Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

huna unachojua,zaidi ya kupayuka tu,una data gani wewe? una weledi upi wewe? zaidi ya kuongelea ubora wa makalio
Bado tembea kwenye mada husika,kutojibia mada ipasavyo ni kuonesha hujui chochote, BWABWA wewe
 
It is a shame, big shame for all the Catholic dioceses which have accepted money from president Samia. The Catholic Bishops are corrupts so do the politicians!!!! This is an extreme form of a moral decay. Instead of becoming the voice of the voiceless, they adore money. They compromise the truth of the Gospel.
Absolutely, thanks for positive response 🙏
 
Lengo la pesa hizi ni ku brain 🧠 wash Viongozi, na waumini, ni compromat,ili munyamaze kimyaa, msikemee matendo bya kishenzi ya Serikali ya CCM.
Mkuu 'Nandagala', umeandika andiko refu sana bila sababu.
Umekiri mwenyewe kuwa haijulikani kama pesa zinazo tolewa kama njugu zimeombwa, au zimetolewa tu ili kununua kitu toka kwa hao walio pewa.
Nadhani kwanza unge jiridhisha kuwa pesa hiyo tayari imewageuza walio hongwa mtazamo walio kuwa nao kabla ya kuhongwa.
Wewe ulitegemea nini kifanyike. Hizo pesa walizo pewa bila ya kuombwa zirudishwe kwa mbwembwe na kelele nyingi kuonyesha kuwa zimekataliwa?
Ni sababu zipi hasa zinazo kufanya wewe uamini kwamba hao maaskofu kwa kupewa pesa hizo sasa ndio watakao kuwa mstari wa mbele kuwapigia kampeni hao walio zitoa pesa; au hata hao maaskofu wenyewe kwamba watawapigia kura hao walio wazawadia pesa.

Lakini, pamoja na kutofautiana nawe kwa uharaka wako wa kuhitimisha na kulaumu, nami pia naungana na wewe kwamba itakapo fika wakati mwafaka; kanisa (viongozi) ni lazima walizungumzie hili swala la pesa zinazopelekwa huko. Ni lazima wawe wawazi na kueleza msimamo wao kuhusu lengo la pesa hizo hasa wakati huu tukielekea kwenye chaguzi
Huo utakuwa ni msimamo wa kijumla toka kwenye kanisa usio athiri uamzi wa mtu binafsi, bila kujali ngazi yake ndani ya kanisa hilo. Kama huyo askofu wa Mwanza, yeye kweli kanogewa na yanayo fanywa na CCM ya Samia; hiyo ni halali yake, na hana wajibu wa kufanya msimamo wake huo uwe ndio msimamo wa kanisa lote.
 
Mkuu 'Nandagala', umeandika andiko refu sana bila sababu.
Umekiri mwenyewe kuwa haijulikani kama pesa zinazo tolewa kama njugu zimeombwa, au zimetolewa tu ili kununua kitu toka kwa hao walio pewa.
Nadhani kwanza unge jiridhisha kuwa pesa hiyo tayari imewageuza walio hongwa mtazamo walio kuwa nao kabla ya kuhongwa.
Wewe ulitegemea nini kifanyike. Hizo pesa walizo pewa bila ya kuombwa zirudishwe kwa mbwembwe na kelele nyingi kuonyesha kuwa zimekataliwa?
Ni sababu zipi hasa zinazo kufanya wewe uamini kwamba hao maaskofu kwa kupewa pesa hizo sasa ndio watakao kuwa mstari wa mbele kuwapigia kampeni hao walio zitoa pesa; au hata hao maaskofu wenyewe kwamba watawapigia kura hao walio wazawadia pesa.

Lakini, pamoja na kutofautiana nawe kwa uharaka wako wa kuhitimisha na kulaumu, nami pia naungana na wewe kwamba itakapo fika wakati mwafaka; kanisa (viongozi) ni lazima walizungumzie hili swala la pesa zinazopelekwa huko. Ni lazima wawe wawazi na kueleza msimamo wao kuhusu lengo la pesa hizo hasa wakati huu tukielekea kwenye chaguzi
Huo utakuwa ni msimamo wa kijumla toka kwenye kanisa usio athiri uamzi wa mtu binafsi, bila kujali ngazi yake ndani ya kanisa hilo. Kama huyo askofu wa Mwanza, yeye kweli kanogewa na yanayo fanywa na CCM ya Samia; hiyo ni halali yake, na hana wajibu wa kufanya msimamo wake huo uwe ndio msimamo wa kanisa lote.
Aksante sana kwa mchango, umejibu vizuri sana, pesa ni pesa, rejea vipande 30 vya Yuda na alochofanyiwa Yesu kwenye Biblia.

Kuhusu andiko kuwa refu ni description tu ya mada.Nashukuru umesoma lote, nakushkuru nawe kwa kujibu kwa kutumia andiko refu 😀 shukrani sana.
 
Duh 🐼

Mbona hushangai Viongozi Wote wa Juu wa CCM kuzuru Vatican kumsalimia baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro hivi karibuni?

Serikali na Vatican vinatenganishwa na Uzi mwembamba sana

Mwenyeheri Julius Nyerere 🌹🌹
EEEEeeeeenHEEEEEEEEeeeee!

Wewe kiumbe huishi vitimbi kweli. Yaani nimecheka mpaka machozi yakanitiririka.

Yaani CCM wamefika hadi Roma; wakaenda kutoa RUSHWA hadi kwa mrithi wa Peter!!!!!

EEeeennHEEEE!! Hii CCM itakuwa ni kiboko kweli!

Haya basi, sasa tuseme, hawa maaskofu hapa kwetu wanao pokea hivi visenti vya Samia wamepewa ruhusa na mkuu wao huko juu; na yeye bila shaka, baada ya sara za kuua mtu, kaonyeshwa njia na alio warithi, kwamba CCM haizuiliki. Chukua hiyo pesa haraka. Potelea mbali na hayo mahayawani; majinga ya waTanganyika.
 
Aksante sana kwa mchango, umejibu vizuri sana, pesa ni pesa, rejea vipande 30 vya Yuda na alochofanyiwa Yesu kwenye Biblia.

Kuhusu andiko kuwa refu ni description tu ya mada.Nashukuru umesoma lote, nakushkuru nawe kwa kujibu kwa kutumia andiko refu 😀 shukrani sana.
Hapana. Usinilishe maneno ambayo mimi sijayasema kwenye mstari wako huo wa juu.
Zaidi ya yoye, unatolea mfano uliopo nje kabisa ya 'context', sasa sijui nikueleweje wewe, mbali ya kuendelea kudhihirisha mashaka yangu juu ya nia hasa ya mada yako hii.
 
MOja kwa moja kwenye mada,siku za karibuni kumekuwa na zoezi la serikali kutoa pesa kuchangia makanisa.

Makanisa mbalimbali likiwemo Kanisa Katoliki, Takatifu la Mitume, ambalo makanisa yake yamepokea pesa za serikali ya CCM.

Nataka kuchukua mfano
Jimbo la Zanzibar hasa ambalo limepokea fedha toka Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya ukarabati wa kanisa kiasi Cha milioni 200.
haijulikani kama wao Jimbo Mhashamu Agustino Shao wa Holly Ghost Father's aliomba, au wao serikali waliombwa wachangie, au sijui serikali ilijuaje kama Kuna uhitaji.
Ni aibu nijuavyo hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu kupokea fedha toka wanasiasa.

Siamini kwamba Jimbo la Zanzibar halina namna ya kupata fedha kukarabati kanisa.

Nijuavyo Project manager wa jimbo au administrator anao uwezo kwa ruhusa ya Askofu kuandika project Ulaya ikajibu, namfahamu padre mmoja wa Jimbo la Zanzibar aliyekaa sana Ulaya Marekani , Siamini Padre Damas Mfoe wa jimbo la Zanzibar angalishindwa ,kama angaliombwa kuandika, badala yake Jimbo limepokea fedha za mwanasiasa Dr Hussein Mwinyi.

Baadhi ya majimbo hasa ya Kusini maparoko na wamama wakuu wa mashirika ya kitawa wanao uwezo wa kuandika project za shule ya chekechea, miradi ya akina mama, vituo vya watoto yatima zikajibu.

Ilikuwaje Askofu bwa Zanzibar apokee pesa Toka kwa mwanasiasa???

Pili Zanzibar kama eneo la utalii, kila kitu kilichoko Zanzibar ni utalii, makanisa na historia ya ukristu kwa wamisionari wa Holly Ghost Father's na wamisionari Wa Benedictine waliingia kwanza Zanzibar.
kwa mantiki hiyo ukarabati wa kanisa hata ingeandikiwa UNESCO wangejibu na kupata fundus fund kuliko pesa za wanasiasa wenye hila na mikono yenye dalili za damu na ambao kuingia Kwao madarakani Kuna shaka.

Mfano wa pili matibabu ya operesheni ya Askofu mkuu wa Jimbo kuu DSM Jude Thaddeus Ruwaich Ofm Cap yalifadhiliwa na Hayati Magufuli,haikuwa sahihi hata kidogo Jimbo kuu DSM Lina mapato ya kutosha Toka vyanzo mbalimbali, mfano mzuri Tegemeza Jimbo sio chini ya billion 1.5 kwa mwaka achilia vyanzo vingine.
Ilikuwaje mkubali serikali iingilie kati matibabu??

Wakati wa aliyekuwa Askofu msaidizi Kilaini Methodius naye alilipiwa matibabu India na JK.

Tumeona pia Arusha zaidi ya milioni 500 Jimbo katoliki Arusha limepokea bila kujali mazingira ya jambo husika.

Mlipata wapi ujasiri wa kukemea kwa njia ya waraka juu ya mkataba hovyo wa DP 🌍 Word kupewa Bandari zetu za BARA na Leo mmekuwa majasiri wa kupokea pesa Toka hao hao waliouza Bandari zetu mkitumia msemo
"I HATE PORK,BUT I LIKE IT'S SOUP"

Nielekee kuhitimisha, pesa hizi zinazoanza kusambazwa kwa njia ya hisani, kuchangia vitu,zina viashiria vyote ni pesa chafu, ya rushwa kwa Kanisa katoliki na Viongozi wa Kanisa.

Lengo la pesa hizi ni ku brain 🧠 wash Viongozi, na waumini, ni compromat,ili munyamaze kimyaa, msikemee matendo bya kishenzi ya Serikali ya CCM.

Week chache zilizopita Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Mwanza amenukuliwa ametoa maneno ya wazi yenye dalili za UCHAWA ndani yake kuhusu Serikali ya chama kuwa,

" Kama huoni maendeleo yaliyoletwa muulize mamako"

Sijui kauli hiyo ilikuwa yake au ni out of his emotional?? Haijulikani, haikumbukwi mahali popote pale ambapo aljaribu kuongelea rushwa, utekaji wa watu na kuuwawa kwa watu na utawala bora kiujumla.

Ninapoandika haya najua wazi kuwa muundo wa kanisa Katoliki kila Askofu Local ordinary wa Jimbo ana mamlaka yake ya kutoingiliwa na Jimbo lingine.

Lakini katika Hali tuliyonayo kama Taifa Maaskofu wakae waangalie kwa Tahadhari namna ya kukaa mbali na pesa chafu zinazomwagwa kama njugu, na ambazo vyanzo vyake havijulikani, yaani zimetika katika bajeti ipi??

Sekeseke la pesa za ESCROW Maaskofu kadhaa walikuwa wanufaika Tena pesa zao ziliingizwa katika personal account, na transaction nyingi zilifanyika kupitia Benki ya Kanisa katoliki Mkombozi Bank, hatukujifunza kupitia kosa hilo???

Rai kwa Baraza la Maaskofu TEC mintarafu Mhashamu Askofu Wolfgang Pissa OFM Cap wa Jimbo katoliki, tafuta namna ya ku address hizi pesa zinazoingia kwenye majimbo, parokia Toka wanasiasa hasa wakati huu tunakoelekea uchaguzi mkuu ili Kanisa Katoliki lisichafuke kwa hizi pesa chafu.

"Roma Locuta Causa Finita "

Niwatakie siku njema.
Penye fedha ni kawaida watu kujizima data
 
Rubbish, mbn wakati wa Magu mlisafirisha pesa kwa magunia kupitia benki yenu ya mkombozi. RC ni wanafki sana.
We ni MJINGA kabisa, mbona katika andiko hili nimezungumzia Mkombozi Benki,
Inaonekana hujui unachokijibia wala msingi wa mada!?
 
EEEEeeeeenHEEEEEEEEeeeee!

Wewe kiumbe huishi vitimbi kweli. Yaani nimecheka mpaka machozi yakanitiririka.

Yaani CCM wamefika hadi Roma; wakaenda kutoa RUSHWA hadi kwa mrithi wa Peter!!!!!

EEeeennHEEEE!! Hii CCM itakuwa ni kiboko kweli!

Haya basi, sasa tuseme, hawa maaskofu hapa kwetu wanao pokea hivi visenti vya Samia wamepewa ruhusa na mkuu wao huko juu; na yeye bila shaka, baada ya sara za kuua mtu, kaonyeshwa njia na alio warithi, kwamba CCM haizuiliki. Chukua hiyo pesa haraka. Potelea mbali na hayo mahayawani; majinga ya waTanganyika.
Wewe unaamini Kanisa Moja Takatifu la Mitume linaweza kusaidiwa kujenga Jengo la kuabudia?

Wale ndio waliasisi Bakwata 😀😀
 
We poyoyo
We poyoyo umeandika upupu, kinachokusumbua udini kwasababu Rais ni muislam. Hutafanikiwa kwa lolote we nyau
Wewe bni mjinga kabisa,yaani watu waache kukemea vitu kwa msingi wa dini, kwahiyo Rais akiwa mwislamu, so what??🤔😀😀
Narrow minded person, akili za KUVUKIA BARABARA ni shida sana
 
MOja kwa moja kwenye mada,siku za karibuni kumekuwa na zoezi la serikali kutoa pesa kuchangia makanisa.

Makanisa mbalimbali likiwemo Kanisa Katoliki, Takatifu la Mitume, ambalo makanisa yake yamepokea pesa za serikali ya CCM.

Nataka kuchukua mfano
Jimbo la Zanzibar hasa ambalo limepokea fedha toka Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya ukarabati wa kanisa kiasi Cha milioni 200.
haijulikani kama wao Jimbo Mhashamu Agustino Shao wa Holly Ghost Father's aliomba, au wao serikali waliombwa wachangie, au sijui serikali ilijuaje kama Kuna uhitaji.
Ni aibu nijuavyo hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu kupokea fedha toka wanasiasa.

Siamini kwamba Jimbo la Zanzibar halina namna ya kupata fedha kukarabati kanisa.

Nijuavyo Project manager wa jimbo au administrator anao uwezo kwa ruhusa ya Askofu kuandika project Ulaya ikajibu, namfahamu padre mmoja wa Jimbo la Zanzibar aliyekaa sana Ulaya Marekani , Siamini Padre Damas Mfoe wa jimbo la Zanzibar angalishindwa ,kama angaliombwa kuandika, badala yake Jimbo limepokea fedha za mwanasiasa Dr Hussein Mwinyi.

Baadhi ya majimbo hasa ya Kusini maparoko na wamama wakuu wa mashirika ya kitawa wanao uwezo wa kuandika project za shule ya chekechea, miradi ya akina mama, vituo vya watoto yatima zikajibu.

Ilikuwaje Askofu bwa Zanzibar apokee pesa Toka kwa mwanasiasa???

Pili Zanzibar kama eneo la utalii, kila kitu kilichoko Zanzibar ni utalii, makanisa na historia ya ukristu kwa wamisionari wa Holly Ghost Father's na wamisionari Wa Benedictine waliingia kwanza Zanzibar.
kwa mantiki hiyo ukarabati wa kanisa hata ingeandikiwa UNESCO wangejibu na kupata fundus fund kuliko pesa za wanasiasa wenye hila na mikono yenye dalili za damu na ambao kuingia Kwao madarakani Kuna shaka.

Mfano wa pili matibabu ya operesheni ya Askofu mkuu wa Jimbo kuu DSM Jude Thaddeus Ruwaich Ofm Cap yalifadhiliwa na Hayati Magufuli,haikuwa sahihi hata kidogo Jimbo kuu DSM Lina mapato ya kutosha Toka vyanzo mbalimbali, mfano mzuri Tegemeza Jimbo sio chini ya billion 1.5 kwa mwaka achilia vyanzo vingine.
Ilikuwaje mkubali serikali iingilie kati matibabu??

Wakati wa aliyekuwa Askofu msaidizi Kilaini Methodius naye alilipiwa matibabu India na JK.

Tumeona pia Arusha zaidi ya milioni 500 Jimbo katoliki Arusha limepokea bila kujali mazingira ya jambo husika.

Mlipata wapi ujasiri wa kukemea kwa njia ya waraka juu ya mkataba hovyo wa DP 🌍 Word kupewa Bandari zetu za BARA na Leo mmekuwa majasiri wa kupokea pesa Toka hao hao waliouza Bandari zetu mkitumia msemo
"I HATE PORK,BUT I LIKE IT'S SOUP"

Nielekee kuhitimisha, pesa hizi zinazoanza kusambazwa kwa njia ya hisani, kuchangia vitu,zina viashiria vyote ni pesa chafu, ya rushwa kwa Kanisa katoliki na Viongozi wa Kanisa.

Lengo la pesa hizi ni ku brain 🧠 wash Viongozi, na waumini, ni compromat,ili munyamaze kimyaa, msikemee matendo bya kishenzi ya Serikali ya CCM.

Week chache zilizopita Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Mwanza amenukuliwa ametoa maneno ya wazi yenye dalili za UCHAWA ndani yake kuhusu Serikali ya chama kuwa,

" Kama huoni maendeleo yaliyoletwa muulize mamako"

Sijui kauli hiyo ilikuwa yake au ni out of his emotional?? Haijulikani, haikumbukwi mahali popote pale ambapo aljaribu kuongelea rushwa, utekaji wa watu na kuuwawa kwa watu na utawala bora kiujumla.

Ninapoandika haya najua wazi kuwa muundo wa kanisa Katoliki kila Askofu Local ordinary wa Jimbo ana mamlaka yake ya kutoingiliwa na Jimbo lingine.

Lakini katika Hali tuliyonayo kama Taifa Maaskofu wakae waangalie kwa Tahadhari namna ya kukaa mbali na pesa chafu zinazomwagwa kama njugu, na ambazo vyanzo vyake havijulikani, yaani zimetika katika bajeti ipi??

Sekeseke la pesa za ESCROW Maaskofu kadhaa walikuwa wanufaika Tena pesa zao ziliingizwa katika personal account, na transaction nyingi zilifanyika kupitia Benki ya Kanisa katoliki Mkombozi Bank, hatukujifunza kupitia kosa hilo???

Rai kwa Baraza la Maaskofu TEC mintarafu Mhashamu Askofu Wolfgang Pissa OFM Cap wa Jimbo katoliki, tafuta namna ya ku address hizi pesa zinazoingia kwenye majimbo, parokia Toka wanasiasa hasa wakati huu tunakoelekea uchaguzi mkuu ili Kanisa Katoliki lisichafuke kwa hizi pesa chafu.

"Roma Locuta Causa Finita "

Niwatakie siku njema.
Kwahiyo pesa za wazungu ndio safi?
 
Wewe unaamini Kanisa Moja Takatifu la Mitume linaweza kusaidiwa kujenga Jengo la kuabudia?

Wale ndio waliasisi Bakwata 😀😀
Kama Serikali pamoja rasilimali zote, madini misitu, Bado inafadhiliwa ,inaomba misaada, sembuse kanisa? Au taasisi ya dini??

Wewe nyumbani kwako au Mamako au ndugu zako vijijini mmejitosheleza kila kitu??

Ficha ujinga wako 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom