fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
kwa wakati huo alikuwa na nguvu za kujitutumua lakini baada ya kuishiwa nguvu kaona bora apotee tuReally, are you serious?
Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?
Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
Kwa hiyo hakukwepa mtego wa kuiingiza nchi kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, kwa sababu kashaiingiza nchi kwenye vita hiyo kwa miaka 13 iliyopita.kwa wakati huo alikuwa na nguvu za kujitutumua lakini baada ya kuishiwa nguvu kaona bora apotee tu
What about George Bush?.Maneno ya kujifariji tu hayo!
Baada ya watu wote hao kufa tokea 2011.
Baada ya matumizi ya silaha za kikemikali dhidi ya raia wake [2013 Ghouta chemical attack], leo baada ya kufurumishwa ndo unamsifia?
Assad should be tried for crimes against humanity.
SHEIKH HIZI PROPAGANDA WATU WAMESHAZISHTUKIA. TUNAPOTEZA MUDA.ASSAD KASHINDWA URUSI HAWAKUWA TAYARI MSADIA WAPO VITANI NAO. IRAN IMELEMAZWA NA ISRAEL, HIZBLULLAH NAO WAMELEMAZWA. PERIOD.KAKIMBIA NCHI. HE WAS JUST ALONE AND HELPLESS. HAYA MENGINE NI KUJITEKENYA WENYEWE NA KUCHEKA.Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Sijui kwanini kuna watu mipoyoyo imetanguliza hisia za kidini tena kwa dini ambayo karithishwa hata hajui ilianzaje anzaje zaidi ya kumezeshwa maneno.Mtu dhaifu siku zote hukimbilia kujificha kwenye dini au kabila alisema mwalimu Nyerere .nadhani hii mada imekuzidi uzito maana hakuna popote nimeongelea mambo ya dini Mimi ila nashangaa unaleta habari za wavaa kobazi . Nilitegemea umesoma unikosowe kwa hoja nilizotoa lakini ndio uwezo wako ulipoishia haya Kila la heri kijana.
Mnajua kuanguka na kuinuka.Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
umezaliwa 2024?Yes am Seriously. Matokeo ya jeshi kupigana na waasi katika hii vita ya siku 11 kumuondoa madarakani madhara yangekua ni makubwa sana. Ni busara imetumika kuachia madaraka bila umwagaji damu.
Kama ningekuwa na mamlaka ningekamata kobazi wote na kuwaweka sehemu moja kisha nawajengea madrasa kama zote. Maana elimu dunia hamtaki eti mnasubiri mabikra 72 na mito ya pombe na maziwa huku mkidai majini ni ndugu zenu 😂😂😂😂😂😂Punguzeni chuki nyie watangaza ushoga
Miaka 13 mingi,matukio yaliyotokea yanaweza badili fikra, assad hata pesa ya kuendesha serikali ilikua shida, imagine wanajeshi walikua wakilipwa $20 kwa mweziKama ni suala la busara na kuiepusha Syria na madhara makubwa, kwa nini Assad hakutumia busara hiyo mwaka 2011 na kuiepusha Syria na vita ya miaka 13?
Hujajibu swali hili.
Hata ya Putin Zelensky asingekua na wanajeshi imara wanaopigania nchi yao kizalendo ilikua kwishnei kipindi cha Wagner tuAngejidai kuwa king’ang’nizi na kupambana angeishia kama Muammar Gaddafi.
Hii ilikuwa “special operation” ya ukweli sio ile ya Putin inayosubiri kuhitimishwa na Trump.
Huo mbuyu sijui mtuung'oa vipi hao IRGC sio majeshi Assad hawarudi nyuma sheeuislamist umekumaliza ,Assad kakwama kituo kinachofata ni kwa ayatola
tayari RAIS wenu wa Iran kagoma kusaini sharia Kali dhidi ya mavazi ya wanawake ....hapo vipi jiandaeni wakeni suni wataanza kuvaa bikini mtaaniHuo mbuyu sijui mtuung'oa vipi hao IRGC sio majeshi Assad hawarudi nyuma shee
hakuna kitu kama hicho jeshinlilimkimbua lote maana hakuwa na fedha za kuwalipa,japo aliwaaga kwa kuwapa fedha kidogo na kuwaambia wasipiganeKwa hiyo hakukwepa mtego wa kuiingiza nchi kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, kwa sababu kashaiingiza nchi kwenye vita hiyo kwa miaka 13 iliyopita.
Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Mkuu mimi nilikuwa nashabikia yeye abaki ila sasa tukubali kuwa maji yamezidi unga. Angekuwa ameona kama unavyosema asingetangaza kuwa wanajeshi amewapandisha mshahara 50% wazidi kupambana juzi.Kwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Assada aliyekua anamuweka madarakan ni putin na irankwa wakati huo alikuwa na nguvu za kujitutumua lakini baada ya kuishiwa nguvu kaona bora apotee tu