Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Nimeongelea suala la kuhatarisha amani ya nchi na kupelekea machafuko
Machafuko yataletwa na ccm chama cha mauaji, Lissu anawataarifu wananchi maovu ya ccm na rais wao ili wajue, wakimuelewa watampa kura, ccm haitaki watu wasiojua wajue maujinga yake, kwa hiyo hakuna namna Lissu anaweza kuleta machafuko, jaribu kutumia akili hata kidogo
 
Nimeshalitolea ufafanuzi mzuri tuu Jambo hili

Hauna, narudia tena hauna uwezo huo wa kuturafsiria kitu kinachosemwa na mtu mwingine na wewe utufafanulie tukubali kwa mtazamo unaoutaka wewe.

Na yale maneno aliyoyasema kuhusu Bwege kule jimboni kwake napo unatolea ufafanuzi gani?
Naona unataka kujipachoka mamlaka ya ufafanuzi.
 
Mimi nilifikiri yupo neutral. Angeandika na ubaguzi wa mgombea wao kuwatisha wananchi kutopeleka maendeleo walikopita upinzani

Magufuli ni mbambaishaji na hajui kufanya Kampeni !
Jiwe limeanzia Kanda ya Ziwa KUTHIBITISHA UBAGUZI NA UPENDELEO WAKE!! Magufuli anahubiri UKABILA KWA KUTUMIA KISUKUMA Kama lugha ya mawasiliano!!!!
Kuna kipindi Jiwe aliwahi sema WATU WA MWANZA WASIVUNJIWE NYUMBA ZAO MAANA WALIMPIGIA KURA.....! Lakini hapohapo akiendelea KUVUNJA NYUMBA ZA WATZ WALOKO DAR KWA VILE CCM WALISHINDWA VIBAYA UCHAGI WA 2015.
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
Ongezea na yule aliyesema mkichagua upinzani sileti maendeleo kama vile hela inatoka mfukoni mwa mtu wakati ni kodi zetu na ushajiingiz kwenye vyama vingi hili haliepukiki ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakauwa mchawi acha unafiki kuna maisha baada ya uchaguzi .
 
Hauna, narudia tena hauna uwezo huo wa kuturafsiria kitu kinachosemwa na mtu mwingine na wewe utufafanulie tukubali kwa mtazamo unaoutaka wewe.

Na yale maneno aliyoyasema kuhusu Bwege kule jimboni kwake napo unatolea ufafanuzi gani?
Naona unataka kujipachoka mamlaka ya ufafanuzi.
Weka video ya Bwege nikufafanulie. Mwenzako nimeshamfafanulia ametulia kimyaaaa, ameelewa yani
 
Weka video ya Bwege nikufafanulie. Mwenzako nimeshamfafanulia ametulia kimyaaaa, ameelewa yani

Wewe haukusikia rais aliyoyasema wakati anatoka kwenye mazishi ya Mkapa? Mbona unataka kujitoa ufaham? Utafafanua mambo mangapi yanayoropokwa wakati huu?

Wewe umeweka video ya TAL kwenye bandiko lako au umeamua kuja kushambulia tu.
 
Hauna, narudia tena hauna uwezo huo wa kuturafsiria kitu kinachosemwa na mtu mwingine na wewe utufafanulie tukubali kwa mtazamo unaoutaka wewe.

Na yale maneno aliyoyasema kuhusu Bwege kule jimboni kwake napo unatolea ufafanuzi gani?
Naona unataka kujipachoka mamlaka ya ufafanuzi.
Rais Magufuli aliwaambia tuu Ukweli kuwa
Wamekosea kuchagua
Stand iko ndani ya uwezo wa mbunge na madiwani
Magufuli akawaambia Hana uwezo wa kumuwajibisha Bwegw Kama atamtima nakukataa lakini Kama angekuwa CCM angeweza hata kumfukuza
Mwisho akawaambia huu ni mwaka wa uchaguzi, Kilwa wasifanye tena makosa

Itakuwa ni ubwege wao kuchagua bwege
 
Rais Magufuli aliwaambia ruu Ukweli kuwa
Wamekosea kuchagua
Stand iko ndani ya uwezo wa mbunge na madiwani
Magufuli akawaambia Hana uwezo wa kumuwajibisha Bwegw Kama atamtima nakukataa lakini Kama angekuwa CCM angeweza hata kumfukuza
Mwisho akawaambia huu ni mwaka wa uchaguzi, Kilwa wasifanye tena makosa

Itakuwa ni ubwege wao kuchagua bwege

Bora umedhihirisha uwezo wako nisiendelee kupoteza muda na nguvu zangu kujadili na wewe.
 
Ndugu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),

Ninachukua fursa hii kukupongeza wewe na timu yako kwa kazi ngumu mnayoifanya. Mnafanya kazi zenu kwa weledi na kwa mujibu wa sheria. Hongereni sana.

Kama inavyofahamika, nchi yetu hufanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kila baada ya Miaka mitano. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ambayo ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.

Ndugu mwenyekiti, mwaka huu, 2020 Tanzania itafanya Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Tayari kampeni za uchaguzi zimeanza kote nchini huku vyama mbalimbali vikizunguka kunadi ilani zao za uchaguzi.

Itakumbukwa kuwa lengo la kampeni hizo Ni kunadi sera za chama husika ili wananchi waweze kufanya maamuzi sahihi siku ya kupiga kura. Kampeni hizi zinatawaliwa na kanuni, sheria na taratibu pamoja na utamaduni wetu Kama watanzania. Hivyo, haitarajiwi kampeni hizi kutumika Kama sehemu ya kuwagawa Watanzania.

Hivi karibuni tumeshuhudia vitendo kadhaa vya uvunjifu wa amani ambavyo mara zote hufanywa na chama kimoja tuu, CHADEMA. Kabla ya kuanza kampeni, tulimsikia Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CHADEMA akiweka wazi kuwa atawaingiza watanzania barabarani Kama hatatangazwa mshindi. Tuliahihudia waandishi wa TBC wakifukuzwa kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale mbagala kwenye viwanja vya zakhiem.

Tundu Lissu akiwa jijini Mbeya aliendeleza mashambulizi kwa viongozi wa nchi kuwa itawaka Moto usiozimika. Huku akijua kabisa analengo gani, anaweza hoja za kuwa atadhuriwa huku akijenga hoja "kijanja" na kuwatumbukiza viongozi wa nchi ili wananchi wakoae imani na viongozi hao.

Kubwa kuliko Ni kauli yake aliyoyafanya Zanzibar akisema Hayati mzee Karume alilazimishwa kusaini makubaliano ya Muungano kinyume na mapenzi yake. Aliunda mbali zaidi kuwaambia ndugu zetu wazanzibar wanachaguliwa viongozi wao na Tanganyika huku akijua fika kuwa vikao hufanyika Dodoma kwasababu ndio makao makuu ya chama cha Mapinduzi.

Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani.

Ninaomba nikiwa Kama mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu kuwa Mheshimiwa Lissu aonywe na aelekezwe kujikita kwenye kueneza sera za chama chake. Ni muhimu Mheshimiwa Lissu akumbushwe kuwa Kuna maisha baada ya Uchaguzi. Mimi na yeye tunaweza tusiwepo, Ila watanzania amvao Ni ndugu, rafiki na watoto wetu wayendelea kuwepo. Hawa wanastahili kesho bora zaidi.

Ni vema Mheshimiwa Lissu akakumbushwa kuwa viongozi wa kisiasa Kama yeye ni watu wenye ushawishi kwa wafuasi wao na kuwa maneno yao yanaweza kuleta Faraja au huzuni, kilio au furaha, upendo au chuki, umoja au utengano zaidi sana kifo au maisha.

Amani Msumari
Tanga

Nakala:
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania
Katibu Mkuu - CHADEMA
Katibu Mkuu - CCM
kwa hiyo amani ishavunjika tayari au tusubirie?
 
Siwapangii wananchi na wewe usiwapangie. Tuwaachie waamue.
#wananchinisisi
Kama ndivyo, hili bandiko lako lilikuwa na maana gani Basi? Huoni Kama unawalazimisha hao uliwaadress kutimiza maagizo waliyopewa kutoka juu huku wakijificha nyuma ya migongo ya wananchi? Acha usnitch na kujipendekeza kwenye vyombo vya dola!
 
Asante kwa ushauri Ila nadhani unajua kuwa ushauri unapokelewa au unakataliwa
Huna ushauri unaweza kupokea wewe endea kulamba viatu vya watawala wakikwamba wananunua ndege wakiwa chumbani unajua % 10 ya ndege moja?
 
Kauli hizi anazitoa sio kwa bahati mbaya kwani Mheshimiwa Lissu ni wakili msomi mwenye weledi mkubwa wa masuala ya kisheria. Anafanya hivi kwa makusudi akitumia utaalamu wake wa kisheria kuwashawishi watanzania kuamini uongo ambao unaweza kupelekea uvunjifu wa amani`] Ndugu yangu na wewe unatumia nini kusawishi tume au wasomaji wamuone Lisu anakosea? Kinyume na sifa ulizosema za mkosaji wako!!
Nadhani tunaanza kuelewana
 
Back
Top Bottom