Leo waziri wa kilimo Hussein Bashe amezungumza na waandishi wa habari amewasihi vijana wanaofikilia kulima kilimo kwenye mitanzandao ya kijamii waache mara moja
"Tunatoa uelewa acheni kulima kwa Twitter na WhatsApp, hakuna mtu anayeweza kukuambia lete milioni 10 na baada ya mwezi utapata 15 niwaombeni kwenye kilimo hakuna njia ya mkato kama una hela yako nenda kanunue ardhi, ajiri kijana wa chuo kikuu, halafu zalisha,"
Lakini pia hata kama unawapa vijana wakusimamie mashamba yako usisahau kutembelea shambani kila wiki ili kupata matokeo mazuri ya kilimo
"Tunatoa uelewa acheni kulima kwa Twitter na WhatsApp, hakuna mtu anayeweza kukuambia lete milioni 10 na baada ya mwezi utapata 15 niwaombeni kwenye kilimo hakuna njia ya mkato kama una hela yako nenda kanunue ardhi, ajiri kijana wa chuo kikuu, halafu zalisha,"
Lakini pia hata kama unawapa vijana wakusimamie mashamba yako usisahau kutembelea shambani kila wiki ili kupata matokeo mazuri ya kilimo