Amebana ameachiaKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
WAPIGA RAMLI WA NCHI HII MNAZIDI KUONGEZEKA HIVYO VYOMBO VYENU VINAWADANGANYAKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Kwani mawazori hao wamekosea wapiii, Hadi watoleweeeNchi ya drama zisizoisha
Majizi yanatolewa hapa yanapelekwa pale.
Nchi inq uhaba wa viongozi inabidi tuimport viongozi
Duh!!!Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
mandondo ni marehemu kwa sasa ,wamebak matapel tu pale kwakeTanga kwa Mandondo
Mtu hawezi kuogopa makaratasi,katiba mpya ni makaratasi tu.Tatizo sio kubadilisha watu tatizo ni kudeal na mfumo
Hizi nguvu angezitumia kuboresha Sheria na kuleta latina mpya
Watanzania ni wale wale tu wote weziwezi na wajanja wajanja!!
Makamba kuenguliwa ni kwa maslahi ya taifa. Sidhani kama Mbarawa anatakiwa aenguliwa. Ila akibaki Mwigulu Nchemba kwenye serikali MAMA atakuwa hajatutendea haki waTZ.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Duh...!.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Tunajiuliza ni Kwa Nini watu ni wale wale kila kukicha.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Umetumwa na Makamba na Mbalawa ili uwatetee na kuwanusuru.
Mabadiliko hayasaidii. Mtu akishaiba mabilioni ya walipa kodi, na kubadirishwa bila ya kushughulikiwa na akaondoka na fedha za watanzania, haina maana wala haisaidii kuogopesha wengine walioko madarakani. Yeyote atakayechaguliwa kuiSHIKS nafasi hiyo, hatakuwa na woga wa kuiba na kubanduka na mabilioni ya watanzania. Tanzania ni tajiri, shida YULIO NAYO, hatuna uongozi bora Wa kuweza kupambana na wizi. MANENO MATUPU BILA VITENDO. KUSEMA UKWELI BILA KUMUNGUNYA MANENO, UONGOZI WA SAMIA UMEKUWA DHAHIFU SANA KUPAMBANA NA WIZI NA RUSHWA.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
THE UNTOUCHABLE MAJANGIRI WALIO ITEKA NCHI. WANAKULA ZAIDI YA KAMBA ZAWO. MATOKEO NI KODI NA TOZO KWA WATANZANIA WALIO WENGI.
Kuna mtu kasema kwa hasira eti aende akasimamie timu na mabasi yake, timu ni yanga au SBS? Mabasi sijaelewaMwigulu anabaki au anaondoka!?
Timu ni SBSKuna mtu kasema kwa hasira eti aende akasimamie timu na mabasi yake, timu ni yanga au SBS? Mabasi sijaelewa
Dah, hii 'nji'Bhwanaah!