Au labda Assad ni kama mandonga.Assad kakimbia kwa sababu kapigwa, kashindwa kulipa wanajeshi wake, kakosa support ya Warusi, Hizbollah na Wairan.
Hicho ni kipigo tu, hakuna busara hapo.
Uwongo mkubwaKwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Saddam alikuwa na Waziri wake mmoja Comical Ali. Alikuwa anaweza kubadilisha story yoyote ionekane Saddam mshindi. Haya kama kapigwa wazi kabisa.Au labda Assad ni kama mandonga.
Akipigwa ni kama kapiga.
SadWaasi wameanza kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Hajielew hu yo😀Unampangia muda wa kukubali?
Kumbe!?Urusi alianza kushambulia misafara inayoelekea damascus na allepo ili kuondoa mali zote zikiwepo pesa na dhahabu yote ya Syria baada ya zoezi kukamilika ndio ikafuata oparation ondoa Assad damascus ukitaka kujua warusi nyoko ndege ya Assad baada ya kuondoka damascus kuingia homs wakaifuta kwenye satalite ikapotea, taarifa za Assad kuwa yupo hai zimeanza kutolewa na ikulu ya kremlin 😀
JuniorWhich George Bush?
Waasi wameingia damascus hakuna hata mia bank kuu dhahabu almasi yote ilishahamishiwa Moscow nafikir dege kubwa lilionekana kwenye rada likienda Moscow to damascus zaidi ya round sits linahamisha mali, Western limewauma sana hilo, suala lingine ni Putin kukwepa civil war syria ili kumdhoofisha zaidi Putin na Iran kabla ya yote kamwondoa Assad katulia pembeni anawachora na magaidi wao huku akiendelea kumshughulikia Zeleboy taratibu akimsubiri trump, bila hekima ya Putin Trump angeingia madarakani dunia iko WWW III democratic walilidhamiria hilo...Kumbe!?
Hata Mimi Hali ya ndege ya Assad kupotea kwenye rada na baadae kusemekana kua huenda ndege iliripuliwa na Assad kuhofiwa kufa ilinishangaza sana,Cha ajabu baadae ikasemwa Yuko Moscow,aisee!!
Tuliza jazba mkuu waarabu hawajitambui Moscow itarudi tu Syria kwani Afghanistan ilikuwaje tatizo muda tu...😅Kakimbia bana kama mwizi acha kuremba maneno, wafadhili wake hawakuwa na uwezo wa kumbeba tena eti kaepusha vita muuaji kama huyu anajali kitu zaidi ya madaraka?? Maji yalizidi unga tu. Hata kama una mahaba na Urusi na Iran ukweli unaujua
Moscow ikimaliza shida zake kwanza - Yes, hayo ya baadae sasa sio ya sasa, ilikua kumpa Assad hifadhi kwanza na ikishajitafuta na kujipata hatakua relevant tena! Kujifanya kwamba alikua na nia njema asiingize Syria kwnye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni assumptions tu za huku kwa mtogole, kwa kuwa hajawahi kuwa na huruma ya namna hiyo, why leo??.Tuliza jazba mkuu waarabu hawajitambui Moscow itarudi tu Syria kwani Afghanistan ilikuwaje tatizo muda tu...😅
ShameKwa kiongozi mwenye Hekima yeyote angechukua maamuzi kama aliyoyafanga Assad. Tayari fitina ilikua imeshaingia ndani ya nyumba . Assad angesema apambane ni wazi kungetokea Mauaji ya wenyewe kwa wenyewe kama Rwanda na Burundi. Naipongeza Urusi na Iran kwa kuuona huo mtego na kumshauri Assad asijibu mapigo yeyote ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa Syria. Ingekua wavamizi ni wageni kutoka nje ya Syria nadhani pangechimbika.
Kila la heri nakutakia maisha mema huko Urusi.
Wanajeshi wa Syria wameamua kutopigana ili kuilinda nchi Yao dhidi ya Hila na fitina kutoka nje hii nayo ni busara ya Hali ya juu sana. Kwahiyo kwa mtazamo wangu Assad amemaliza vizuri sana kazi ipo kwa hao aliowaachia nchi Wana nafasi ama kuiingiza korongoni ama kuijenga na kuilinda nchi Yao. Assad ameshatoka maagizo kuwa nchi ikabidhiwe kwa amani kwa watakaokuja na hilo limetekelezwa.View attachment 3172708
Mpwa angendelea alikuwa chakula ya Israel huyu pambafuu
Sawa mkuu, ndiyo kuna kushoto na kulia na huwezi mpangia mtu wapi ashabikie au kusapoti. Nimekuelewa mkuu. Tuishie hapa.Kwasababu naipinga Israeli au napingana na marekani unaweza kuniitia hivyo na kwasababu nawaunga mkono wapalestina una Haki ya kuniona ni mdini ila ni mtazamo wako tu .Mimi ni shabiki mkubwa wa nchi zinazopingana na marekani na washirika wao. Mimi nawasapoti Korea kaskazini, urusi , china na wengine wanaofanana na hao. Ila siwezi kukuona wewe ni mkristo kwa kuwa upo upande wa Israel au Marekani hilo ulijue.
Nahisi propaganda/sihasa za dunia tu! 😄
Hafai maswali kutoka Kwa watu wenye hekima. Umeliona jina lake kwanza? NI mzimu maana halisi Yuko na Bikra 72 🤣🤣🤣Really, are you serious?
Hii miaka 13 iliyopita Assad alikuwa anafanya nini?
Kama hakutaka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwa nini hakuondoka Syria tangu 2011?
Tatizo hawa watu wengine ukiwakwepa ujinga wao ubatamalaki na watu wanauamini.Hafai maswali kutoka Kwa watu wenye hekima. Umeliona jina lake kwanza? NI mzimu maana halisi Yuko na Bikra 72 🤣🤣🤣
Usijenge chuki ni mtazamo tuHafai maswali kutoka Kwa watu wenye hekima. Umeliona jina lake kwanza? NI mzimu maana halisi Yuko na Bikra 72 🤣🤣🤣