekwisha elewa maana ya wewe kuleta mada hii haa, kwa hiyo sina sababu tena ya kuwa mshiriki nayo.
Huwezi kunipangia namna ya kuandika, over and outWewe ndio mweupe kabisa, unasema "mantiki logic " unachanganya lugha mbili. Sema tu huna mantiki.
Rudi kwenye mada ya uzi, au kaaa kimyaaa kuficha ujinga wakoWewe ndio mweupe kabisa, unasema "mantiki logic " unachanganya lugha mbili. Sema tu huna mantiki.
Kama umeamua nkujibia deal na maudhui ya uziMimi sijaanzisha mada hii.
Tatizo mama wala sio uchaguzi mkuu. Kitendo tu cha kuchukua pesa ya serikali kwa namna inavyotolewa na kupokelewa is intrinsically evil!Aksante sana ndugu katika imani,umeachangia Uzi kwa weledi bila mihemko kama wanavyofanya wengine.
Kuhusu Morogoro Mhashamu Askofu Lazarus Msimbe SDS, akiwa Bado msimamozi wa Jimbo mara baada ya kupewa hiyo nafasi alishauriwa afanye mabadiliko bila kuchelewa ya ofisi ya mhasibu wa jimbo.
Lakini kama ujuavyo Mhashamu Msimbe ni laizer affair, sio mtu wa caliber ya u aggressive kama alivyo Askofu Dalu, ni Mtu wa kuangalia watu usoni.
Nafasi hiyo mpaka anakuwa Askofu kuteuliwa Mwasibu wa jimbo alitumia vibaya, na huku msimbe akijiona mpita njia, maana ukipewa kuwa Administrator wa jimbo sio lazima baadae uje kuwa Askofu.
Kuhamaki Vatican ikamtangaza, najua sasa atakuwa anajilaumu kwa kosa la kutochukua hatua Toka akiwa administrator wa Jimbo.
Hiyo ni aina ya Msimbe hata alipokuwa mlezi wa wanovisi SDS Nakapanya, na Provincial Wanachama wa SDS walimfurahia kama Baba Mwema hakuwa mkali sana.
Nirudi kwenye mada kuu, kama wakristu wakatoliki lazima tuseme kweli kwa ajili ya kanisa Katoliki, kuhusu miamala hii katika kipindi hiki Cha uchaguzi.
Aksante sana.
Unategemea nijue misamiati ya huko, kwani umeambiwa mimi ni mtu wa huko?Kumbe hujui neno vipaji? Siyo akili ni michango kwa kanisa katoliki
Bado hujajibu chochote kati ya mada nilizoandika.
Completely you are Out of context,out of proportional
Naandika ukweli sio chuki, kanisa langu Katoliki linaenda siko over.
Nilikuchanganya na huyo mwenzio, kwa kuwa akili zenu zinafanana.Mimi sijaanzisha mada hii.