Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Acha uongo basi.
Jimbo la Tanga mjini, Arusha mjini, Kibamba, Ubungo, Mbeya mjini n.k yalikuja chini ya upinzani na yamepelekewa Maendeleo. So piga kimya mzee baba.
kwa hiyo unapingana na jiwe siyo? wewe humsikii kila akihutubia maeneo waliochagua wapinzani anawatishia (asijue hakuna wa kumtisha hapa) waz waz kuwa hakupeleka maendeleo sababu walichagua wapinzani?
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Maelezo yako yamejaa chuki kwanza hakusema atangazwe hata kama hakushinda lakini ww badala ya kupeleka kilio chako tume uwaambie watende haki unamlaumu mtu na hujaona wapinzani walivyoenguliwa kiujanja ktk ubunge na udiwani hayo hulalamiki
 
Hapa
Hapati kitu tanzania hapa, na atakae enda barabarani ajipange kuishi mapolini kama nyumbu na sio mapoli ya tanzaia kwa sababu nyumbu wetu wa Serengeti ni wastaarabu, sema ahawatumii akiri wanapo vuka MTO.
Ngoja tuwafurushe ikulu ili tuone mtajifichaje mafisadi nyie
 
kwa hiyo unapingana na jiwe siyo? wewe humsikii kila akihutubia maeneo waliochagua wapinzani anawatishia (asijue hakuna wa kumtisha hapa) waz waz kuwa hakupeleka maendeleo sababu walichagua wapinzani?
Anajikuna kalio huyo achana nae
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Nakula Jeshi la akiba
Mkurugenzi mkuu TISS
Wasiojulikana popote walipojificha
Makonda
 
Sio kuwa atashinda, hata sasa anashinda sana na njaa. Hilo sio jema kwa afya yake. Ushindi wa kura huo atasubiri Sana. Watanzania wanamrudisha, jembe na mzalendo #1 Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ili aendeleze mambo makubwa aliyoyafanya na akamilishe ndoto za watangulizi wake.
Nakushauri tu ungetumia mda huu kumwambia magufuli wako aache kuongea kilugha kwenye kampeni na kuvunja sheria za uchaguzi. Lissu hamumuwezi na hamtomuweza! Na jiandae tu, Lissu ndo Raisi wako 2020 - 2025
 
Nakushauri tu ungetumia mda huu kumwambia magufuli wako aache kuongea kilugha kwenye kampeni na kuvunja sheria za uchaguzi. Lissu hamumuwezi na hamtomuweza! Na jiandae tu, Lissu ndo Raisi wako 2020 - 2025
Unaota na ili uote shurti ulale usingizi.
#silipu welu en taiti dirimzi
 
Maelezo yako yamejaa chuki kwanza hakusema atangazwe hata kama hakushinda lakini ww badala ya kupeleka kilio chako tume uwaambie watende haki unamlaumu mtu na hujaona wapinzani walivyoenguliwa kiujanja ktk ubunge na udiwani hayo hulalamiki
Sheria ni msumeno. Hao wagombea wamechemka Ila tume ndio itatoa majibu sahihi

Kama ni kuenguliwa kijanja wangeenguoiwa akina Sugu, Mdee bna Lena. Tumia kichwa kufikiri
 
kwa hiyo unapingana na jiwe siyo? wewe humsikii kila akihutubia maeneo waliochagua wapinzani anawatishia (asijue hakuna wa kumtisha hapa) waz waz kuwa hakupeleka maendeleo sababu walichagua wapinzani?
Kama hutishiki shida iko wapi?
 
Awali nilijua una shida ila sio kubwa kama nilivyofikiri. Wewe una ubavu wa kushauri nini matokeo ya urais yakishatangazwa wakati katiba yenyewe inasema hata mahakama haiwezi kutengua matokeo ya urais?
Kwahiyo we unatakaje Kama hutaki amani?
 
Tukusikilize wewe au mwenyekiti wa chama anaetoa vitisho kwa wapiga kura kwenye kampeni ikiwa hawatachagua ccm watajuta na maendeleo watayasikia tu? Unataka ushahidi gani tena?
Nimeshalitolea ufafanuzi mzuri tuu Jambo hili
 
Back
Top Bottom