Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Sasa basi jambo la msingi ni kufuta chama na kila mtu akafanye biashara yake

Chadema kuwa nje ya platform ya kuongea kwa miaka mitano ujui 2025 itakuwa ni kazi kubwa sana kishawishi watu?

But pia nikuulize swali je ni lini uchaguzi wa Tanzania ulikuwa huru na haki? Mbona hakuna chaguzi ambayo mligomea?

Tuache mfumo dume na ubinafsi wa kijinga
Kudai haki kunatoka moyoni, si katika vyama. Hata kikifutika watu wanachodai ni haki.
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Kwa nini Watanzania mnapenda kukaririshwa maneno ambayo hayana mantiki yoyote? Ona sasa tunachofanya hiyo kauli tangu aitoe Mh. Job ndio imebebwa hivyo hivyo bila kufikiri athari na sababu ya CHADEMA kuchelewa kupeleka majina. Tukumbuke pia Mh. Job alitukaririsha kuwa Mh. Lissu kipindi yupo matibabu Ulaya eti anazurura ashitakiwe kwa uzururaji na Watanzania kwa kukosa weledi na utu tukayabeba maneno yale na haya pia kama yalivyo. Watanzania tuna tatizo gani juu ya uwezo wetu wa kufukiri hasa masuala yanayowahusu wapinzani?
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Nenda wewe badala yake,yeye hayuko tayari kushiriki haramu
 
Yeah kabisa
Hapo wanaweka ugumu kwa sababu wao hawapo kwenye hiyo fulsa

Ni aibu sana kuwa na chama chenye mfumo dume

Myika na yule mzee wa kufuga madevu please acheni hizo mambo za kuweka ugumu kwenye mambo hayo

Kama vipi basi mkifute kabisa chama ili tujue kweli mmesusa
Agenda yetu si viti maalum, huko tushatoka. Sasa agenda ni kuwaadhibu walioharibu uchaguzi. Mwizi achomwe moto, jambazi auawe.
 
Kwann Watanzania mnapenda kukaririshwa maneno ambayo hayana mantiki yoyote? Onasasa tunachofanya hiyo kauli tangu aitoe mh. Job ndio imebebwa hivyo hivyo bila kufikiri athari na sababu ya chadema kuchelewa kupeleka majina. Tukumbuke pia mh. Job alitukaririsha kuwa mh. Lissu kipindi yupo matubabu Ulaya eti anazurura ashitakiwe kwa uzururaji na Watanzania kwa kukosa weledi na utu tukayabeba maneno yale na haya pia kama yalivyo. Watanzania tunatatizo gani juu ya uwezo wetu wa kufukiri hasa masuala yanayowahusu wapinzani?

Wengi mnaamini kuwa kuna ela za wahisani hazitokuja bcoz ya upinzani kuwa haupo

Kwanza mnatakiwa kujua bunge litabadilisha kanuni na mambo yataendelea

Pili hizo pesa kama hazitokuja je anakomolewa nani?

Hata familia yako itaumia sasa utapata faida gani?
 
Unawashwa wewe
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
 
Agenda yetu si viti maalum, huko tushatoka. Sasa agenda ni kuwaadhibu walioharibu uchaguzi. Mwizi achomwe moto, jambazi auawe.

Wakati ww umekaa kwenu na mke wako hapo hahahaah

Mbona ujaenda road siku maandamano yameitwa?

Unaamini lisu anaweza kufanya kitu kwa niaba yako? Anza ww basi kulipa fee ya ICC tuone kama utaweza
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Mpaka leo tunavyoongea hakuna matokeo rasimi ya kila kituo, kata na Jimbo
Huenda chadema walioshinda uraisi na ubunge kwa wingi, Sasa wabunge19 Ni utopolo tu
Ngoja tuone matunda ya ubabe wa kishamba
 
Wakati ww umekaa kwenu na mke wako hapo hahahaah

Mbona ujaenda road siku maandamano yameitwa?

Unaamini lisu anaweza kufanya kitu kwa niaba yako? Anza ww basi kulipa fee ya ICC tuone kama utaweza

Kama tunaambiwa Yesu ni mwana wa Mungu aliuliwa na wanadamu ili awakomboe wanadamu, ni kwanini watu au Mungu hawakumpambania asiuliwe? Sii lazima kuandamana hapo kwa hapo, kilichofanyika ni kupanda mbegu ya kuja kuandamana, na kwa mwenendo huu ni lazima maandamano yatatokea tu, kwani hakuna mwenye imani tena ya box la kura. Na kwa taarifa yako, kilichotokea juzi ndio kimefikisha tamati ya watu kujitokeza tena kupiga kura, hivyo kwa vyovyote maandamano tu ndio yatawatoa ccm madarakani, na ninatabiri kutatokea umwagaji mkubwa wa damu, take it from me.
 
Hiyo kauli yako kuwa "haendi mtu" itunze vizuri mkuu. Unaongea as if wewe ni Mbowe, mara wameenda[emoji3][emoji3] aibu kwako sijui utasema nini.

Pitia uzi wangu vizuri, nimesema hata ikitokea wakaenda basi wajue watakuwa wameachana na matakwa ya wapiga kura wao, kuanzia hapo watagemee kura za vyombo vya dola kama ccm wafanyavyo.
 
Wengi mnaamini kuwa kuna ela za wahisani hazitokuja bcoz ya upinzani kuwa haupo

Kwanza mnatakiwa kujua bunge litabadilisha kanuni na mambo yataendelea

Pili hizo pesa kama hazitokuja je anakomolewa nani?

Hata familia yako itaumia sasa utapata faida gani?
Chanzo cha kufikia tukaingia kwenye hii dhahama ni nani? Wataalamu wanesema ukitaka kutibu tatizo lazima ujue chanzo cha tatizo ndipo ulipatie tiba tatizo lililopo. Kuna mambo yanafanywa tena waziwazi kisa kukikomoa chadema kwa kufanya hivo mlikuwa hamjui mnawahujumu wananchi nq Taifa kwa ujumla ? Hao wapinzania ni wazungu na sio Watanzania wenzetu?
 
Kama tunaambiwa Yesu ni mwana wa Mungu aliuliwa na wanadamu ili awakomboe wanadamu, ni kwanini watu au Mungu hawakumpambania asiuliwe? Sii lazima kuandamana hapo kwa hapo, kilichofanyika ni kupanda mbegu ya kuja kuandamana, na kwa mwenendo huu ni lazima maandamano yatatokea tu, kwani hakuna mwenye imani tena ya box la kura. Na kwa taarifa yako, kilichotokea juzi ndio kimefikisha tamati ya watu kujitokeza tena kupiga kura, hivyo kwa vyovyote maandamano tu ndio yatawatoa ccm madarakani, na ninatabiri kutatokea umwagaji mkubwa wa damu, take it from me.

Mfano hai maandamano ya juzi ni nani alikwenda kwenye familia yenu alikwenda ?
 
Mfano hai maandamano ya juzi ni nani alikwenda kwenye familia yenu alikwenda ?

Ukipanda mbegu sio lazima uvune jioni yake, hiyo kuhamasisha maandamano ni mbegu imeshapandwa, huenda mavuno yasingetokea juzi, lakini ni lazima yatatokea, hasa ukizingatia juzi ndio tumefunga rasmi ushiriki wa box la kura maana ni kupoteza muda, wakati tayari government machinery zina matokeo yao.
 
Dada halima najua uko poa kabisa

Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao

Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum

Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwasababu ya ubinafsi wao tu... hii fulsa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time

Ww ndio kiongozi wa wanawake chadema please acha kusikiliza hao wabinafsi... peleka majina ya wakina mama wenzako ili mkateteee chama

Miaka yote chadema huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa

Najua unachangamoto sana juu ya swala hili but be strong and peleka majina tume.... mwanaume ambae anakwambia umsiende bungeni then mwambie avae sket aende yeye
Chadema wanazuia maendeleo hawatakiwi bungeni
 
Akili kama za Ndugai hizi. Unajua kuwa kama kura zingeheshimiwa pengine ushindi wa Chadema ungesababisha ipate viti maalumu sio chini ya 80?
Sasa kwa nini hao 19 wakubali wakati wenzao zaidi ya 60 wamezulumiwa?
Kukubali jambo hilo sio ujinga ulio vuka mipaka?
Na jee unadhani hao 19 wanalazimishwa waende kwa manufaa ya demokrasia na Chadema au kwa manufaa ya ccm kutambulika ina bunge LA vyama vingi?
Mkuu acha kumpotosha Dada Halima, ubunge ndo kazi yake, mwache akafanye kazi yake ya ubunge. Wewe kama ulishashindwa usimshauri mwenzako kufanya maamuzi mabovu ili mshindwe wote.
 
Back
Top Bottom