Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.

Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.

Bado hawajakata tamaa
BASHITE KAMCHOMOA CHONGOLO na bado atawachomoa wengi hata KINANA akae CHONJO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu bashe anachofanya kisicho na go ahead toka kwa Mama Abdul. Sisi Wizarani hapa tujaua Bashe ni mtu wa Sound nampigaji tu ila kwa kuwa amemshika mama Abdul hana afanywacho. Wote ni wapigaji toka kwenye Pikipiki zilizonunuliwa kimagumashi hadi kupora mashamba kule Iringa na kuadimika kwa sukari nchini.
Mbolea kwa ssa ni bidhaaa adhimu sana kupatikana
 
Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.

Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.

Bado hawajakata tamaa
Hilo chama lenu mnaliweza wenyewe majizi
 
Migogoro hutengenezwa Kwa maksudi kabisa ili kuwaangamiza kisiasa walengwa hata kimaisha pia!

Nchimbi+makonda aiseh combination hatari sana!

Nipo nasubiri nione!!
NCHIMBI na Bashe wametoka wote Mzumbe!! Mnajua Hilo?
Samia akilogwa kumgusa Bashe kwasababu ya huyo mtu wake ajue amekwisha!
Akumbuke tu jinsi uteuzi wa Makonda ulivyopingwa kwenye vikao yeye kwa makusudi akalazimisha!
 
Anatafutwa au anajipeleka mwenyewe kwenye Target ? Mfumuko wa Bei mambo yanakwenda ndivyo sivyo alafu unaleta kauli za kuleta story za kwamba wa kukuhoji sijui ni nani na nani ? Huo muda wa kubwabwaja angeendelea na shughuli zake....

Akitoka sio kwamba yupo vema ameonewa bali ni katolewa kafara sababu hata atakayemtoa na yeye lawama hizi ni za kwake....
 
kwa bashe hawatamuweza,ni mtu makini sana,na ana uwezo mkubwa sana kujieleza na on top of that Godfather ni mtu powerful
Vita inayokuja ni mbaya sana, kama maigizo ila yanakuja mambo,, kuna wenye pesa na kuna wenye mababu zao.....
 
NCHIMBI na Bashe wametoka wote Mzumbe!! Mnajua Hilo?
Samia akilogwa kumgusa Bashe kwasababu ya huyo mtu wake ajue amekwisha!
Akumbuke tu jinsi uteuzi wa Makonda ulivyopingwa kwenye vikao yeye kwa makusudi akalazimisha!
Tuna taka Bashe asimme aseme kwenye vitu hivu vi
1 BBT
2RUZUKU YA MBOLEA
3 SUKARI YETU
4 PESA YA KUCHIMBA MA BWAWA IMEKWEMD wap?
Akinijibu hayo basi mwache aendelee mpka 2030 kwenye uwaziri
Au mpka atakapo choka mwenyewe
 
Vita ya Uraisi 2030 ni kubwa kupita maelezo.
Wakati Bashe amejichimbia mizizi mirefu jimboni, sijaona amsha amsha Makonda alivyopita jimboni kwake.

Kigwangala ambaye jimboni amekalia kuti kavu kwa figisu za Bashe naona ni kama siasa zinataka enda upande wake. Nadhani sasa hata ndoto za 2025 ubunge zimeanza rudi.

Swala la uraia wa viongozi limerudi upya, huku ikisemwa kuna waziri kanunua nyumba $6mil Masaki na Dubai. Je ni nani huyu?
 
Anakula pekee zile pesa za Vibali vya kusafirisha Mazao nje ya Nchi? Na kale kakampuni make katumbaku sanakaita kawazawa. Hii nchi imeoza Sana hakuna mwenye nafuu huko sisiemuni
kale kakampuni kakifala sana, kalishindwa walipa wakulima msimu jana jamaa akaingilia kati mwaka huu ilikuwa ni marufuku kwa wakulima wa tumbaku kuchagua kampuni maana wangekatosa wote

mbaya zaidi wakulima wa tumbaku wamepokea mbolea zenye chata ya ruzuku ila.wameambiwa hawatanufaika na ruzuku watanunua kwa bei kubwa
 
Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana.
Hata mkuu wa majeshi alirusha mtego wa Bashe hadharani kwa kusema kuwa kuna wakimbizi wameteuliwa kushika ngazi za maamuzi......alikuwa anatafutwa. Bashe hapa.

Bahati mbaya Bashe ana akili kubwa kuliko Makonda na mkuu wa majeshi. Ndiyo maana kumnasa Bashe kwa mitego inayotegwa na akili ndogo kama uduvi za Makonda inakuwa ngumu .
 
Back
Top Bottom