Baraza la Mtihani (NECTA) kushughulikia suala la Mwanafunzi aliyebadilishiwa namba ya Mtihani

Baraza la Mtihani (NECTA) kushughulikia suala la Mwanafunzi aliyebadilishiwa namba ya Mtihani

Achana nae huyo.Anawakilisha kundi kubwa la wajinga wa nchi hii
Huyo mtoto angekuwa familia bora asingalifanyiwa dhuluma hiyo. Tena bora imetokea huku huku kwetu, hiyo skendo ingetokea shule za serikali sasa hivi hiyo shule ingekuwa magofu. Sasa aibu zimetukumba, hatuna pa kujisetiri.
 
Mtahiniwa Iptisum Suleiman Slim kutoka shule ya Msingi Chalinze Modern Islamic amesema wakati akifanya mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) Oktoba 5-6, 2022 alipangiwa namba 40 lakini jina lake lilikuwa namba 39 kwenye katarasi ya kusaini.

Anasema alifanya mitihani 5 kwa namba 40 lakini mtihani wa 6 msimamizi akamwambia arudi kwenye namba yake ambayo ni 39, alipohoji kuhusu mabadiliko hayo Msimamizi alimjibu watalifikisha suala lake Baraza la Mitihani (NECTA).

Leo Oktoba 14, 2022 Baraza la Mitihani (NECTA) limetoa taarifa ya kupokea malalamiko ya mwanafunzi huyo na kueleza kuwa linafanyia kazi suala hilo kuhakikisha anapata haki yake.

View attachment 2386751
Binti MUNGU WA MBINGUNI awe upande wako daima
 
Hii issue inazunguka kwenye mitandao. Mitihani yote watumie namba ya mtihani na picha kuondoa hii kitu. Yawezekana kabisa kuna watu wanawafanyia watoto wengine. Kama huyu mtoto kabadilishiwa namba ni kweli inaumiza sana
Picha zipo
 
Back
Top Bottom