butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Lile Jasusi la CIA akili kubwa!Hakunaga wa kumshinda Ristam Aziz hapo CCM bwashee
Shujaa Magufuli mwenyewe alimkubali RA [emoji23]
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile Jasusi la CIA akili kubwa!Hakunaga wa kumshinda Ristam Aziz hapo CCM bwashee
Shujaa Magufuli mwenyewe alimkubali RA [emoji23]
Hacha uongo,Unaishi kwa kukariri!
Alikubali wapi wakati alinyoosha mikono juu huyo rostam mbona mmnasahau haraka jamani?Hakunaga wa kumshinda Ristam Aziz hapo CCM bwashee
Shujaa Magufuli mwenyewe alimkubali RA 😂
Inaonekana yuko makini kwa kutegua mitego, ila watamnasa tu maana kishaanza ligi.... 🤣 🤣 🤣Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.
Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.
Bado hawajakata tamaa
Kwahiyo Bashite anawawinda Wasomali?BASHITE KAMCHOMOA CHONGOLO na bado atawachomoa wengi hata KINANA akae CHONJO
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Hivi kinana yupo au uzee, au makovu ya jbe yalimtikisa ubongo kaona miaka hii awepo wepo tu maana hawez jua kesho nani atakuwa madarakaniKwahiyo Bashite anawawinda Wasomali?
Huyo Mzee amekwepa Mishale mingi sana ya Wahutu na bado anadunda tu😆Hivi kinana yupo au uzee, au makovu ya jbe yalimtikisa ubongo kaona miaka hii awepo wepo tu maana hawez jua kesho nani atakuwa madarakani
Hacha = Acha 🐼Hacha uongo,
RA hawezi kuwa mkubwa kuliko CCM.
Dogo Ni mgeni Tanzania.Unaijua nafasi ya Ristam Aziz hapo CCM bwashee?
Hawaelewi hawa waache tu.Unaijua nafasi ya Ristam Aziz hapo CCM bwashee?
January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.Nakupa dokezo.
Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe.
Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana. Mitego ni mingi, bado hajajaa sawa sawa kwenye mfumo ili azamishwe mazima.
Bado hawajakata tamaa