Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Mtahiniwa Iptisum Suleiman Slim kutoka shule ya Msingi Chalinze Modern Islamic amesema wakati akifanya mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) Oktoba 5-6, 2022 alipangiwa namba 40 lakini jina lake lilikuwa namba 39 kwenye katarasi ya kusaini.
Anasema alifanya mitihani 5 kwa namba 40 lakini mtihani wa 6 msimamizi akamwambia arudi kwenye namba yake ambayo ni 39, alipohoji kuhusu mabadiliko hayo Msimamizi alimjibu watalifikisha suala lake Baraza la Mitihani (NECTA).
Leo Oktoba 14, 2022 Baraza la Mitihani (NECTA) limetoa taarifa ya kupokea malalamiko ya mwanafunzi huyo na kueleza kuwa linafanyia kazi suala hilo kuhakikisha anapata haki yake.
Anasema alifanya mitihani 5 kwa namba 40 lakini mtihani wa 6 msimamizi akamwambia arudi kwenye namba yake ambayo ni 39, alipohoji kuhusu mabadiliko hayo Msimamizi alimjibu watalifikisha suala lake Baraza la Mitihani (NECTA).
Leo Oktoba 14, 2022 Baraza la Mitihani (NECTA) limetoa taarifa ya kupokea malalamiko ya mwanafunzi huyo na kueleza kuwa linafanyia kazi suala hilo kuhakikisha anapata haki yake.