Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.

Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.

Bado hawajakata tamaa
Inaonekana yuko makini kwa kutegua mitego, ila watamnasa tu maana kishaanza ligi.... 🤣 🤣 🤣
 
Kwahiyo Bashite anawawinda Wasomali?
Hivi kinana yupo au uzee, au makovu ya jbe yalimtikisa ubongo kaona miaka hii awepo wepo tu maana hawez jua kesho nani atakuwa madarakani
 
Hivi kinana yupo au uzee, au makovu ya jbe yalimtikisa ubongo kaona miaka hii awepo wepo tu maana hawez jua kesho nani atakuwa madarakani
Huyo Mzee amekwepa Mishale mingi sana ya Wahutu na bado anadunda tu😆

Huyu Mwenezi atamuweza kweli?
 
Uyu jamaa ana piga pesa sana kupitia project ya BBT ana uza sura kuonyesha iko sawa ila ni failed project

vijana wana taka kumkimbia mashambani baada ya kuona wana tumika kisiasa while pesa zina ishia juu juu huku waki tumia nguvu kubwa..
 
Bashe Lazima Aimeze Ndoano Isiyo Na Chambo Hapo Atajua Mfumo Hauangalii Sura
 
Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.

Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.

Bado hawajakata tamaa
January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.

Bado hawajakata tamaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom