Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

Hata mkuu wa majeshi alirusha mtego wa Bashe hadharani kwa kusema kuwa kuna wakimbizi wameteuliwa kushika ngazi za maamuzi......alikuwa anatafutwa. Bashe hapa.

Bahati mbaya Bashe ana akili kubwa kuliko Makonda na mkuu wa majeshi. Ndiyo maana kumnasa Bashe kwa mitego inayotegwa na akili ndogo kama uduvi za Makonda inakuwa ngumu .
Yaani Bashe ana akili kubwa kuliko mkuu wa majeshi.

Hii kwangu mpya.
 
Nape kajaa kirahisi sana!
Ngoja tuone, Nepi yupo kimya!
 
Kwa hiyo rostam ni mwenyekiti wa CCM mpaka kifo kimtenganishe
Magufuli alikuwa na nia ya kukifanya chama kisiwategemee wafanya biashara katika kukiendesha kwani uhusiano wao ndio chanzo cha ufisadi! Kwa hili alifanikiwa mpaka hata kuhakiki mali za ccm!

Mama Abdul mara alipoingia wafanyabiashara wajanja wakamuingia hata kumpeleka marekani ambako alishuhudia Rostam Aziz akitia saini mikataba ambayo sidhani mpaka sasa kama anaielewa ingawa uwepo wake ilikuwa ndio dhamana ya mikataba ile !
Hao hao wafanyabiashara ndio waliomtambulisha kwa mfalme wa Dubai mpaka akamuuzia Bandari kupitia kampuni yake ya DP Worid!! Uhusiano huu ndio unamfanya Samia awe beholden kwa hawa dubious characters!! They have been facilitating her business dealings through her son Abdul hivyo hawezi kuchomoka.
Hao hao wafanyabiashara ndio. Godfathers wa Bashe ambao ndio wamemfikisha hapo alipo!! Sasa kwa Mazingira hayo unadhani Samia atamgusa Bashe? Hajipendi?
Bashe kawekwa hapo wizara ya kilimo for a purpose ; Ukitaka kujua chunguza ujue kampuni za nani zimepewa vibari vya kuagiza sukari na mbolea!! Nchi hii inaendeshwa na Mafia ambao wamemzunguka Samia na yeye yupo yupo tu watu wanakula nchi bia wasi wasi!
 
Hata mkuu wa majeshi alirusha mtego wa Bashe hadharani kwa kusema kuwa kuna wakimbizi wameteuliwa kushika ngazi za maamuzi......alikuwa anatafutwa. Bashe hapa.

Bahati mbaya Bashe ana akili kubwa kuliko Makonda na mkuu wa majeshi. Ndiyo maana kumnasa Bashe kwa mitego inayotegwa na akili ndogo kama uduvi za Makonda inakuwa ngumu .
Mimi nilidhani wakimsema Serukamba ambaye Samia kampa u RC!!
 
Bashe:Watu wa kunihoji mimi Wako wanne tu, Mama samia,Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu waziri Mkuu..

Makonda:
 
Bashe hawezi kuwa hatafutiki ikiwa ameshindwa kwa kiasi kikubwa.Bei ya korosho imeshuka msimu huu hadi ameshindwa kuitolea kauli.Bei ya pamba ndiyo usiseme.Na sukari jee?
 
NCHIMBI na Bashe wametoka wote Mzumbe!! Mnajua Hilo?
Samia akilogwa kumgusa Bashe kwasababu ya huyo mtu wake ajue amekwisha!
Akumbuke tu jinsi uteuzi wa Makonda ulivyopingwa kwenye vikao yeye kwa makusudi akalazimisha!
Ngoja Tusubiri tuone 😅🙏🙏
 
Siasa za fitina, fitina. fitina tu ndio zinatawala na wala siyo siasa zenye hoja za kutatua matatizo. Hivi kweli tutafika ?
Humo ndivyo walivyo ni kutafutana tu !
Hawana muda wa Kupanga siasa za hoja !
Siku hizi hawaachiani glass kwenye meza! By JK !!
 
CCM WOTE MBUMBUMBU NI SAWA NA KINYESI
NA WAO SHABIKIA CCM NAO NI NZI
SASA NZI ANAE FATA KINYESI ANA AKILI KWELI
 
Mimi sioni kosa la Bashe. Yeye hahusiki kuchukua maagizo kutoka kwa Makonda. Bashe is a very smart Cabinet Minister. Kwa siku za karibuni amekuwa akichukiwa pasipo sbabu yeyote.
 
Back
Top Bottom