Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #161
Kwani wanaolia chakula ni ghali ni akina Nani,?mbona wananchi wamepata suluhu,au ni wabunifu kuliko serikali yenye nyenzo zote muhimu?
Basi serikali iweke utaratibu wa kuwasikiliza wananchi
Swali zuri sana hiliKwani wanaolia chakula ni ghali ni akina Nani,?
wanamuogopa. Mafuta na maji havichangamani. Dr BAK haendani na walanguzi wa ccmto be honest bashiru ni mtu na nusu ,sema system ni Kama inamuepa
Na bado heshima itashuka mpaka akili ziwafikie kwenye hivyo vichwa vyenu , ni ajabu nchi kama Tanzania ardhi iliyopo hii kubwa na vyanzo vya maji nchi inalia njaa ,huu ni ukosefu wa akili kwa serikali na wananchi wake pia .Bashiru kaongea ukweli, japo watu wanamchukia ila njaa inashusha utu na heshima ya mtu
Huwezi kufanya kazi na watu ambao % kubwa ni mazuzu[emoji28][emoji28][emoji28]
Zile akili za Bashe alizokuwa nazo zimeishia wapi?
Umeongea kwa Jazba inaonesha ni kias gan unaumizwa na hili swala [emoji2357].Na bado heshima itashuka mpaka akili ziwafikie kwenye hivyo vichwa vyenu , ni ajabu nchi kama Tanzania ardhi iliyopo hii kubwa na vyanzo vya maji nchi inalia njaa ,huu ni ukosefu wa akili kwa serikali na wananchi wake pia .
Mnanunua magari na pikipiki na kufanya upuuz mwingine badala ya kuunganisha mitaji kwa kutengeneza crowd funds za kununua ardhi ,kujenga mabwawa ya mifumo ya umwagiliaji ,mitambo na pembejeo na kuzalisha mazao kwenye kilimo halafu mnalia njaa ,mkitegemea mkulima wa miaka 65 wa jembe la mkono aliyeko mpanda ,Songwe na Ruvuma alime awalishe nyie wapumbavu kwa kuuza kwa hasara ,huu ni usennge na ndio chanzo cha sekta ya kilimo kudumaa nchi hii. Kila siku watu mnalalamika kwamba kilimo hakilipi watu wanaingiza mitaji inaunga + huu uncertainty nyingi kama ukame ,bei kubwa ya pembejeo .Halafu kitu linaropoka nyenyenyeeeee nyenyeeeee
Narudia , kama unaona ni rahisi kulima na unataka mkulima akuuzie chakula kwa bei za kipumbavu kalime chakula chako ununue kwa hizo bei zako za kipuuz
Nchi ambazo ni jangwa kama AUSTRALIA zinalima na kuzalisha chakula na mifugo cha kulisha dunia nzima ,kwanza nafaka kama mahindi ni chakula cha ng'ombe ,kuku na nguruwe huko , Tanzania na ardhi kubwa yenye rutuba na vyanzo vya maji inashindwa hata kuzalisha chakula cha kujitosheleza , huu ni udumavu wa akili
Ukomunist wa Nyerere ilikuwa ni laana kwa hili taifa , majitu yamedumaa kiakili na kifikra
Serikali ya form 4 failure itabuni kitu gani?Umeongea kwa Jazba inaonesha ni kias gan unaumizwa na hili swala [emoji2357].
Naamin sis tunaodiscuss KISEMWACHO badala ya MSEMACHO tupo upande wa Dr Bashiru kweny hili, lazima serikal ifanye ubunifu.Serikal inafany vizur ila tunahitaj ifanye vizur zaid,ukosefu wa chakula kwa taifa hili lenye rasilimali chungumzima ni dhihaka.
Tumebarikiwa ardhi yenye rutuba, vyanzo vya maji na mengine meng ni jukumu la serikali huamua iendelee kufanya vizur au kufany vizur zaid.
Nchi kama Egypt, Sudan ni nchi zenye upunguf wa vyanzo vya maji, wamekuwa wakitumia mto nile, itakuwa ajabu kama taifa lenye vyanzo rukuki vya maji kuzid kulia. Ni wakat wa kuamka kwa faida ya taifa hili na ulimwengu kwa ujumla.
Kuuza chakula nje ni moja ya sabab za inflation kweny mazao ya chakula.Uhitaji umekuwa mkubwa kuliko uzalishaji.Kilimo hutegemea maji ni lazima sera za utunzaji mazingira zifanyiwe kazi na kama zinamadhaifu zirekebishwe.Hakuna mazao kama hakuna kilimo, hakuna kilimo kama hakuna maji, hakuna maji kama hakuna sera za kuendelea kulinda vyanzo vya maji.
nimekuelewa lamuhimu ni selikali kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliajiMh....Watu mnapita na ku like post ila hamchangii?
Okay mi mchango wangu ni, vyakula kupanda bei ni kutokana na ukame wa mwaka jana.
Japo serikali ilihifadhi chakula kingi kwenye maghala hadi maximum yake ya tani laki 2 bado chakula hicho hakikutosha
Swala hili halina suluhu ya muda mfupi, suluhu ya uhakika ni kutengeneza mifumo ya kilimo cha umwagiliaji ambayo itachukua muda na gharama
Ama kama tuagize mahindi ya bei rahisi kutoka Brazil na Argentina? Tukifanya hivyo jua wakulima wetu mahindi yao hayatauzika
kometi yako imeniigia akiliniHuyu mtu ana asili na uzoefu katika masuala ya taaluma, lkn pia ni mtu aliyekopwa kwa ajili ya sababu za kiutendaji za kisiasa. "Analysis" yake inaaminika na pia yenye mantiki, kwa mazingira na muktadha wa kijamii na kiuchumi tunayoyapitia kama taifa.
Baniani mbaya, ila kiatu chake ni dawa. Huyu ni mtu mwenye uaminifu wa milengo ya siasa za kijamaa, ila ni mtu mwenye msimamo wa kile alichoaminishwa na kukiamini.
ukama ndugu mimi kazi yangu ya nafaka juzi tu maharagwe yalikuwepo mtukula yakashambuliwa kwa uchache wake kwa yako karagwe nako huko yanashambuliwa kwa kasi ya ajabu baada ya hapo yatakuwepo makambaku na tanga kisha songea lakini hayatoshi sababu mvua ndogo karagwe mengi yameozea shambani tatizo mvua kuna haya ya serikali kuwekeza kwa kilimo cha umwagiliaji ndio dawaMtaani hali tete huku watu mlo mmoja tu,,,,serikali iangalie hii tunapoelekea kubaya sana maharage elfu 4000 kilo na tunalima wenyewe Noma sana!
Africa kila kitu tunacho ila tumekosa viongozi tuNa bado heshima itashuka mpaka akili ziwafikie kwenye hivyo vichwa vyenu , ni ajabu nchi kama Tanzania ardhi iliyopo hii kubwa na vyanzo vya maji nchi inalia njaa ,huu ni ukosefu wa akili kwa serikali na wananchi wake pia .
Mnanunua magari na pikipiki na kufanya upuuz mwingine badala ya kuunganisha mitaji kwa kutengeneza crowd funds za kununua ardhi ,kujenga mabwawa ya mifumo ya umwagiliaji ,mitambo na pembejeo na kuzalisha mazao kwenye kilimo halafu mnalia njaa ,mkitegemea mkulima wa miaka 65 wa jembe la mkono aliyeko mpanda ,Songwe na Ruvuma alime awalishe nyie wapumbavu kwa kuuza kwa hasara ,huu ni usennge na ndio chanzo cha sekta ya kilimo kudumaa nchi hii. Kila siku watu mnalalamika kwamba kilimo hakilipi watu wanaingiza mitaji inaunga + huu uncertainty nyingi kama ukame ,bei kubwa ya pembejeo .Halafu kitu linaropoka nyenyenyeeeee nyenyeeeee
Narudia , kama unaona ni rahisi kulima na unataka mkulima akuuzie chakula kwa bei za kipumbavu kalime chakula chako ununue kwa hizo bei zako za kipuuz
Nchi ambazo ni jangwa kama AUSTRALIA zinalima na kuzalisha chakula na mifugo cha kulisha dunia nzima ,kwanza nafaka kama mahindi ni chakula cha ng'ombe ,kuku na nguruwe huko , Tanzania na ardhi kubwa yenye rutuba na vyanzo vya maji inashindwa hata kuzalisha chakula cha kujitosheleza , huu ni udumavu wa akili
Ukomunist wa Nyerere ilikuwa ni laana kwa hili taifa , majitu yamedumaa kiakili na kifikra
Tubadilike aisee ,hii ni aibu .Africa kila kitu tunacho ila tumekosa viongozi tu