TANZIA Bariega amefariki dunia

TANZIA Bariega amefariki dunia

kuna wakati hawapaswi kusubiliwa kuiba, wakishapewa onyo kwa maandishi kupitia kamati ya ulinzi na usalama juu ya nyendo zao, kifupi wakiendelea kushupaza shingo, basi hukumu ya kukatisha maisha yao itoke mara moja na vijana wakazi wafanye kazi yao ili jamii ibaki salama na kufurahia maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uongo nisiseme matukio yake? Kwani mashoga ndo halali kufanyiwa matukio ya ujambazi? Lazima ukweli tuuseme kwa yale aliyo yafanya wakati wa uhai wake.

Majambazi wengi hawa vibaka konkii wa uswahilini, wanapenda sana kuwarubuni gays hasa waarabu na wahindi koko wanajua wana vitu vya thaman. Wao wanajifanya mabasha ili wawapate kirahisi, wamepora na kujeruhi sana gays.

Huyo alimpora bottom wa kiarabu, iphone 13 pro, wallet yenye pesa, SAA, cheni, had sandols, mtoto wa watu alitembea peku, hiyo yote kuogopa kuuliwa maana alimbonda kwani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ni vile gays hawana Pa kusemea. Na hawa majambazi na vibaka wanawapenda kweli si wanajua hakna kwa kushitaki.

Bora lilivyokufa, likampumzike sasa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashindwa kuelewa unaposema neno jambazi...nafikiri unampa sifa sio zake
 
Kamati za ulinzi na usalama mitaani zinaweza kutoa ajira na kukuza vijana kuwa walinzi wa Taifa lao, hata ajira ya vitengo nyeti kwa graduates inaweza kuanzia hapo kwenye kamati za ulinzi na usalama za mitaa.... watu mitaani hawawezi kuishi kwa kusumbuliwa na mabishoo hawa wasiopenda kufanya kazi.
 
Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.

Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.

[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
Wewe hukupitiwa naye?
 
Tatizo kubwa la Dar hivi vitoto tunavifuga wenyewe, wala hakuna sababu nyingine na tusiwalaumu Polisi.

Tuko nao mitaani na tunawajuwa na hatuchukui hatua stahiki kukomesha tabia hizi.
kuna wakati inapaswa kumalizana navyo faster kwa kuviwahisha mawinguni.
Enzi za komando yosso dar, watu walipochoka walianza kumalizana nao tu kimtaa mtaa mchana mchana.
 
Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
Nakumbuka huo msala na aliebakwa alikua mmaza anaefanya kazi UN.
 
Back
Top Bottom