Bariadi: Wanafunzi wavunja masomo na kuzuia Msafara wa Mbowe, wampigia Saluti

Chama cha kitapeli lakini ndiyo kimekupa ajira ya uchawa CCM, unadhani bila Chadema Ccm wangekuoa hiyo ajira ya uchawa?
Duh umegonga mule mule

Bila Chadema Lucas si chochote wala si lolote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shukran nyingi ziende kwa mama kwa kutufikisha hapa...🀣
 
Cheap popularity
 
Mwalimu Mkuu anapoteza nafasi yake
Bodi ya shule itavunjwa
Wazazi wa watoto watanyang'anywa NIDA zao
 
Hahaha yaani wametafuta watoto toka moshi uchagani wakawasafirisha mpaka bariadi, ila hiki chama mfu hakika mungu anawaona. Mnakuwa waongo hivi. Halafu cheki watu wachacheee, angalieni nyomi ya cde CPA Makalla na cde Dr Nchimbi ni balaa
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…