Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,017
- 5,462
Hii ilishatokea kwa mdogo wangu. Baada ya kukataa kutoa rushwa kwa mwalimu, alibadilishiwa namba akamfanyia aliyetoa rushwa.
Dogo langu alikuwa anaongoza darasa lakini matokeo waliofaulu ni wale mbumbumbu kabisa na yeye kapiga chini.
Nilikuja kujua muda umeenda sikuwa na jinsi ila iliniuma sana.
Nilimpeleka dogo private na sasa ni bosi sehemu.
Yuke mwalimu aliyefanya hivyo huwa na aibu sana akikutana na mimi au dogo maana tulimwambia live.
Japo kastaafu ila Mungu anamwadhibu
Dogo langu alikuwa anaongoza darasa lakini matokeo waliofaulu ni wale mbumbumbu kabisa na yeye kapiga chini.
Nilikuja kujua muda umeenda sikuwa na jinsi ila iliniuma sana.
Nilimpeleka dogo private na sasa ni bosi sehemu.
Yuke mwalimu aliyefanya hivyo huwa na aibu sana akikutana na mimi au dogo maana tulimwambia live.
Japo kastaafu ila Mungu anamwadhibu