Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu


Naona umetumwa wewe...... Pumbaf....!!
CCM mtaweweseka Sana Uchaguzi wa mwaka huu! Toto Tundu amewashika pabaya...!!! Na bado mpaka Jiwe aje ayaite maji 'mma'!
 

Ukijitambua na wewe utaandika kitabu chako ukijutia ulioyafanya
 
Sema yote lakini uadilifu wa Rais Magufuli sio wa kutiliwa shaka hata kidogo.
Ana makando kando kibao including kuwa mshukiww wa kwanz wa wasiojilikana. Ni mtu wa kutilia shaka ktk kila angle ya uhalifu tangu ashike madaraka.
 
Kama ni hivo basi tulia
 
Vyombo vya habari vinamuonyesha yeye tu huoni jambo hilo halipendezi?japo ndio linazidi kuwapa credit wa upande wa pili na ujue watu wengi wana hamu zaidi ya kuwasikiliza wale waliokua kimya kwa miaka mitano iliyoita
Nimeongelea suala la kuhatarisha amani ya nchi na kupelekea machafuko
 
Unaona kibanzi cha Lissu pasi na kuona li boritiii kuubwa upande unaoutetea.
 
Hajatishia usalama wa taifa letu hata mara moja
Rubbish
Peleka nakala hata mbinguni na ahera
Lissu anawanyima usingizi
Usitutishe buaana
Tz yetu sote
Kelele za mpangaji malizia......
Usalama wa Taifa my....
 
umeandika utopolo na utaona wanautopolo wanzako wanakuunga mkono
 
Wewe kachume chai haya unayosemea yako juu ya uwezo wako wa utambuzi, vinega kama wewe ni wa kupuuzwa tu.
 
Vyombo vya habari vinamuonyesha yeye tu huoni jambo hilo halipendezi?japo ndio linazidi kuwapa credit wa upande wa pili na ujue watu wengi wana hamu zaidi ya kuwasikiliza wale waliokua kimya kwa miaka mitano iliyoita
Sawa. Chombo cha habari cha umma ni TBC ambao mliwafukuza na kuwahatarishia maisha. Nashukuru kuwa Sasa mmepatanishwa.

Kuhusu vyombo vingine binafsi, nyie pambaneni muoneshwe. Hilo la vyombo binafsi ni lenu, lipo ndani ya uwezo wenu.

Ila pia ukweli utabaki kuwa ukweli, CHADEMA mwaka huu hamkujipanga vizuri kwenye eneo hilo. Jifunzeni kwa ACT-Wazalendo
 
Rubbish
Peleka nakala hata mbinguni na ahera
Lissu anawanyima usingizi
Usitutishe buaana
Tz yetu sote
Kelele za mpangaji malizia......
Usalama wa Taifa my....
Paukwa mwenzake pakawa
 
Maneno anayotamka yako wazi. Huyu jamaa amejipanga kumwaga damu

Kwa hiyo ulitaka asemeje, kwa mfano, kama kutakuwa na uthibitisho kuwa ‘jecha’ amefanya uchakachuaji tena! Watu washangilie na kusifu? Kwamba Magu ashinde kwa hila halafu tushangilie!
Amka! Watanzania wa leo si ‘wadanganyika’!
 
Lissu ndie atakayemwaga damu? Kivipi ebu tufafanulie maana nyie uvccm mnapoint cheap sana

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Amesema ataingiza watu barabarani ilihali akijua fika njia hiyo ni njia mbaya. Akiona ameonewa, zipo njia za kufuata. Kama vipi anione, nitamshauri bureee email
 
Sasa hivi ni kipindi cha kampeni, haivumiliki kuongea uongo ambao unaweza kuleta madhara makubwa kwenye umoja, amani na mshikamano wetu Kama taifa.

Tindu Antipas Lissu akataliweeeeeee

Kuna mtu anazingumza uongo kama hilo ‘jiwe’ lenu! We hewa sana aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…