BASATA waweka wazi Nominations za Tanzania Music Awards. Ali Kiba Aongoza

BASATA waweka wazi Nominations za Tanzania Music Awards. Ali Kiba Aongoza

Kama msanii, lazima pia kujisajili basata, wengine wanafanya mziki Ila hawajasajiliwa basata, ndomana kwenye list wengine wametemwa, na kuna michango hawatoi au hata kwenda kwenye vikao hawaendi, na super wetu kasema hatak tuzo zao, wakat alipewaga hizo tuzo, matokeo kawaharibia wenzake kina zuchu, na Ray.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Vip kuhusu Wizkid, Burna boy, Sauti sol na wengine walio wekwa kwenye hizo tuzo kutoka nje ya nchi wamejisali Basata? hiz tuzo hazieleweki tuu
 
Mimi sio mtaalamu sana wa muziki.. nimeona AliKiba ametajwa kwenye orodha za mtunzi bora, album bora, Tuzo ya Afrika Mashariki, msanii anayefutiliwa sana mitandaoni, Mtumbuizaji bora,video bora, halafu kwenye tuzo ya msanii bora wa kiume hayupo? Inakuwaje? https://t.co/pUWPPhlhaP
Inashangaza, Ben pol yupo ila kiba hayupo, basata wamechemka
 
Vip kuhusu Wizkid, Burna boy, Sauti sol na wengine walio wekwa kwenye hizo tuzo kutoka nje ya nchi wamejisali Basata? hiz tuzo hazieleweki tuu
Ushasema wa nje, kwani wakwetu anavyoshiliki gram anaendaga kwenye vikao au kajiunga na cosota au basata za kule? Mi naongelea wa ndani ya nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli basata wanatakiwa kuwa weredi Sana kwenye hili, tatizo ya Tuzo kuandaliwa na serikal Huwa kuna kuwa na biased. Muda mwingne siasa zinaingia. Basata wangeacha hiz Tuzo ziandaliwe na wadau mbalimbali.

Leo Hii wasanii wakubwa Kama diamond, ney wa mitego, na wengine wengi hawapo na wapo main stream sana

Kingne kibongo bongo hizo Tuzo wangeziitaa tu bongo Flava music award. Coz Ndo wasanii wengi wametawala.Muziki wa aina nyingne umeguswa Kwa bahati mbaya tu.
 
BEST MALE MUSICIAN OF THE YEAR

HARMONIZE

PROFESSOR J

JUX

BEN PAUL

YOUNG LUNYA



ila mambo mengine ni ya ajabu kweli. yan eti msanii bora wa kiume wa mwaka, list ndio hii. halafu ukiona kwenye orodha hapo Ali Kiba ametawala karibu kila category, ila cha ajabu kwenye msanii bora wa mwaka yupo Ben paul ambeye mwaka 2021 sina hakika kama alitoa wimbo hata mmoja . na kama alitoa labda mmoja nao ujue haukufanya vizuri.


kwa mantiki hiyo ni halali Diamond alizikataa hizi tuzo. tusimuone labda ana majivuno, ila alishaona kuwa zipo kimichongo sana.
 
Wakisema watende haki.....
Hizo list zote zitajaa Alikiba tu, Mwamba 2021 ulikuwa ni mwaka wake. Alitoa kazi nyingi na zote zilipokelewa vyema.
Mfano, Ndombolo ilistahili kuwepo kwenye category karibu zote ila imetajwa sehemu moja tu.
Kwahiyo Ali Kiba atakuwepo hadi kwenye .....Female.....??
 
Vip kuhusu Wizkid, Burna boy, Sauti sol na wengine walio wekwa kwenye hizo tuzo kutoka nje ya nchi wamejisali Basata? hiz tuzo hazieleweki tuu
Romina:

Wao tayari kwao ni advantage wana fan base. Msanii pendwa kajitoa. Tuna changamoto ya kukosoa vya kwetu, kwenye tasnia hii hata kama BASATA wana makosa lazima tukubali hatua moja, bado ni hatua kubwa....
 
Wakuu habari za muda huu. Jana usiku BASATA waliweka wazi nominations za tuzo za Tanzania Music Awards kwa mwaka huu.

Vipengele ni vingi na wasanii pia ni wengi, walioongoza kwa nominations nyingi ni pamoja na Ali Kiba akifuatiwa na Professa Jay kisha Nandy na Harmonize.

Wasanii ambao watu walitarajia wawepo lakini hawapo ni pamoja na kundi zima la WCB, Jay Melody, Ibraah, Tommy Flavour, Mac Voice na wasanii wengine ambao mnaweza kuwaongeza hapo chini.

Makosa ni mengi kiukweli. Mathalan Professa Jay wanamuweka kwenye kipengele cha BEST MALE MUSICIAN PEOPLE'S CHOICE ON DIGITAL PLATFORMS lakini ukienda kuangalia hana maajabu yoyote kwenye streaming numbers maana huko Boomplay ana 3.5 million streams while mtu kama Darassa ana streams Millioni 13 huko Boomplay. Yaani kuna wasanii zaidi ya 60 wenye numbers zaidi ya Professa Jay na amewekwa kwenye category hii.

Pia bado sielewi kwanini albamu ya Stamina imeachwa kwenye kipengele cha albamu bora alafu wakaenda kuchukua ya Wakazi. Sisemi ya Wakazi ni mbaya, la hasha! Lakini ukiangalia albamu ya Stamina ilikuwa na impact kuliko ya albamu Wakazi ambayo most of you hata hamuijui meaning it had no any impact au influence kwenye uwanja wa Hiphop kwa mwaka 2021

Anyway nominations zenyewe (muhimu) ndio hizi hapa :

ALBUM OF THE YEAR

ONLY ONE KING - ALI KIBA

AIR WEUSI - WEUSI

HIGH SCHOOL - HARMONIZE

ONA - MARCO CHALI

LIVE AT SAUTI ZA BUSARA - WAKAZI

BEST VIDEO OF THE YEAR

I WISH -KUSSAH

SALUTE-ALI KIBA

UTANIAMBIA NINI-PROFESSOR J

MAPEPE-JUX

LISA - RAPCHA

BEST MUSIC COMPOSER

CHEGE

MAARIFA

STAMINA

ALIKIBA

MARIOO

BEST MUSIC LYRIST OF THE YEAR

ALIKIBA - UTU

MARIOO-MIAMOR

PROFFESSOR J-UTANIAMBIA NINI

RAPCHA-LISA

DARASA LOYALTY

BEST MUSIC VIDEO DIRECTOR OF THE YEAR

HANSCANA - NAANZAJE (DIAMOND PLATNUM)

TRAVELLAH - CHEKETUA (BARNABA FT ALI KIBA)

JOOZEY - MWENYE NYUMBA

NICKLASS - MADAM PRESIDENT (FRIDA AMANI)

DORECTORS - ZAI (MAUA SAMA)

BEST FEMALE MUSICIAN OF THE YEAR

FRIDA AMANI

NANDY

JOYCE S. MWAIKOFU

CHRISTINA SHUSHO

BEST MALE MUSICIAN OF THE YEAR

HARMONIZE

PROFESSOR J

JUX

BEN PAUL

YOUNG LUNYA

BEST UPCOMING FEMALE MUSICIAN OF THE YEAR

SARAPHINA

ABBY CHAMS

MARRY G

ZUHURA A. LWODYAH (Lolo Da Prince).

TRIXY TONIC

BEST UPCOMING MALE MUSICIAN OF THE YEAR

KUSSAH

KINATA MC

LODY MUSIC

RAPCHA

DAMIAN SOUL

BEST LOCAL COLLABORATION SONG OF THE YEAR

NDOMBOLO- KINGS MUSIC

SHIKILIA-PROFESSOR JAY

UNAUA VIBE - RAPCHA

LOYALTY- DARASA

LALA -JUX

BEST FEMALE MUSIC PERFORMER OF THE YEAR

MAUA SAMA

NANDY

SARAPHINA

SHILOLE

ANJELLA

BEST MALE MUSIC PERFORMER OF THE YEAR

HARMONIZE

ALIKIBA

SHOLO MWAMBA

DULLA MAKABILA

WHOZZU

BEST FEMALE MUSICIAN PEOPLE'S CHOICE ON DIGITAL PLATFORMS OF THE YEAR

NANDY

CHRISTINA SHUSHO

ROSA REE

MAUA SAMA

MARRY G

BEST MALE MUSICIAN PEOPLE'S CHOICE ON DIGITAL PLATFORMS OF THE YEAR HARMONIZE

MARIOO

ALI KIBA

JUX

PROFESSOR JAY

BEST MUSIC ARTIST FROM EAST AFRICA (BASED ON JUDGES' OPINION)

ALI KIBA

SAUTI SOL

ALFA

EDDY KENZO

SAUTI SOUL

NANDY

BEST MUSIC ARTIST FROM SOUTHERN AFRICA-(BASED ON JUDGES' OPINION)

SHO MADJOZ

FOCALISTIC

JEY ROX

DJ MAPHORISA

CASPER NYOVEST

BEST MUSIC ARTIST FROM WESTERN AFRICA (BASED ON JUDGES' OPINION) DAVIDO

BURNA BOY

WIZKID

TIWA SAVAGE

YEMI ALADE

BEST COLLABORATION SONG (AFRICA) OF THE YEAR

ATTITUDE - HARMONIZE ft. AWILLO LONGOMBA, H. BABA

MIAMOR-MARIOO ft. JOVIAL

LEO LEO-NANDY ft. KOFFI OLOMIDE

FREE YOUR MIND-JUX ft. BLAQ JERZEE

CHAWA -WHOZZU ft. RAYVAN, NTOSH GAZI

BEST MALE BONGO FLAVOR MUSICIAN OF THE YEAR

JUX

BEN PAUL

HARMONIZE

MARIOO

WHOZZU

BEST BONGO FLAVOR SONG OF THE YEAR

SAWA-JUX

BIA TAMU-MARIOO

TEACHER-HARMONIZE

ZAI-MAUA SAMA

NIMEKUZOEA-NANDY

BEST FEMALE BONGO FLAVOR MUSICIAN OF THE YEAR

NANDY

ROSA REE

ANJELLA

SARAPHINA

MARRY G

BEST FEMALE HIPHOP MUSICIAN OF THE YEAR

ZUHURA A. LWODYAH (Lolo Da Prince)

CHEMICAL

LISS LA MODE

ROSA REE

FRIDA AMANI

BEST MALE HIP HOP MUSICIAN OF THE YEAR

PROFESSOR J

YOUNG LUNYA

DARASA

RAPCHA

NEY WA MITEGO

BEST HIP HOP SONG OF THE YEAR

UTANIAMBIA NINI - PROFESSOR J SWAGG-JOH MAKINI

MBUZI-YOUNG LUNYA

MADAM PRESIDENT-FRIDA AMANI

LISA -RAPCHA
Tuzo za kiwaki
 
Back
Top Bottom